Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Featured Image

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi akamjibu No! Mzungu mwengine akapita akamuliza vilevile akajibu No!

Akaona hapa anasumbuliwa akasogea mbele kidogo ya maji akamuona mzungu mmoja alikuwa ame2lia. Akamuliza "are u relax? Mzungu akajibu yes jamaa akamkata makofi mawili na kumwambia kumbe we ndo relax inuka unatafutwa na wenzako…..Shenz mkubwa mie nasumbuliwa na wenzako kule we umejikausha!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hellen Nduta (Guest) on May 28, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on May 16, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Victor Sokoine (Guest) on May 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Halimah (Guest) on April 30, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Kidata (Guest) on April 28, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Ruth Mtangi (Guest) on April 3, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Charles Mrope (Guest) on April 2, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on March 23, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Rukia (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Robert Okello (Guest) on February 13, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on January 26, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Paul Ndomba (Guest) on January 19, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Fredrick Mutiso (Guest) on December 26, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Philip Nyaga (Guest) on November 4, 2016

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on November 2, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on October 23, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on October 13, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 5, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2016

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Ruth Kibona (Guest) on August 31, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on August 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on August 7, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Benjamin Masanja (Guest) on July 12, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on June 28, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Bahati (Guest) on June 2, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Maida (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Edith Cherotich (Guest) on May 10, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Bakari (Guest) on May 7, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Cheruiyot (Guest) on April 27, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on April 24, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on April 22, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mohamed (Guest) on April 14, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Andrew Odhiambo (Guest) on March 30, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Halima (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Philip Nyaga (Guest) on March 7, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Lucy Mahiga (Guest) on February 5, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on February 3, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Mariam Kawawa (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Dorothy Nkya (Guest) on January 28, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

John Malisa (Guest) on January 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on December 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Saidi (Guest) on December 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Nassor (Guest) on December 17, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Latifa (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Victor Kamau (Guest) on November 22, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 11, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on October 26, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mugendi (Guest) on October 26, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

John Mwangi (Guest) on September 29, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

James Malima (Guest) on September 20, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Mary Njeri (Guest) on September 19, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Francis Mrope (Guest) on August 18, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mboje (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Simon Kiprono (Guest) on June 8, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Related Posts

Unakumbuka haya enzi za shule?

Unakumbuka haya enzi za shule?

Kama umesoma st Kayumba utakuwa una aidia na haya…

1.Unaenda shule umechelewa unakuta mwa... Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyu... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Wale wa kupenda kupewa pewa namba za simu soma hii

Unaomba namba ya simu ya mdada af anakunyima ila unalazimisha akupe anaona kuliko muendelee kuong... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Maujanja ya kumkalisha mwanamme wako nyumbani weekend haya hapa

Siku hizi wa naume licha ya kukimbia nyumba zao kwa kisingizio cha kazi maajabu weekend hasa Juma... Read More

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Sababu ya mwanaume kunya kitandani alipokuwa kalala na mke wake

Jamaa flani alikuwa amelala na mkewe. Mara akamuona mtu amesimama kitandani.

Jamaa akafoka,... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Angalia huyu mgonjwa

Angalia huyu mgonjwa

Mngojwa: daktari Nina tatizo la kusahausahau kila dakika.

Daktari: hilo tatizo lilianza lin... Read More