Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Misemo 17 ya kuchekesha

Featured Image

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgwi disko
4) feni haiwashwi beach
5) mshkaki hauchomwi kwa jiko la ges
6) mganga haagiz tembele
7) hata bibi alikuwa bint
8) mke wa mtu sumu,mume wamtu maziwa
9) kipara bila pesa ni kovu
10) mbwa hanenepi migiuu
11) picha ya rais haina bodyguard
12) mjini shule kijiji tuition
13) saa ya ukutani haivaliwi mkonon
14) heshima pesa shkamoo makelele
15) ulinz pesa bastora mzgo
16) kuku ni kuku jogoo mbwembwe
17) kusoma kuelewa kukesha mbwembwe

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Alex Nyamweya (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Wande (Guest) on July 21, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

John Mwangi (Guest) on July 7, 2024

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on July 5, 2024

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Sokoine (Guest) on June 14, 2024

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Mary Njeri (Guest) on June 7, 2024

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Mary Sokoine (Guest) on April 27, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Peter Mugendi (Guest) on April 17, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Janet Sumari (Guest) on April 10, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Francis Njeru (Guest) on March 24, 2024

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

John Lissu (Guest) on March 13, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Jackson Makori (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Sarah Karani (Guest) on February 28, 2024

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Chris Okello (Guest) on February 20, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on February 8, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on February 7, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on January 25, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on November 11, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on November 11, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on November 5, 2023

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on October 29, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Martin Otieno (Guest) on October 20, 2023

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on October 12, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumaye (Guest) on October 12, 2023

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Ahmed (Guest) on October 5, 2023

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Paul Kamau (Guest) on September 27, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Latifa (Guest) on September 26, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Diana Mallya (Guest) on September 10, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alice Wanjiru (Guest) on September 7, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on August 18, 2023

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜‚πŸ˜‚

Josephine Nduta (Guest) on August 12, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 14, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Benjamin Kibicho (Guest) on June 30, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 23, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on May 6, 2023

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Janet Mbithe (Guest) on April 29, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Betty Cheruiyot (Guest) on April 25, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Lissu (Guest) on April 14, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 11, 2023

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Kiza (Guest) on April 2, 2023

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Elijah Mutua (Guest) on March 22, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Kenneth Murithi (Guest) on February 26, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on February 20, 2023

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on February 18, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on January 15, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Brian Karanja (Guest) on December 24, 2022

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on November 17, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Faith Kariuki (Guest) on September 17, 2022

😁 Kicheko bora ya siku!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 15, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 13, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on August 28, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on August 16, 2022

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on August 9, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Grace Mushi (Guest) on July 22, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Asha (Guest) on July 11, 2022

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Agnes Njeri (Guest) on June 4, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khamis (Guest) on May 12, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Mushi (Guest) on May 3, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on April 5, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

Related Posts

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

Mchaga mmoja kamtoa mke wake out mambo yakawa hivi

*Mchaga mmoja kamtoa mke wake out.*

*mchaga* : _chips yai bei gani?_

*mhudumu*: _elfu... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Angalia hoja za baba na mama kila mmoja anadai ni wake

Mtoto ni wa baba au wa mama? Mume alimpa mkewe talaka wakaenda mahakamani ili hakimu aamue nani aka... Read More
Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini ka... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Njia nne za kufikisha Habari kwa haraka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Kuwa na mahusiano na msichana kama huyu ni changamoto, Mabinti bwana!

Binti: Hallow mpenzi, Mambo

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More