Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kuna athari gani za mimba za utotoni hasa kwa kijana Albino?

Featured Image

Katika masuala ya athari za mimba katika umri mdogo ni
kwamba vijana Albino hawana tofauti na vijana wengine . Bado
inashauriwa na kutiliwa mkazo umuhimu wa msichana kutopata
mimba akiwa na umri chini ya miaka 18.

Sababu kubwa ikiwa ni
kuwa mwili wa msichana
ambaye umri wake ni chini
ya miaka 18 haujakomaa
vya kutosha kuweza
kuhimili ujauzito bila
matatizo. Katika umri huu
mdogo, uwezekano mkubwa
wa kupata matatizo
yanayotokana na ujauzito,
hasa wakati wa kujifungua.
Uzoefu umeonyesha
kuwa mara nyingi wakati
wa kujifungua mtoto
anashindwa kutoka na
inabidi mama afanyiwe
upasuaji. Pia katika
umri huu uwezekano ni
mkubwa mtoto kuzaliwa
njiti (hajafikia muda wa
kuzaliwa).
Tatizo jingine linaweza kutokea pale ambapo kichwa cha mtoto
ni kikubwa au mama anakuwa na uchungu wa muda mrefu na
kusababishwa kuchanika kwenye mfumo wa uzazi kwenye njia
ya haja ndogo au hata na njia ya haja kubwa na mama kupata
fistula. Hali hii ikitokea itamfanya mama hatimaye awe anavuja
ama haja ndogo au haja kubwa au vyote viwili kupitia njia ya
ukeni.

Mbali na madhara haya ya kiafya, msichana anaweza kupata
matatizo mengine ya kijamii kama vile kufukuzwa shule,
kusababisha ugomvi ndani ya familia na jamii. Kwa mantiki hii,
ni muhimu kwa vijana kusubiri hadi kufikia miaka 18 wakiwa
tayari kuchukua / kubeba majukumu kama wazazi.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Kwa nini watu wengine wanaamua kutoa mimba?

Hapa Tanzania utoaji wa mimba hauruhusiwi kisheria. Hata hivyo watu wengine wanaamua kutoa mimba ... Read More

Vidokezo vya Kuchagua Tarehe ya Kuvutia na Msichana

Vidokezo vya Kuchagua Tarehe ya Kuvutia na Msichana

Kuchagua tarehe ya kuvutia na msichana inaweza kuwa changamoto sana, lakini kwa bidii na uwezo wa... Read More

Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Kuvutia na Msichana

Jinsi ya Kuwa na Mazungumzo ya Kuvutia na Msichana

Kupata mazungumzo ya kuvutia kwa msichana unayempenda kunaweza kuwa changamoto kubwa kwa wanaume ... Read More

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

Njia za Kujenga Ushawishi na Msichana katika Uhusiano

  1. Kuwasiliana kwa Ukaribu Ha... Read More

Njia zipi zinaweza kumletea mwanamke mshindo haraka, na zipi zinamletea mwanaume mshindo haraka? Njia za kufika kileleni

Njia zipi zinaweza kumletea mwanamke mshindo haraka, na zipi zinamletea mwanaume mshindo haraka? Njia za kufika kileleni

Jambo la msingi kabisa ni kwamba wote wawili kuwa tayari kwa kujamii ana. Yaani kupendana na kuja... Read More

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele?

Je, watu wanapendelea ngono/kufanya mapenzi ya kimyakimya au ngono/kufanya mapenzi ya kelele? Hii... Read More

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Watu wafanye nini iwapo wamelazimishwa kufunga ndoa na mtu wasiyemtaka?

Iwapo mtu amelazimishwa
kuingia katika hali ya ndoa
(kuoa/kuolewa) na msichana/
mv... Read More

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono?

Nifanyeje Kukabiliana na Hisia za Kukosa Uaminifu kuhusu Ngono? 🌟

Karibu kwa makala hii... Read More

Je, ni kweli kuwa ulemavu unaweza kugundulika mara tu mtoto anapozaliwa?

Je, ni kweli kuwa ulemavu unaweza kugundulika mara tu mtoto anapozaliwa?

Ni kweli kuwa daktari anaweza kufanya vipimo vya kugundua
kama mtoto aliye tumboni ni mwenye... Read More

Ni siku gani katika mzunguko wa hedhi yai linapoweza kurutubishwa? Siku za hatari

Ni siku gani katika mzunguko wa hedhi yai linapoweza kurutubishwa? Siku za hatari

Yai mmoja hupevuka siku 14 kabla ya hedhi i i inayofuata. Baada ya yai kukomaa ndani ya kokwa la upa... Read More
Umri wa kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango

Umri wa kuanza kutumia njia za uzazi wa mpango

Muda unaofaa kutumia njia ya kupanga uzazi ni wakati unapojamiiana kwa mara ya kwanza. Huu ni wak... Read More

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Je, kuna tofauti za kitamaduni katika mtazamo wa ngono/kufanya mapenzi?

Habari za leo wapenzi wa Kiswahili! Leo tutajadili suala la tofauti za kitamaduni katika mtazamo ... Read More