Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Featured Image

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke hata umpendeje atakugeuka tu
RAFIKI: Nini tena ndugu yangu? Mbona shemeji mtu fresh sana
JAMAA: Hata mimi nilikuwa najua hivyo, leo nimegundua kumbe ana siri kubwa sana
ananificha, mi naita huu ni usaliti wa ndoa.
RAFIKI: Nini tena?





JAMAA:Nimegundua mke wangu kumbe anafanya biashara ya kitimoto na hajawahi hata kuniambia
RAFIKI: Kitimoto? We umejuaje?
JAMAA: Leo asubuhi nilichelewa kuamka niliamua nijipumzishe kidogo kabla ya kwenda kazini, simu ya mke wangu ikalia, nikaamua kuipokea, kabla hata sijafungua mdomo, nikasikia sauti ya mwanaume mmoja akauliza, β€œHuyo nguruwe umeshamuondoa?’ Hebu we fikiria nilivyoshtuka, yaani mpaka sasa nashindwa kuamini kuwa mke wangu ananizunguka anafanya biashara ya nguruwe hajaniambia hata siku moja


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Kenneth Murithi (Guest) on May 28, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on May 12, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on May 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on May 4, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on April 22, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

David Chacha (Guest) on February 27, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rukia (Guest) on February 4, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Rose Amukowa (Guest) on January 21, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Alex Nakitare (Guest) on January 11, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Francis Njeru (Guest) on January 7, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Umi (Guest) on December 18, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Edward Lowassa (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Chum (Guest) on December 14, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Alice Mwikali (Guest) on October 25, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Alice Mrema (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

John Lissu (Guest) on October 14, 2016

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Mzee (Guest) on October 7, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mariam Hassan (Guest) on September 23, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Muslima (Guest) on September 11, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Ahmed (Guest) on August 18, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Edward Lowassa (Guest) on August 1, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Amina (Guest) on July 17, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Joseph Kiwanga (Guest) on July 16, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Njeru (Guest) on July 8, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on July 6, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Michael Onyango (Guest) on May 29, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Baraka (Guest) on May 28, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Anna Mchome (Guest) on May 21, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Jacob Kiplangat (Guest) on May 11, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Elijah Mutua (Guest) on April 25, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Agnes Njeri (Guest) on March 13, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Lucy Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Daudi (Guest) on February 27, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Joseph Kitine (Guest) on January 30, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on December 21, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Bernard Oduor (Guest) on November 22, 2015

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on November 6, 2015

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on November 2, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Minja (Guest) on October 23, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

Rabia (Guest) on October 21, 2015

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Arifa (Guest) on October 3, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on September 9, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Ali (Guest) on September 5, 2015

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Majaliwa (Guest) on August 29, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mchome (Guest) on August 18, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on August 10, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on August 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Malisa (Guest) on August 1, 2015

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Richard Mulwa (Guest) on August 1, 2015

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Akinyi (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Mary Sokoine (Guest) on July 27, 2015

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

James Malima (Guest) on July 6, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on June 21, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on June 13, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on June 6, 2015

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on April 23, 2015

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Husna (Guest) on April 13, 2015

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Related Posts

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Jinsi Baba na mtoto wanavyoweza kuwaziana

Duh! Maisha

Ile time unawaza baba angekua MO DWEJI baba ako na ye anawaza mwanangu ... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

BREAKING NEWS!!! Nyoka wa ajabu agundulika

HABARI MPASUKO..

jana katika taasisi ya wanyama pori ya Nat Geo ilitangazwa kuwa ametokea N... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Hizi hapa, Aina 10 za ndoa usizozijua

Karibuni tuangalie aina hizi 10 za ndoa.

1. NDOA YA MKEKA

Inatokana na kufumaniwa... Read More

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

Mume alichomjibu mchepuko wa mke wake

😎 Jamaa kamuaga mkewe anaenda semina Songea kwa wiki nzima kumbe kahamia kwa demu nyu... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More