Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Alichojibu dalali baada ya kufumwa na mke wa mtu ndani ya nyumba ya kupanga

Featured Image
Dalali aliwatafutia jamaa chumba Buguruni karibu na reli, nyumba nzuri sana. Jamaa na mkewe wakahamia kwa furaha, lakini furaha yao iliisha walipokuja gudundua nyumba ile iko karibu mno na reli treni ikipita mpaka kitanda kinacheza.

Siku hiyo dalali akapita mke akamwita na kumwambia tatizo wakati treni inapita, wakaanza kubishana, yule mama akamwambia dalali kwa kuwa kuna treni itapita sasa hivi… njoo ndani uone mwenyewe.

Bahati mbaya wakiwa wamejilaza kitandani ili dalali aone adhabu wanayopata, Mzee mwenye mali alirudi ghafla, akauliza,

'Nyie mnafanya nini hapa?'

Masikini dalali kwa woga mkubwa akajibu' Tunangoja treni'
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sarafina (Guest) on July 21, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Anna Sumari (Guest) on July 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Mwanaidha (Guest) on May 3, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Grace Wairimu (Guest) on April 5, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on April 2, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on March 29, 2017

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Patrick Akech (Guest) on March 21, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on February 17, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rose Amukowa (Guest) on February 6, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on February 2, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on February 2, 2017

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on January 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on December 3, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Faith Kariuki (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Zuhura (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Philip Nyaga (Guest) on November 27, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on November 21, 2016

🀣 Hii imewaka moto!

Michael Mboya (Guest) on November 21, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Naliaka (Guest) on October 31, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 23, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Yusra (Guest) on October 1, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Fatuma (Guest) on September 1, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nora Lowassa (Guest) on August 11, 2016

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

James Mduma (Guest) on August 10, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Njoroge (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Mwangi (Guest) on July 11, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Miriam Mchome (Guest) on July 9, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

George Wanjala (Guest) on July 7, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sumaya (Guest) on July 7, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on June 12, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on May 31, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Nyota (Guest) on April 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Sarah Karani (Guest) on April 18, 2016

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on March 25, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Komba (Guest) on February 28, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Kijakazi (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Josephine Nekesa (Guest) on February 8, 2016

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on February 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Kiwanga (Guest) on January 25, 2016

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Ibrahim (Guest) on January 17, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Dorothy Majaliwa (Guest) on December 28, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Benjamin Masanja (Guest) on December 21, 2015

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Josephine Nekesa (Guest) on December 13, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Mallya (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Fatuma (Guest) on November 16, 2015

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Paul Kamau (Guest) on October 21, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Rashid (Guest) on October 13, 2015

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Kamande (Guest) on September 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Wafula (Guest) on September 10, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Robert Okello (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜‚ Kali sana!

Dorothy Majaliwa (Guest) on June 3, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on June 1, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lucy Wangui (Guest) on May 20, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rukia (Guest) on May 11, 2015

Asante Ackyshine

Jacob Kiplangat (Guest) on May 10, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Agnes Lowassa (Guest) on April 1, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Related Posts

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Kilichompata huyu jammaa baada ya simu yake kuita msikitini

Jamaa alisahau kuzima simu akiwa msikitini anaswali GHAFLA simu ikaita akaingiza mkono ili aikat... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Utoto raha..! Angalia hawa watoto wanachokifanya sasa

Leo nimepulizia Air Fresh yenye Harufu ya Pilau nyumbani kwangu sasa watoto wa Jirani wamehamia ... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Huyu mwanamke kazidi sasa

Huyu mwanamke kazidi sasa

Jamaa: Mambo honey, upo ok?
Mrembo: Sipo ok my dear
<... Read More

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Sipendi ujinga. Cheki nilichokifanya

Nimeingia chumban nikakuta panya wamekula dawa yangu ya minyoo,

N... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Cheki jinsi huyu mwanaume alivyomuweza mwanamke wake

Demu alimpigia simu jamaa yake ilikua weekend mazungumzo yalikua hivi:-

Read More