Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Featured Image

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umri wao wa kuishi ni miaka 15. Kobe ni mnyama mwenda pole, asiye na papara wala pilika, muda mwingi hujificha na kupumzika ndani ya jumba lake akikwepa maadui. Umri wa kuishi kobe hufikia hadi miaka 300.
FUNZO: Mazoezi ni kiinimacho na uongo mtupu. Jipumzikie mwaya!!!
πŸƒπŸΎπŸƒπŸΏβ€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kawawa (Guest) on March 15, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on March 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Mwinuka (Guest) on March 4, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

George Wanjala (Guest) on February 22, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Sharon Kibiru (Guest) on February 10, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Nassar (Guest) on December 14, 2016

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mary Njeri (Guest) on December 13, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Hellen Nduta (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜† Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on November 25, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Nancy Kawawa (Guest) on November 7, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on October 29, 2016

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Raphael Okoth (Guest) on October 15, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Mary Kidata (Guest) on October 12, 2016

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mwikali (Guest) on September 22, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Janet Wambura (Guest) on September 11, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on September 2, 2016

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Andrew Mahiga (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on August 22, 2016

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Anna Mahiga (Guest) on August 22, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Aoko (Guest) on August 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on August 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Hashim (Guest) on August 8, 2016

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Janet Wambura (Guest) on July 27, 2016

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nora Kidata (Guest) on July 20, 2016

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Peter Mbise (Guest) on May 18, 2016

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Raphael Okoth (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Betty Kimaro (Guest) on April 12, 2016

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mutheu (Guest) on April 1, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Samuel Were (Guest) on March 28, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Sharon Kibiru (Guest) on March 16, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Jane Muthui (Guest) on February 26, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ramadhan (Guest) on February 26, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on February 5, 2016

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Mariam Kawawa (Guest) on February 1, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Sarafina (Guest) on January 29, 2016

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Patrick Akech (Guest) on January 9, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

George Ndungu (Guest) on January 6, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Kiwanga (Guest) on December 27, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Janet Wambura (Guest) on December 15, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Emily Chepngeno (Guest) on October 21, 2015

πŸ˜… Bado ninacheka!

Benjamin Masanja (Guest) on October 7, 2015

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Ann Wambui (Guest) on September 25, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Alice Wanjiru (Guest) on September 9, 2015

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Agnes Njeri (Guest) on September 2, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on August 20, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Majid (Guest) on August 19, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Anna Mchome (Guest) on August 1, 2015

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Carol Nyakio (Guest) on July 25, 2015

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Masika (Guest) on June 9, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Yusuf (Guest) on June 3, 2015

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Paul Ndomba (Guest) on May 30, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

James Malima (Guest) on May 26, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Muslima (Guest) on May 16, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Hashim (Guest) on May 13, 2015

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Rose Lowassa (Guest) on April 21, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Cheki nilichomfanyia boss wangu

Bosi wangu karudi safari yake kutoka serengeti..! Si akanitumia picha, lakini ilikuwa network yen... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndicho kifo mbele ya Mwanamke

Hiki ndiyo kifo.

KIFO NI NINI..

Kifo ni pale girlfriend w... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

Walevi wana Mambo! Angalia wanachokisema

WALEVI WAWILI KATIKA MAZUNGUMZO YAO

MLEVI 1Β hivi rafiki ... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

Angalia alichokifanya huyu mkaka alipoenda benki 🏦

At the bank..

Teller: Hii pesa ni fake

Mkaka: Shida iko wapi..pesa ni yangu..acc... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More