Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hali za ndoa

Featured Image
Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!

Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Benjamin Kibicho (Guest) on July 11, 2024

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Guest (Guest) on November 24, 2025

MAHUMB

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 10, 2024

πŸ˜… Bado ninacheka!

Nora Kidata (Guest) on July 7, 2024

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2024

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

John Mushi (Guest) on June 20, 2024

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2024

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Mwajuma (Guest) on June 11, 2024

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2024

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Adventina chriss (Guest) on May 11, 2024

Marriage are not to be easy

Mwanais (Guest) on May 10, 2024

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on May 9, 2024

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on April 20, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Tenga (Guest) on February 12, 2024

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samson Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Umi (Guest) on January 13, 2024

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Shukuru (Guest) on December 27, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

John Mwangi (Guest) on December 24, 2023

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Janet Wambura (Guest) on December 24, 2023

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on December 17, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on December 16, 2023

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2023

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Anna Sumari (Guest) on November 20, 2023

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 16, 2023

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2023

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Lydia Wanyama (Guest) on October 5, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on October 2, 2023

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Bernard Oduor (Guest) on September 9, 2023

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Edward Chepkoech (Guest) on September 2, 2023

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 2, 2023

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Rubea (Guest) on August 27, 2023

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Moses Kipkemboi (Guest) on August 12, 2023

🀣πŸ”₯😊

Lydia Mutheu (Guest) on August 2, 2023

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Neema (Guest) on June 23, 2023

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Kidata (Guest) on June 2, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Charles Mboje (Guest) on May 26, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kenneth Murithi (Guest) on May 18, 2023

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Wilson Ombati (Guest) on May 10, 2023

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 27, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Frank Sokoine (Guest) on February 17, 2023

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on January 30, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Komba (Guest) on January 27, 2023

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Wambui (Guest) on January 17, 2023

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Susan Wangari (Guest) on January 11, 2023

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Josephine Nekesa (Guest) on January 8, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Edward Chepkoech (Guest) on December 26, 2022

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 10, 2022

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

David Sokoine (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Rahma (Guest) on November 20, 2022

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2022

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajabu (Guest) on October 29, 2022

πŸ˜‚ Kali sana!

Martin Otieno (Guest) on October 18, 2022

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on October 9, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Kendi (Guest) on September 30, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Emily Chepngeno (Guest) on September 13, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jamal (Guest) on August 24, 2022

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Nahida (Guest) on August 10, 2022

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu

```Nimetoka interview hapa ya job flani

Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Baadhi ya misemo mikali ya leo

Baadhi ya misemo mikali ya leo

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

2. Hata uwe na magari m... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake

Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha! MKE; Vipi leo mbona mpole? MUME; Ofisi yetu imeungua ... Read More