Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea baada ya babu mzee kuibiwa nauli kwenye daladala

Featured Image

Mzee mmoja alipanda Gari Stend;
Wakati wa kugombania Siti,
Akaibiwa Nauli.

Akasimama katikati ya Gari-Akasema; "Jamani Naomba Aliyeniibia Pesa yangu Arudishe Haraka,
Tena Fasta kabla Sijafanya Tukio kama Nililofanya 1977"
Abiria kuskia hivyo wakaogopa.
Ikabidi Mwizi Ajitokeze,
Akarudisha Pesa na Kuomba Msamaha! Mtu Mmoja akauliza,
Mzee,
Kwani 1977 Ulifanya nn?
Si nilienda kwa Miguu mpaka Nyumbani!
Uscheke Peke Yako, wa2mie na wengine ili nao wacheke!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Victor Mwalimu (Guest) on April 11, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Janet Mwikali (Guest) on April 10, 2017

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mgeni (Guest) on March 18, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mariam (Guest) on March 7, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Issack (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Dorothy Majaliwa (Guest) on February 12, 2017

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mariam Kawawa (Guest) on January 26, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Dorothy Nkya (Guest) on January 20, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Yusra (Guest) on December 29, 2016

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Elijah Mutua (Guest) on December 6, 2016

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Ruth Wanjiku (Guest) on November 30, 2016

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on October 30, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Peter Mwambui (Guest) on October 21, 2016

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Hawa (Guest) on September 29, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Elijah Mutua (Guest) on September 7, 2016

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Catherine Naliaka (Guest) on September 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Kimotho (Guest) on July 23, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Victor Mwalimu (Guest) on June 11, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on May 10, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on May 4, 2016

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jamila (Guest) on April 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Nancy Kabura (Guest) on April 15, 2016

Asante Ackyshine

Edward Chepkoech (Guest) on April 4, 2016

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Zakia (Guest) on March 30, 2016

πŸ˜„ Kichekesho gani!

James Malima (Guest) on March 30, 2016

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Elijah Mutua (Guest) on March 1, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Paul Ndomba (Guest) on February 29, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Wande (Guest) on February 24, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Jamal (Guest) on February 24, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Hellen Nduta (Guest) on February 23, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Saidi (Guest) on February 22, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Monica Lissu (Guest) on February 16, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Hekima (Guest) on February 9, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

George Mallya (Guest) on January 31, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Nancy Akumu (Guest) on January 24, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on January 23, 2016

😁 Hii ni dhahabu!

Emily Chepngeno (Guest) on October 5, 2015

🀣πŸ”₯😊

Christopher Oloo (Guest) on October 5, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edwin Ndambuki (Guest) on September 18, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚

George Tenga (Guest) on September 6, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Victor Sokoine (Guest) on August 20, 2015

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Nyerere (Guest) on August 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Hawa (Guest) on August 16, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Diana Mumbua (Guest) on August 12, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Sarafina (Guest) on July 31, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

David Sokoine (Guest) on June 28, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Furaha (Guest) on June 14, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Carol Nyakio (Guest) on June 11, 2015

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Elizabeth Mrema (Guest) on June 10, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on June 8, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on May 28, 2015

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Anthony Kariuki (Guest) on May 21, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Miriam Mchome (Guest) on May 6, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Violet Mumo (Guest) on May 1, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Agnes Sumaye (Guest) on April 3, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Anna Sumari (Guest) on April 2, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kwa Wadada wanaotaka kuolewa

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

SOMA HII: Kama wewe ndo baba au mama hapa ungefanyaje!???

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Angalia nilivyookoa maisha ya mtu leo

Nmeokoa maisha ya mtu asubuhi ya leo huwezi amini.Nmekutana na ombaomba nikamuuliza atajisikiaje ... Read More