Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMS💌💕
AckyShine

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Featured Image

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Jumamosi utasikia wanaaga nafika hapo njiani naja naenda kununua gazeti.

Kumbe wanaenda kunywa supu unasubiri wee mpaka alasiri au jioni

Hivyo wanandoa wengi hili limekuwa tatizo mwanaume kiguu na njia asb mchana na njia kumuacha mama na watoto.

Nini kifanyike hasa weekenda Mwanaume ashinde NYUMBANI akikupumzikia??

Zipo njia nyingi mojawapo SUPU YA WEEKEND NA MAZUNGUMZO NA MKAO

Ni kweli wanawake wengi hamjuagi kuwakalisha waume home.

Anza hivi
Siku uko home wewe amka mapema kabla yake anza makeke jikoni…

Mara blenda priiiii… juice… ama milk shake…. hahahaha..Utaona anasogea jikoni..

Wakati anakunywa juice ama milk shake…Anza kukuna nazi…

Chambua mnafu…

Hapo jikoni kuna kanyama kanachemka… katia kitunguu tupia viazi 2 na ndizi.Hahaha..

ile harufu ikianza kutoka utasikia anafuata maji jikoni… hahahaha kwenye friji… wala hatumi..

Hahaahha… utasikia nini kiko jikoni?Hahahaa.

Mmiminie supu…

Na ndizi mbili na kiazi kimoja kapilipili mbuzi pembeni..

Muulize kuna chapati…Mpe.. hahahahaha..Akimaliza supu nakuapia atasinzia..

.Akishtuka ugali na mnafu na nyama umeiva…Mpe ale..Mshushie na glass ya mtindi…Hahahaha..

analewa full Hata kama kuna mama junior anaambiwa usipige…

Hahahahahaha….Baada ya hapo acha apumzike… aoge…

Kisha funga ka khanga kako kepesi jilaze pembeni.. woiiiiiiiii..

Mkimaliza muombe pesa ya sokoni…

NAKUAPIA HATA KAMA JANA YAKE ALIKUPA ATAKUPA TENA.

Hahahahaha.. jamani…

Hahahahaha… yani kwa raha ya supu… nakuapia utaambiwa hata mama alipiga simu jana… hahahaha.. ama utasikia mamii.. njoo uone njoo… unaitiwa kitu cha kwenye tv.. hahaha.

Hata hujaona mwanzo ila kwa raha yakasupu utaitwa…

Hata kama huna kalio nakuambia utapigwa kibao hata cha mgongo…. hahahahahahahahahaha.

Sasa wewe unaamka chai na mkate kama chuo cha uhazili…
Wali maharage kama jeshi la j

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Peter Otieno (Guest) on July 31, 2017

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Susan Wangari (Guest) on July 18, 2017

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! 😂

Fredrick Mutiso (Guest) on July 10, 2017

Kweli mna ucheshi! 😂🤣

Peter Mugendi (Guest) on June 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! 😆👌

Janet Sumari (Guest) on June 21, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! 🏆

Diana Mallya (Guest) on May 19, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! 😂🤣

George Wanjala (Guest) on May 11, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! 😆

Lucy Mahiga (Guest) on April 1, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha! 😊😂

Anna Mchome (Guest) on March 20, 2017

😂 Nalia kwa kweli hapa!

Agnes Sumaye (Guest) on February 6, 2017

😅 Bado nacheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on January 18, 2017

Nimefurahia sana hii joke! 😅😂

Edith Cherotich (Guest) on January 5, 2017

🤣🤣👏😆

Maulid (Guest) on December 22, 2016

😅 Nilihitaji hii!

Monica Lissu (Guest) on November 24, 2016

😂 Ninashiriki mara moja!

David Nyerere (Guest) on November 11, 2016

😅 Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Maulid (Guest) on October 22, 2016

😄 Kichekesho gani!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 16, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! 😂😂

Margaret Mahiga (Guest) on August 31, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! 😂😅

Khadija (Guest) on August 16, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Baraka (Guest) on July 25, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Jaffar (Guest) on June 30, 2016

😆 Ninacheka sana sasa hivi!

Linda Karimi (Guest) on June 27, 2016

🤣🤣😂

Rubea (Guest) on May 24, 2016

😆 Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on May 10, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🤣

Paul Ndomba (Guest) on March 13, 2016

😃 Hali imeboreshwa papo hapo!

Michael Onyango (Guest) on March 6, 2016

Hii ni ya maana sana! 😂👌

Michael Mboya (Guest) on March 3, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😂😅

Michael Mboya (Guest) on March 2, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 😊😂

Margaret Mahiga (Guest) on February 20, 2016

😄 Kichekesho kamili!

Nancy Kawawa (Guest) on February 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! 😊😅

Mariam Hassan (Guest) on January 31, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! 👏😆

Anna Malela (Guest) on January 28, 2016

Hii imenifurahisha kweli! 😆😂

Janet Sumaye (Guest) on January 5, 2016

Asante Ackyshine

Janet Mbithe (Guest) on December 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee! 🤣👌

Stephen Malecela (Guest) on December 6, 2015

😄 Umenishika vizuri!

Jamila (Guest) on November 17, 2015

🤣 Nalia kwa kicheko kweli!

Paul Ndomba (Guest) on November 3, 2015

🤣😆😊😂

Nassor (Guest) on November 2, 2015

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! 😂

Ramadhan (Guest) on November 1, 2015

🤣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

😆😂👏

Miriam Mchome (Guest) on October 11, 2015

😅😊😂👏

Kheri (Guest) on September 4, 2015

😆 Naihifadhi hii!

Grace Wairimu (Guest) on September 2, 2015

😂 Hii ni kali sana!

Janet Mwikali (Guest) on July 15, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! 😅😊

Mary Kendi (Guest) on July 13, 2015

Hii joke imenikumbusha enzi zile! 😊😂

Stephen Kangethe (Guest) on July 1, 2015

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! 😆

Frank Sokoine (Guest) on June 23, 2015

Mna talent ya jokes! 👏😂

George Mallya (Guest) on June 15, 2015

🤣🔥😊

David Sokoine (Guest) on June 1, 2015

😂 Siwezi kuacha kucheka na hii!

Anna Mahiga (Guest) on May 16, 2015

🤣👍👌

Esther Cheruiyot (Guest) on May 6, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! 🤣😅

Martin Otieno (Guest) on April 29, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🤣😭

Janet Wambura (Guest) on April 22, 2015

🤣😄😊

Bakari (Guest) on April 21, 2015

😃 Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Chiku (Guest) on April 12, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! 📌

Francis Mtangi (Guest) on April 8, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! 😊😆

Related Posts

Staili nyingine za michepuko ni shida

Staili nyingine za michepuko ni shida

Mtu na mkewe walikuwa bado wamelala asubuhi, mtu akapiga hodi mke akaenda kufungua mlango, si aka... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani ⛪

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani ⛪

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

Hii bahati mbaya hii haifai kusema Samahani

(KIFO NI NIN)
KIFO ni pale unapokosea text na kumtumia

... Read More
Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Soma alichojibiwa huyu mzee baada ya kudai kutaka kumsikiliza Nyerere

Mzee: Dereva ongeza sauti tumsikilize Mwalimu Nyerere!!

Dereva: ungemsikiliza mwalimu wa... Read More

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Ameniomba nimfungulie akaunt facebook cheki nilichomjibu

Leo nimechoka zangu alafu shangazi amekuja anataka nimuunganishe facebook. Imebidi nimwambie
Read More