Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Featured Image
MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa akaona huyo Bebi pengne mtoto anakojoa kitandani au akalia asije msumbua usiku
JAMAA:"msipate tabu mi ntalala hapa kwenye kochi" akalala
asubh wanakunywa chai akaibuka mrembo,jamaa akapigwa bumbuwazi almanusra ajimwagie chai.
BINTI:"Naitwa BEBI,we unaitwa nani?"
Jamaa akasema mimi naitwa Fara…..!
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Akoth (Guest) on January 21, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Ann Wambui (Guest) on December 29, 2021

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on December 28, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Edwin Ndambuki (Guest) on December 26, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Kheri (Guest) on November 16, 2021

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Tambwe (Guest) on November 10, 2021

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Issack (Guest) on October 28, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Nashon (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Mary Kendi (Guest) on October 25, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mwambui (Guest) on October 16, 2021

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Jackson Makori (Guest) on October 12, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

David Nyerere (Guest) on October 10, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on October 5, 2021

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Khadija (Guest) on September 11, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Diana Mallya (Guest) on August 30, 2021

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Irene Akoth (Guest) on August 20, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Amir (Guest) on August 18, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Lowassa (Guest) on August 5, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Chris Okello (Guest) on June 27, 2021

🀣 Hii imewaka moto!

Victor Malima (Guest) on June 23, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on June 17, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Abdillah (Guest) on June 16, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Rehema (Guest) on April 19, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Ruth Kibona (Guest) on March 21, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on March 8, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on February 24, 2021

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Chum (Guest) on February 20, 2021

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Joseph Mallya (Guest) on February 6, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on February 3, 2021

🀣πŸ”₯😊

Shabani (Guest) on January 23, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Edward Lowassa (Guest) on January 9, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on January 1, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Samson Tibaijuka (Guest) on December 4, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Benjamin Masanja (Guest) on December 3, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Stephen Mushi (Guest) on November 23, 2020

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Maida (Guest) on November 16, 2020

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on November 3, 2020

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on August 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on July 25, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Kamau (Guest) on June 24, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Anna Mahiga (Guest) on June 10, 2020

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mchuma (Guest) on June 9, 2020

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Ann Awino (Guest) on June 3, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Yusuf (Guest) on May 25, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Lucy Mushi (Guest) on May 21, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Rose Lowassa (Guest) on May 21, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

David Musyoka (Guest) on May 5, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Kawawa (Guest) on May 2, 2020

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on April 11, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mashaka (Guest) on April 4, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Sarah Achieng (Guest) on April 2, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 9, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Josephine (Guest) on February 29, 2020

πŸ˜‚ Kali sana!

Philip Nyaga (Guest) on February 16, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on January 20, 2020

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

George Ndungu (Guest) on January 14, 2020

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Safiya (Guest) on December 27, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Rose Lowassa (Guest) on December 21, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

George Ndungu (Guest) on December 4, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on November 26, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Jambo la kufanya ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni

Fanya hivi

Ukitaka mwanaume akusaidie kazi jikoni mwambie "NAOMBA CM YAKO NIWASHE T... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Haya ndiyo madhara ya kulala kanisani

Tukiwa kanisani mdada alikuwa amelala , akaamka akasikia Pastor anasema
" SIMAMA"
Yule ... Read More

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Kilichotokea baada ya kumdanganya mchungaji wangu

Jumapili baada ya kutoka KANISANI, Pastor akaona simu yangu niliyonunua LAKI 5,akaniuliza hiyo s... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Angalia kile kitabia cha kufuta namba kwenye simu kilivyomponza huyu jamaa

Jana nilijipa kazi ya kufuta vitu visivyo na umuhimu kwenye sm yangu. Katika futa futa si nimefut... Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Huyu kashauzwa!! Angalia kilichomkuta sasa

Jamaa alionekana Mnyooooonge sana ikabidi mpita njia amuulize…

Kaka, mbona u mnyonge h... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More