Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Featured Image

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
Miaka 23: Lini utatuletea mchumba wako?
Miaka 26: Wenzio wanaolewa.
Miaka 30: Tumekuambia kwamba acha
kuchagua sana wanaume, hutaki kusikia!
Miaka 33: Kuna mtu wa Mungu yupo kule
anaombea unaweza kupata mchumba
Miaka 36: At least pata mtoto mmoja.
Miaka 39: We will take care of all the wedding
bills…yeyote ni sawa sisi tutagharamia kila kitu mwanetu wee mlete tu .
Miaka 45: hivi kweli nani alikuroga.?

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ changamkia fulsa umri ukifika

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Lydia Wanyama (Guest) on July 5, 2024

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Monica Nyalandu (Guest) on May 28, 2024

πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on May 6, 2024

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

James Mduma (Guest) on April 10, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on March 24, 2024

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Catherine Mkumbo (Guest) on March 18, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on March 12, 2024

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Samuel Omondi (Guest) on March 12, 2024

πŸ˜‚πŸ€£

Khadija (Guest) on March 11, 2024

πŸ˜„ Kali sana!

Robert Okello (Guest) on February 8, 2024

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on January 26, 2024

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on January 13, 2024

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Margaret Mahiga (Guest) on December 6, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 25, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on November 22, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Tibaijuka (Guest) on November 4, 2023

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

David Ochieng (Guest) on October 16, 2023

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nancy Akumu (Guest) on October 7, 2023

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

John Mushi (Guest) on October 4, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on October 4, 2023

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Henry Mollel (Guest) on September 22, 2023

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 16, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Victor Mwalimu (Guest) on September 5, 2023

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Michael Onyango (Guest) on August 24, 2023

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on August 17, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 13, 2023

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on June 22, 2023

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Khatib (Guest) on June 5, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Sarah Karani (Guest) on June 4, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Neema (Guest) on May 12, 2023

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on May 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on April 25, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on April 24, 2023

πŸ˜… Bado ninacheka!

Zakaria (Guest) on April 12, 2023

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

George Tenga (Guest) on April 4, 2023

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fikiri (Guest) on April 1, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Jane Muthui (Guest) on March 20, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on March 4, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on February 22, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Emily Chepngeno (Guest) on January 24, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Kiza (Guest) on January 17, 2023

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Robert Ndunguru (Guest) on December 7, 2022

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mtaki (Guest) on November 15, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on November 5, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Stephen Amollo (Guest) on October 30, 2022

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Michael Mboya (Guest) on October 21, 2022

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chum (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Faith Kariuki (Guest) on September 30, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Betty Akinyi (Guest) on September 11, 2022

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 3, 2022

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on September 3, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on July 9, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

James Malima (Guest) on June 21, 2022

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on June 16, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Wanjiru (Guest) on May 9, 2022

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Paul Ndomba (Guest) on May 6, 2022

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Muslima (Guest) on March 26, 2022

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Halimah (Guest) on March 22, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Mary Kidata (Guest) on March 8, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Malima (Guest) on March 1, 2022

Asante Ackyshine

Related Posts

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Angalia huyu boyfriend alivyomuweza huyu msichana wake

Siku moja msichana alikuwa anapita maeneo ya A.T.M gafla akamuona boyfriend wake anatoa pesa kwenye ... Read More
Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Kilichompata huyu jamaa mroho wa nyama, Hata kaa arudie tena

Jamaa kaenda kumtembelea rafiki yake Levi, kule sehemu za kwetu, akakaribishwa bonge ya ugali na ... Read More