Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Featured Image

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, analivaa dela bila nguo ya ndani mbele yako, unazidiwa anakupa kitu fresh unatoka unatabasamu.πŸ€πŸ½πŸ™ŒπŸ½

Mwanamke wa kitanga:
Unampa hela anapika vitu mtaa mzima unasikia harufu ya chakula, chenji inayo baki ananunua kinga ukirudi unakula afu unakula..πŸ‘πŸΌπŸ‘πŸΌπŸ€πŸ½πŸ™ŒπŸ½

Mwanamke wa kihaya:
Unampa hela ukirudi unakuta majirani wote wanataarifa kuwa wew uliacha hela, anakupkia vitu vzuri, usiku anakuhudumia ukimsifia anakuhudumia tena hata mara nne kwa usiku mmoja..we mle sifa tuπŸ™ŒπŸ½πŸ™ŒπŸ½πŸ€ΈπŸΎβ€β™€πŸ‘ŒπŸ½.

Mwanamke wa kichaga:
Unampa hela anaenda ananunua dagaa anapika na michuzi mingi mpaka dagaa wanafufuka unakula kwa shida, dagaa wanakula utumbo wako unakufa.. Madaktari wanajitahidi wanakutibu unafufuka. Ukiwa hujapata akili vizuri anakuletea bili ya umeme, anakukumbusha deni la kwa Massawe, anakukumbusha kodi ya nyumba.. *Unashikwa na presha unakufa moja kwa moja*πŸ™ŒπŸ½πŸ˜‚πŸ™†πŸΌβ€β™‚πŸƒπŸΎπŸ€ΈπŸΎβ€β™€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Michael Mboya (Guest) on June 30, 2024

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 9, 2024

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on June 8, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Edward Chepkoech (Guest) on May 16, 2024

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Josephine Nduta (Guest) on April 2, 2024

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kheri (Guest) on March 16, 2024

πŸ˜† Hiyo punchline!

Joy Wacera (Guest) on February 8, 2024

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Lucy Kimotho (Guest) on February 5, 2024

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on January 24, 2024

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Betty Cheruiyot (Guest) on January 20, 2024

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Elizabeth Mrope (Guest) on January 11, 2024

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Hawa (Guest) on December 21, 2023

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on December 11, 2023

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on December 1, 2023

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

John Lissu (Guest) on November 21, 2023

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alex Nyamweya (Guest) on November 6, 2023

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on November 4, 2023

πŸ˜‚πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on October 21, 2023

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Mrope (Guest) on October 20, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Rose Waithera (Guest) on October 18, 2023

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Elizabeth Mtei (Guest) on August 26, 2023

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Lydia Mahiga (Guest) on August 19, 2023

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Benjamin Masanja (Guest) on August 15, 2023

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mariam (Guest) on August 6, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Charles Mboje (Guest) on July 22, 2023

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Esther Nyambura (Guest) on July 18, 2023

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 26, 2023

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

George Mallya (Guest) on June 15, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on May 4, 2023

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on April 30, 2023

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Sekela (Guest) on April 19, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Shukuru (Guest) on April 10, 2023

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Mwanahawa (Guest) on March 26, 2023

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Joseph Kiwanga (Guest) on March 17, 2023

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mariam Kawawa (Guest) on March 6, 2023

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on March 3, 2023

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on February 27, 2023

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Alice Mwikali (Guest) on February 25, 2023

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on February 11, 2023

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Asha (Guest) on February 8, 2023

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Linda Karimi (Guest) on January 24, 2023

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on January 23, 2023

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on January 4, 2023

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nasra (Guest) on December 19, 2022

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mariam Hassan (Guest) on December 3, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mtumwa (Guest) on November 30, 2022

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Christopher Oloo (Guest) on November 28, 2022

πŸ˜… Bado nacheka!

Neema (Guest) on November 21, 2022

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Susan Wangari (Guest) on November 3, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on October 13, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Abubakari (Guest) on September 23, 2022

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Michael Onyango (Guest) on August 27, 2022

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Abdullah (Guest) on August 1, 2022

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Alice Jebet (Guest) on July 28, 2022

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Saidi (Guest) on June 3, 2022

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Janet Sumari (Guest) on May 28, 2022

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Masika (Guest) on May 27, 2022

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mgeni (Guest) on May 18, 2022

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Jane Muthui (Guest) on May 2, 2022

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on March 16, 2022

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Related Posts

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na Binti aliyeacha shule

Kuwa na binti aliyeacha shule ni BALAA.

Anaweza kukuacha kwa s... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Je, hili nalo ulilipitia ulipokua Shuleni?

Hakuna Kitu Kilikua Kinaniumizaga Kipindi Nipo Shuleni.

Time Mmetoka Kwenye Mitihani Wa Mat... Read More

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Kwa nini vitu vunavyoanza na "K" ni vitamu sana?

Zuzu kaniuliza, "Anko, unajua vitu vinavyoanzia na K ni vitamu sana." Nikashtuka, "Astaghafilulah we... Read More
Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Huyu jamaa kawaweza wapenda vya bure

Jamaa kaingia mgahawani kwa fujo
JAMAA :Β Nipe soda moja na kila mtu mpe ya... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More