Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake
anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke,
mkewe akakataa, akamwambia baba yake
akaambiwa na babaake tulia mwanangu ndoa
zina mengi! akawa kila siku analalamika kwa
babaake, mwisho babaake akamwambia basi
ntakusaidia. Itabidi ujifanye unaumwa sana hoi
hujiwez halafu nitakuonyesha jawabu!
Basi kijana akajifanya anaumwa mzee akaitisha
kikao cha ndugu wote pande 2,
Mzee akaanza kueleza jaman kijana wetu
anaumwa amepata ugonjwa wa utata hospital
zote umeshindikana hivyo tumeenda kwa mganga
wa jadi amenipa dawa na ina masharti, inatakiwa
atakaye iandaa hii dawa awe mwanamke mwenye
ndoa ambaye hajawah kutoka nje ya ndoa tangu
alipoolewa ndo kijana wetu atapona!
Kama ametoka nje ya ndoa asiandae dawa hii
kwa sababu tukimpa kjana wetu watakufa wote!
Je kina mama nani ataandaa? Walitoka nje
wamama mmoja mmoja hadi mkewe na mamake
mzazi wakatoka, akafata mama ake kijana,
mashangazi na dada zake, mwisho wakabakia
wanaume peke yao! Mzee akamwambia
mwanangu umeona hali za ndoa zilivyo?
Acha kujisumbua tulia na mkeo nadhani
umejionea hali halisi.
Cha zaidi omba Mungu sana juu ya ndoa yako!
Kijana akazimia!
SOMA TENA KISHA MTUMIE NA MWENZIO.
Hali za ndoa
Date: August 19, 2021
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa
JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?...
Read More
Sitasahau mwaka huu
Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More
Duh! Hiki nacho chombo cha moto?
_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h...
Read More
Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema
Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More
Duh! Kizungu kigumu, cheki alichojibu huyu
```Nimetoka interview hapa ya job flani
Wameniuliza "so how far did you go with your edu... Read More
Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?
Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana."
Nikashtuka, "Astaghafilulah we...
Read More
Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini
Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More
Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?
Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana
..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More
Baadhi ya misemo mikali ya leo
1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.
2. Hata uwe na magari m... Read More
Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake
Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-
Read More
Huyu mke kwa kupenda hela! Cheki anachomwambia mume wake
Jamaa karudi toka kazini mpole na hana furaha!
MKE; Vipi leo mbona mpole?
MUME; Ofisi yetu imeungua ...
Read More
Benjamin Kibicho (Guest) on July 11, 2024
Hii ni kali sana! ππ€£
Guest (Guest) on November 24, 2025
MAHUMB
Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 10, 2024
π Bado ninacheka!
Nora Kidata (Guest) on July 7, 2024
Nimecheka hadi nina furaha sana! ππ
Anthony Kariuki (Guest) on June 30, 2024
Ucheshi wenu unanifurahisha sana! ππ
John Mushi (Guest) on June 20, 2024
Hii ndio nilihitaji leo! Asante! π
Wilson Ombati (Guest) on June 11, 2024
ππ€£ππ
Mwajuma (Guest) on June 11, 2024
Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! π
Catherine Mkumbo (Guest) on May 23, 2024
Nimecheka hadi nimemiss kicheko! ππ
Adventina chriss (Guest) on May 11, 2024
Marriage are not to be easy
Mwanais (Guest) on May 10, 2024
Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! π
Thomas Mtaki (Guest) on May 9, 2024
Hii imenikuna hadi nina furaha! ππ
David Sokoine (Guest) on April 20, 2024
π Hii imenigonga kweli!
George Tenga (Guest) on February 12, 2024
Huu ucheshi hauna kifani! π€£π₯
Samson Tibaijuka (Guest) on January 16, 2024
π Nilihitaji kicheko hiki, asante!
Umi (Guest) on January 13, 2024
π Nilihitaji hii!
