Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Diana Mallya (Guest) on April 29, 2017

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

George Wanjala (Guest) on April 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Fikiri (Guest) on March 16, 2017

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Moses Kipkemboi (Guest) on March 12, 2017

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on February 6, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

John Kamande (Guest) on January 12, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

Kenneth Murithi (Guest) on January 6, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Jackson Makori (Guest) on October 28, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Robert Ndunguru (Guest) on October 15, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Patrick Mutua (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mushi (Guest) on August 23, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on August 15, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Mwalimu (Guest) on August 6, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on July 11, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Baraka (Guest) on June 17, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Samuel Were (Guest) on June 7, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Mary Njeri (Guest) on April 22, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on April 8, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Ann Awino (Guest) on April 4, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Lucy Wangui (Guest) on March 27, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Akinyi (Guest) on March 17, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Elizabeth Mrema (Guest) on March 12, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on March 8, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on March 5, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Lucy Wangui (Guest) on February 28, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Anna Mchome (Guest) on February 20, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Frank Macha (Guest) on January 25, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Lucy Mushi (Guest) on January 23, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Jamila (Guest) on January 21, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Rose Lowassa (Guest) on January 7, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on December 20, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Kevin Maina (Guest) on December 17, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Warda (Guest) on December 12, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Chris Okello (Guest) on December 4, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Lucy Mushi (Guest) on November 11, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

David Chacha (Guest) on October 23, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on October 18, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Lydia Mahiga (Guest) on October 1, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elizabeth Mtei (Guest) on September 22, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Rubea (Guest) on September 4, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Susan Wangari (Guest) on August 27, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Carol Nyakio (Guest) on August 25, 2015

πŸ˜‚πŸ€£

Linda Karimi (Guest) on August 19, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Rehema (Guest) on July 29, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Njoroge (Guest) on July 26, 2015

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Agnes Sumaye (Guest) on July 23, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Mbise (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Joyce Aoko (Guest) on June 22, 2015

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Fredrick Mutiso (Guest) on May 8, 2015

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Richard Mulwa (Guest) on May 4, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joseph Kitine (Guest) on May 3, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 13, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Related Posts

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

Huu ndio uchawi unaweza kufanyika siku mpenzi wako akikutambulisha kwao

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
*UCHAWI* ni nini?

`Uchawi ni pale mpenzi wako anapokupeleka kwao ... Read More

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

Misemo 10 bora ya kuchekesha itakayokuacha mdomo wazi

1. Mwanaume hata awe bahili vipi, hawezi kumpa mwanamke mimba nusu.

Read More
Eti kwani wewe ni turubali?

Eti kwani wewe ni turubali?

Unakuta MTU mwaka Mzima

Umehudhuria,Β birthday... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasim... Read More

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More