Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia alichokifanya huyu mtu baada ya kuokota wallet ya thamani

Featured Image

Jamaa aliokota wallet, alipofika nyumbani akapiga simu kwenye radio station "naitwa Juma nimepiga simu kutangaza kuwa nimeokota wallet ndani ina laki7, ATM card na karatasi yenye PIN ya ATM card na kijimfuko cha dhahabu" Mtangazaji akasema, kwa hiyo ungependa kumrudishia mwenyewe kama anakusikiliza? Jamaa akajibu; hapana, ninaomba kumuombea dedication wimbo wa R.Kelly usemao "U SAVED ME" umfikie popote alipo!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanakhamis (Guest) on June 12, 2024

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Guest (Guest) on December 26, 2025

"Nimefurahi sana" niko kigoma kasulu 0693092490

Guest (Guest) on December 26, 2025

"Nimefurahi sana" niko kigoma kasulu 0693092490

Lydia Mutheu (Guest) on June 4, 2024

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Kazija (Guest) on June 2, 2024

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mwakisu (Guest) on May 18, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Agnes Njeri (Guest) on May 9, 2024

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Martin Otieno (Guest) on May 4, 2024

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on March 30, 2024

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on March 25, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Irene Makena (Guest) on March 23, 2024

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nora Lowassa (Guest) on December 17, 2023

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

David Nyerere (Guest) on November 26, 2023

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on November 16, 2023

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Patrick Akech (Guest) on September 11, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on August 27, 2023

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on August 20, 2023

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Khatib (Guest) on July 21, 2023

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Sharifa (Guest) on July 6, 2023

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joyce Nkya (Guest) on June 29, 2023

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Halima (Guest) on June 21, 2023

πŸ˜† Kali sana!

Mwafirika (Guest) on June 20, 2023

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Alex Nakitare (Guest) on June 16, 2023

πŸ˜‚πŸ€£

Faiza (Guest) on June 14, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 24, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on April 13, 2023

😁 Kicheko bora ya siku!

Lydia Mahiga (Guest) on March 31, 2023

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on March 26, 2023

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on February 18, 2023

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Vincent Mwangangi (Guest) on February 14, 2023

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Joyce Mussa (Guest) on February 9, 2023

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Stephen Malecela (Guest) on February 6, 2023

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Njeru (Guest) on January 15, 2023

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Joyce Mussa (Guest) on January 7, 2023

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Mahiga (Guest) on December 31, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 28, 2022

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Makame (Guest) on October 16, 2022

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2022

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Rose Amukowa (Guest) on September 25, 2022

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 20, 2022

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Peter Mwambui (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜† Bado nacheka!

James Malima (Guest) on September 1, 2022

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Robert Okello (Guest) on September 1, 2022

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on August 21, 2022

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 18, 2022

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Catherine Mkumbo (Guest) on August 17, 2022

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Masika (Guest) on August 5, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Joyce Mussa (Guest) on July 30, 2022

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Janet Sumaye (Guest) on July 20, 2022

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Lucy Mushi (Guest) on July 12, 2022

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Zainab (Guest) on July 12, 2022

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Isaac Kiptoo (Guest) on July 2, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on May 21, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

David Chacha (Guest) on April 12, 2022

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Grace Njuguna (Guest) on February 24, 2022

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Grace Mligo (Guest) on February 6, 2022

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Grace Wairimu (Guest) on January 14, 2022

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Francis Njeru (Guest) on December 29, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 13, 2021

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Chum (Guest) on December 12, 2021

πŸ˜„ Kali sana!

Related Posts

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Cha kufanya mpenzi wako akikuacha

Kumkomoa…

MPENZI WAKO AKIKUACHA BILA SABABU CHUKUA SIMU MPIGIE MAMA AKE MWAMBIE M... Read More

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Baada ya kunitumia SMS usiku ikawa hivi….

Jana usiku kuna Jirani yangu..kanitumia text "mambo vipi?"…halafu tunakaa nae mtaa mmoja nikao... Read More

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahami... Read More
Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More