Sidebar with Floating Button
Vichekesho vya AckySHINE
☰
AckyShine

Tofauti ya mke na mchepuko!!!

Featured Image

MKE NA MCHEPUKO.

Mke ni kama Tv na Mchepuko ni kama Simu.
Nyumbani unaangalia Tv lakini ukitoka unatoka na simu.

Mara chache unafurahia Tv lakini Muda mrefu unacheza na simu yako.

Tv ni bure kwa maisha yako yote, lakini Simu kama hujalipia hupati huduma.

Tv ni kubwa nzito na wakati wote ni ya zamani. Lakini simu ni nzuri, nyembamba, na ni rahisi kubeba.

Gharama za huduma za tv ni ndogo sana, Lakini gharama za huduma za Simu ni kubwa na pia ni lazima kuzitimiza.

Tv ina remote lakini Simu haina.

Kitu muhimu zaidi simu ina njia mbili za kuwasiliana unaongea na unasikiliza lakini Tv unalazimika kusikiliza hata kama hutaki au unataka.

Unaweza kununua Tv mara moja na ukatumia kwa kipindi kirefu lakini Simu mara zote unabadilisha inategemea na fasheni.

Ya mwisho na ya kuzingatia

Tv haina Virusi lakini Simu inayo.

KUWA MAKINI.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nassar (Guest) on July 19, 2024

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Lucy Kimotho (Guest) on May 19, 2024

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on April 28, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on April 28, 2024

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on April 15, 2024

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sekela (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜† Kali sana!

Jackson Makori (Guest) on March 4, 2024

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Tibaijuka (Guest) on February 15, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Sumaye (Guest) on February 9, 2024

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on February 7, 2024

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on February 6, 2024

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Victor Mwalimu (Guest) on January 25, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Henry Mollel (Guest) on January 22, 2024

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Chris Okello (Guest) on January 1, 2024

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Mallya (Guest) on November 28, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 3, 2023

😊🀣πŸ”₯

Michael Mboya (Guest) on October 6, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Hellen Nduta (Guest) on September 21, 2023

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Esther Nyambura (Guest) on August 15, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on August 15, 2023

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on August 14, 2023

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Were (Guest) on August 10, 2023

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joseph Kiwanga (Guest) on July 11, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Agnes Njeri (Guest) on July 10, 2023

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Musyoka (Guest) on June 27, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Martin Otieno (Guest) on June 23, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Stephen Kangethe (Guest) on May 31, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Rose Mwinuka (Guest) on May 12, 2023

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Victor Kamau (Guest) on March 23, 2023

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Michael Mboya (Guest) on March 1, 2023

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 13, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on February 9, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Mercy Atieno (Guest) on February 7, 2023

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Bernard Oduor (Guest) on February 4, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on January 27, 2023

πŸ˜… Bado nacheka!

Charles Mboje (Guest) on January 25, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on January 14, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Betty Cheruiyot (Guest) on November 7, 2022

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Sarah Mbise (Guest) on October 31, 2022

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Thomas Mtaki (Guest) on October 14, 2022

πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on October 14, 2022

🀣πŸ”₯😊

Rose Lowassa (Guest) on September 28, 2022

πŸ˜‚πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on August 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on August 16, 2022

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Abdullah (Guest) on July 19, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Sumaya (Guest) on July 5, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Fatuma (Guest) on June 27, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Selemani (Guest) on May 29, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

David Nyerere (Guest) on May 20, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on May 6, 2022

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on May 1, 2022

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Ramadhan (Guest) on April 2, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Margaret Anyango (Guest) on March 15, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on March 12, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on March 10, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 9, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Chiku (Guest) on February 27, 2022

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on February 1, 2022

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Margaret Anyango (Guest) on January 29, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on January 14, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walco... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Huyu Baba ni noma, Cheki anachomjibu huyu mtoto wake

Mtoto:Β baba eti Botwasna ipo wap?

Baba:Β angalia itak... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Kilichotokea wakati mchungaji akifungisha ndoa ya Mashoga

Mchungaji mmoja baada ya kuwafungisha ndoa "MASHOGA" wawili alipata wakati mgumu kutamka kuwa "sasa ... Read More