Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Featured Image

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. Pengine kama Chinese wamejenga ingine.

Odhis:Β Hii gari haina watu bana.
Makanga:Β Kwani hao wawili wenye wamekaa hapo ndani ni ng’ombe?

Man:Β Wekeni nyimbo za Yesu tafadhali.
Makanga:Β Yesu bado hajatoa album. Akitoa tutaeka.

Mwikali:Β Excuse me conda…gari za Mwingi zinapandiwa wapi?
Makanga:Β Ziliacha kupandwa juu hazimei.

Man:Β Kwani mwisho wa gari ni wapi?
Makanga:Β Mwisho ni hapo penye number plate iko.

Karis:Β Ruaka ni how much?
Makanga:Β Sijaskia Ruaka ikiuzwa. But nikiskia nitakwambia.

Passenger:Β Shukisha dere.
Makanga:Β Tukishukisha dere utaendesha gari?

Johnny:Β Maze, hii gari iko na joto sana.
Makanga:Β Basi shuka upande fridge

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Mwanaidi (Guest) on June 23, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 29, 2017

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Anna Kibwana (Guest) on May 22, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Linda Karimi (Guest) on May 16, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Robert Okello (Guest) on April 21, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Charles Mchome (Guest) on April 14, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on April 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Leila (Guest) on March 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

John Lissu (Guest) on February 15, 2017

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 30, 2016

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Joyce Aoko (Guest) on December 18, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on November 30, 2016

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 22, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on November 20, 2016

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Mwinyi (Guest) on November 11, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Lydia Mahiga (Guest) on November 6, 2016

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 5, 2016

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Wilson Ombati (Guest) on October 6, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Alice Wanjiru (Guest) on September 23, 2016

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Elizabeth Malima (Guest) on September 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Karani (Guest) on September 19, 2016

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on June 21, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Margaret Anyango (Guest) on June 19, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Fatuma (Guest) on June 18, 2016

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Mhina (Guest) on June 11, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Sumaya (Guest) on June 8, 2016

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Emily Chepngeno (Guest) on June 6, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on May 24, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Nora Kidata (Guest) on May 22, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Stephen Amollo (Guest) on May 17, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on May 12, 2016

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on May 3, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on May 3, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Kevin Maina (Guest) on April 24, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Sharon Kibiru (Guest) on February 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Anna Malela (Guest) on February 13, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Mariam Hassan (Guest) on February 8, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Wangui (Guest) on January 27, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on January 20, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Grace Njuguna (Guest) on January 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on November 14, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Mutua (Guest) on November 3, 2015

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Martin Otieno (Guest) on October 8, 2015

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Sumaya (Guest) on October 8, 2015

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Stephen Malecela (Guest) on September 23, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on September 10, 2015

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Leila (Guest) on September 9, 2015

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Tambwe (Guest) on September 6, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Raphael Okoth (Guest) on August 17, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Habiba (Guest) on July 9, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

John Mushi (Guest) on July 2, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on June 29, 2015

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kendi (Guest) on June 2, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Warda (Guest) on May 10, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2015

🀣πŸ”₯😊

Brian Karanja (Guest) on April 11, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Related Posts

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

Sababu ya jamaa kujiita fara ugenini

MZEE:"sasa huyu mgeni sijui alale wap?" MKE:"saa hizi ni usiku akalale na Bebi." jamaa akaona huyo B... Read More
Nimeitoa sehemu

Nimeitoa sehemu

If…
99 is: Ninety nine,
88 is: Eighty eight,
77 is: Seventy seven,
66 is: S... Read More

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

Duh! Tamaa mbaya, cheki kilichompata Huyu

HAHAHAHAHAAAAAA DUH TAMAA MBAYA

Muokota makopo katika uokotaji wak... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More