Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Je, mama anayenyonyesha mtoto anaweza kupata mimba?

Featured Image

Katika miezi sita ya mwanzo baada ya kujifungua, mwanamke anayenyonyesha mtoto anapata kinga ya mimba kwa asilimia kubwa. Lakini i i inabidi mama anyonyeshe mtoto kwa kipindi kirefu (muda wote mtoto awe ananyonya maziwa ya mama tu na anyonye kila anapohitaji) na vilevile mama awe hajaanza kupata hedhi yake. Kama mama ameanza kupata hedhi yake au kama anampa mtoto chakula kingine, anaweza kupata mimba tena. Kwa hivyo, anashauriwa kutumia njia za kupanga uzazi i i ili kuzuia mimba za mfululizo.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Mawazo yasiyofaa kuhusu Ngono? πŸ€”βœ‹

  1. Jua vipaumbele v... Read More

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako?

Je, kuna umuhimu wa kuelewa tamaa na mahitaji ya ngono/kufanya mapenzi ya mwenza wako? Ndio! Ni m... Read More

Madhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu

Madhara yanayotokea kwa unyanyasaji wa jinsia kwa mtu

Unyanyasaji wa ujinsia una matatizo mabaya ya kimwili na
yanayochukua muda mrefu kwa mwathir... Read More

Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?

Inatokeaje, katika baadhi ya mazingira baba anakataa kuwa mtoto si wake?

Katika mazingira fulani, baba anapomuona mtoto ana ngozi
nyeupe anakataa ya kwamba mtoto si ... Read More

Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana

Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana

Njia za Kuunda Maisha ya Kusisimua na Msichana

Kuwa msichana ni nzuri, lakini kuwa msichan... Read More

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba?

Nifanyeje Kuzungumza na Mwenzi Wangu kuhusu Matumizi ya Vidonge vya Kuzuia Mimba? 🌸🌍

Read More
Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Mzuri na Msichana

Vidokezo vya Kuwa na Uhusiano Mzuri na Msichana

Mara nyingi, wanaume wamekuwa wakipata wakati mgumu kuwa na uhusiano mzuri na msichana. Inawezeka... Read More

Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako

Vidokezo vya Kuonyesha Heshima kwa Ndugu za Msichana Wako

Leo tutazungumzia kuhusu vidokezo vya kuonyesha heshima kwa ndugu za msichana wako. Kama mwanaume... Read More

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI

Jinsi ya Kujikinga na Maambukizi ya VVU na UKIMWI

Karibu vijana wapendwa! Leo, nataka kuzu... Read More

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Je, ni lazima kumeza vidonge vya kuzuia mimba siku zote, hata zile siku nisipojamiiana?

Ndiyo, vidonge vya kuzuia mimba ni lazima vimezwe kila siku hata kama hufanyi ngono siku hiyo. Ku... Read More

Je, ni muhimu kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi?

Je, ni muhimu kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi?

Kujadili haki na usawa wa kijinsia katika ngono/kufanya mapenzi ni muhimu sana katika jamii yetu.... Read More

Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna umuhimu wa kufanya mazoezi ya kuboresha nguvu na stamina wakati wa ngono/kufanya mapenzi... Read More