Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Mapishi ya Pilau Ya Nafaka Na Nyama Ya Kusaga

Featured Image

VIAMBAUPISHI

Mchele - 3 vikombe

Nyama ya kusaga - 1 LB

Mchanganyiko wa Nafaka upendazo; maharagwe, njegere, mbaazi n.k 1 mug

Vitunguu maji kata vipande vipande - 3 vya kiasi

Kitunguu saumu(thomu/galic) na Tangawizi - 2 vijiko vya supu

Mafuta - ½ Kikombe

Mchanganyiko wa bizari (Garam Masala) - 2 vijiko vya chai

Vipande vya supu (Maggi cubes) - 3

Maji (inategemea mchele) - 5

Chumvi - Kiasi

MAPISHI

Osha mchele na roweka.
Weka mafuta katika sufuria na kaanga vitunguu mpaka viwe brown.
Tia Thomu na tangawizi, kaanga kidogo.
Weka nyama ya kusaga, chumvi na garam masala, endelea kukaanga mpaka nyama iwive.
Mwaga maji yaliomo katika kopo la nafaka na utie nafaka pekee humo.
Tia maji na vipande vya supu (Maggi cubes) huku unavivuruga, koroga kidogo.
Tia mchele, koroga kidogo.
Funika na pika kwa moto mdogo mpaka karibu na kukauka ukikorogoka kidogo. (kama unavyopika pilau ya kawaida)
*Epua uipike katika moto wa oven 350-400 Deg kwa muda wa dakika 15.
*Kama sufuria uliyotumia sio ya kupikia katika oven, mimina katika chombo chochote kinachotumika kwa oven kama bakuli la pyrex au treya za foil.
Pakua katika sahani na iko tayari kuliwa.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

No comments yet. Be the first to share your thoughts!

Related Posts

Jinsi ya kutengeneza Fagi Ya Kumumunyuka Mdomoni

Jinsi ya kutengeneza Fagi Ya Kumumunyuka Mdomoni

VIAMBAUPISHI

Maziwa mazito matamu (condensed milk) - 2 vibati

Sukari - 1 kikombeRead More

Mapishi ya Mchemsho wa ndizi na nyama

Mapishi ya Mchemsho wa ndizi na nyama

Mahitaji

Ndizi mbichi 6
Nyama ya ng'ombe (nusu kilo)
Viazi mviringo 2
Kitu... Read More

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Cornflakes

Jinsi ya kutengeneza Biskuti Za Cornflakes

MAHITAJI

Unga - 1 Kikombe

Sukari ya kusaga - 3/4 Kikombe

Siagi - 125 gms

<... Read More
Mapishi ya Wali Wa Nyanya Wa Kukaanga

Mapishi ya Wali Wa Nyanya Wa Kukaanga

Vipimo

Mchele basmati, pishori - 3 vikombe

Vitunguu katakata - 2

Nyanya/tungu... Read More

Mapishi ya Ugali na dagaa

Mapishi ya Ugali na dagaa

Mahitaji

Dagaa (dried anchovies packet 1)
Unga wa ugali (corn meal flour 1/4 kilo) (... Read More

Mapishi ya Biskuti Za Mtindi/Yoghurt

Mapishi ya Biskuti Za Mtindi/Yoghurt

MAHITAJI

Chenga za biskuti - 3 gilasi

Mtindi (yogurt) - 1 Kopo (750g)

Maziwa ... Read More

Jinsi ya kupika Cookies Za Jam Ya Peach Na Raspberry

Jinsi ya kupika Cookies Za Jam Ya Peach Na Raspberry

MAHITAJI

Unga kikombe 1 ½

Siagi ½ kikombe

Sukari ½ kikombe

Yai 1

... Read More
Namna ya kupika Vitumbua

Namna ya kupika Vitumbua

Vitumbua ni aina ya vitafunwa vya chai ambavyo hutengenezwa kwa kutumia unga wa mchele. Kiasili v... Read More

Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu

Mapishi ya Chapati za maji za vitunguu

Mahitaji

Unga wa ngano (plain flour) 1/4
Kitunguu kikubwa (chopped/slice onion) 1Read More

Mapishi ya Biriani la nyama ya ng'ombe

Mapishi ya Biriani la nyama ya ng'ombe

Mahitaji

Nyama ya ng'ombe (beef 1/2 kilo)
Mchele (rice 1/2 kilo)
Vitunguu (onio... Read More

Jinsi ya kutengeneza Mkate wa mayai

Jinsi ya kutengeneza Mkate wa mayai

Mahitaji

Slice za mkate 6
Mayai 3
Chumvi
Olive oil

Matayarisho

... Read More
Mapishi ya viazi mbatata Vya Nazi Kwa Nyama Ya Ng'ombe

Mapishi ya viazi mbatata Vya Nazi Kwa Nyama Ya Ng'ombe

Mahitaji

Mbatata / viazi - 2 kilo

Nyama ng’ombe - ½ kilo

Kitunguu maji - 2... Read More