Shukuru (Guest) on December 27, 2023
π Siwezi kuacha kucheka na hii!
John Mwangi (Guest) on December 24, 2023
π Hii imenichekesha kwa sauti kweli!
Janet Wambura (Guest) on December 24, 2023
Hii imenichekesha sana! π€£π
Esther Nyambura (Guest) on December 17, 2023
Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! ππ
Joseph Kitine (Guest) on December 16, 2023
Hii imenikumbusha enzi zile! π π
Jane Malecela (Guest) on December 5, 2023
π Nacheka hadi chini!
Josephine Nduta (Guest) on November 24, 2023
Umesema kweli! ππ
Anna Sumari (Guest) on November 20, 2023
Nimecheka hadi mbavu zinauma ππ
Kenneth Murithi (Guest) on November 16, 2023
Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! ππ
Grace Majaliwa (Guest) on November 14, 2023
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! π π
Lydia Wanyama (Guest) on October 5, 2023
Hii joke imenikumbusha enzi zile! ππ
David Sokoine (Guest) on October 2, 2023
Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! π
Bernard Oduor (Guest) on September 9, 2023
π πππ
Edward Chepkoech (Guest) on September 2, 2023
π Lazima nihifadhi hii!
Dorothy Mwakalindile (Guest) on September 2, 2023
Haha, hii ni ya kuhifadhi! π
Rubea (Guest) on August 27, 2023
Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! π
Moses Kipkemboi (Guest) on August 12, 2023
π€£π₯π
Lydia Mutheu (Guest) on August 2, 2023
Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! π€£
Neema (Guest) on June 23, 2023
Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! π€£
Patrick Kidata (Guest) on June 2, 2023
π Imeongezwa kwenye vipendwa!
Charles Mboje (Guest) on May 26, 2023
ππ€£ππ
Kenneth Murithi (Guest) on May 18, 2023
π Bado nacheka, siwezi kuacha!
Wilson Ombati (Guest) on May 10, 2023
Hii kichekesho imenifurahisha sanaβimebamba! π€£
Dorothy Mwakalindile (Guest) on February 27, 2023
π Kichekesho gani!
Frank Sokoine (Guest) on February 17, 2023
Hii imenipa kicheko cha siku! ππ
Peter Tibaijuka (Guest) on January 30, 2023
Kweli mna kipaji cha ucheshi! ππ
Nancy Komba (Guest) on January 27, 2023
Hizi jokes ni za kipekee sana! ππ
Ann Wambui (Guest) on January 17, 2023
π Hii imenifanya siku yangu iwe bora!
Susan Wangari (Guest) on January 11, 2023
π Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!
Josephine Nekesa (Guest) on January 8, 2023
Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! π€£π
Edward Chepkoech (Guest) on December 26, 2022
π Nitaiiba hii bila shaka!
Mwanais (Guest) on December 10, 2022
Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! π
David Sokoine (Guest) on November 28, 2022
ππ
Rahma (Guest) on November 20, 2022
Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! π°
Dorothy Nkya (Guest) on November 16, 2022
Kweli mna ucheshi! ππ€£
Mwajabu (Guest) on October 29, 2022
π Kali sana!
Martin Otieno (Guest) on October 18, 2022
ππ ππ
Andrew Mahiga (Guest) on October 9, 2022
Hii ni joke ya ukweli kabisa! ππ€£
Mary Kendi (Guest) on September 30, 2022
π Ninaihifadhi hii!
Mary Njeri (Guest) on September 19, 2022
Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! ππ
Emily Chepngeno (Guest) on September 13, 2022
Kweli mna ucheshi wa kipekee! ππ€£
Jamal (Guest) on August 24, 2022
Hii imenigonga vizuri, punchline gani! π
Nahida (Guest) on August 10, 2022
π Kichekesho kamili!
Francis Mrope (Guest) on August 4, 2022
Nimefurahia hii sana! ππ