Kwa nini uume unasimama mara nyingine wakati wa kuamka asubuhi?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Ni kweli kwamba mara nyingi hali hii huwatokea wavulana na wanaume. Ndani ya uume kuna mishipa mingi ya damu na kama damu nyingi i i ikienda sehemu hii i ii inasababisha uume kuwa mgumu na kusimama. Mtu anapolala huwa ametulia na hivyo damu inaweza kusukumwa kuelekea kwenye uume. Kwa hiyo, msukumo wa damu ndani ya uume ni sababu pekee ya uume kusimama. Pia kujaa kwa kibofu cha mkojo huweza kusababisha uume kusimama wakati wa kuamka usingizini asubuhi.
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Je, mimba hupatikanaje?
Ukitaka kuelewa jinsi mimba i inavyopatikana, lazima uelewe mzung...
Read More
Kama wapenzi wapya au wapenzi wa muda mrefu, ni muhimu sana kujadili matarajio ya ngono/kufanya m...
Read More
Dawa za kulevya zenyewe hazisababishi UKIMWI na magonjwa ya zinaa. Lakini utumiaji wa dawa za kul...
Read More
Inawezekana kwa msichana au mwanamke aliyebakwa kupata
mimba. Uwezekano wa kupata mimba ni s...
Read More
Hakuna kitu kizuri kama kuwa na tarehe ya kufurahisha na msichana wako. Iwe ni siku ya kuzaliwa, ...
Read More
Kama kati ya mwanamke na mwanaume hakuna mwenye magonjwa ya zinaa, hakuna madhara yoyote kwa mwan...
Read More
Ubikira ni nini?:ย Maana halisi ya neno โbikiraโ ni mwanamke au mwanaume amb...
Read More
Hakuna mwenye kosa, kwa sababu jinsia ya mtoto i inategemea na bahati na hamna uwezekano wa kupan...
Read More
Mwili wa mwanaume unatengeneza aina mbili za mbegu. Kuna mbegu zinazokua kuwa mtoto wa kiume na k...
Read More
-
Kutumia Kinga Hupunguza Hatari za Maambukizi ya Ngono
Kutumia kinga ni hatua muhimu kat...
Read More
Katika baadhi za jamii viungo vya uzazi vya nje vya msichana,
yaani kisimi au sehemu ya ndan...
Read More
Virusi vya UKIMWI kwa kiasi kikubwa vinaenea kwa njia ya kujamii ana. Kama mtu ana wapenzi wengi ...
Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!