Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Featured Image

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu toka hapa! Je rafiki
yako akijua? tena koma!
JAMAA: Ntakupa milioni 1!
MKE: Basi njoo kesho mchana
mume wangu akiwa kazini!





Kesho yake Jamaa kaja
na milioni 1 wakamalizana na mke wa rafki yake,
jioni ilipofika
Mume akarudi home na
kumuuliza Mkewe, "Rafki yangu SAM kaleta hela yangu milioni 1?"
MKE akajibu kwa unyonge, "Ndio!"
MUME: Yes! Ndio maana nampenda SAM kanikopa asubuhi jioni karejesha!!!!
Mke hoi……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Chris Okello (Guest) on March 24, 2017

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Grace Minja (Guest) on March 21, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on March 13, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Wambui (Guest) on March 11, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on February 22, 2017

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on February 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Mahiga (Guest) on February 7, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on January 10, 2017

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on January 10, 2017

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Mahiga (Guest) on January 3, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

David Kawawa (Guest) on December 15, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Alice Jebet (Guest) on October 24, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Mzee (Guest) on October 22, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on October 13, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Wande (Guest) on October 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Simon Kiprono (Guest) on October 3, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on October 1, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Yusuf (Guest) on August 20, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Linda Karimi (Guest) on August 16, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Anna Sumari (Guest) on July 20, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on July 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

John Lissu (Guest) on June 9, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

George Mallya (Guest) on May 15, 2016

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Stephen Malecela (Guest) on May 10, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on May 8, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Safiya (Guest) on April 23, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Lydia Wanyama (Guest) on March 14, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on February 26, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Esther Cheruiyot (Guest) on February 15, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 23, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on December 16, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Joyce Aoko (Guest) on December 9, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mrope (Guest) on November 26, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Monica Nyalandu (Guest) on November 13, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hassan (Guest) on November 10, 2015

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on November 2, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on November 2, 2015

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on October 31, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Nancy Kabura (Guest) on October 22, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Stephen Kikwete (Guest) on October 16, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on October 11, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on September 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rabia (Guest) on September 2, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Halima (Guest) on September 2, 2015

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Grace Wairimu (Guest) on August 31, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 18, 2015

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Thomas Mtaki (Guest) on August 14, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 9, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on August 7, 2015

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nyota (Guest) on July 8, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Henry Sokoine (Guest) on July 3, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Paul Kamau (Guest) on May 25, 2015

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Yusuf (Guest) on May 21, 2015

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on April 27, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 24, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on April 2, 2015

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Related Posts

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Acha usumbufu…

Acha usumbufu…

UNAMNG'ANG'ANIZA MPENZI WAKO AKUWEKE KWNY PROFILE PICHA MLOPIGA PAMOJA

HIVI ULIDHANI MWL.NY... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Hawa Machizi wamezidi sasa

Hawa Machizi wamezidi sasa

Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. M... Read More

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Eti wanadamu walikuja vipi duniani

Mtoto wa miaka sita alimuuliza babake:
MTOTO: Baa, eti sisi wanadamu tulikuja vipi
duni... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

Hii ndiyo sababu ya kumfanya huyu jamaa kujiita fara

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?"
MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi."
jamaa ... Read More

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More