Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.
Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?
Date: April 17, 2022
Author: SW - Melkisedeck Shine
Comments
Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.
Related Posts
Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono?
Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono? π€β
-
Jua vipaumbele v... Read More
Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?
Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako? Ndio! Ni m... Read More
Madhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu
Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathir...
Read More
Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?
Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si ...
Read More
Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana
Kuwa msichana ni nzuri, lakini kuwa msichan... Read More
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?
Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba? πΈπ
Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Mzuri na Msichana
Mara nyingi, wanaume wamekuwa wakipata wakati mgumu kuwa na uhusiano mzuri na msichana. Inawezeka... Read More
Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako
Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume... Read More
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI
Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI
Karibu vijana wapendwa! Leo, nataka kuzu... Read More
Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?
Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More
Je, ni muhimu kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi?
Kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sana katika jamii yetu.... Read More
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi?
Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi... Read More
No comments yet. Be the first to share your thoughts!