Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwaΒ ukisusa wenzio walaΒ ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwaΒ ukitoka 🚢🚢mwenzio anaingiaπŸ’ƒπŸ’ƒ

jamaa akagoma kwenda kazini 😬😬 mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwaΒ nimemdhibiti ndo mana hatoki🚷 jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbsni kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwaΒ ulidhani rafiki yako kumbe adui yakoπŸ€”πŸ€” jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwaΒ ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hata kama hupendagi ujinga kwa maneno ya kwenye kanga utasanda tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on April 13, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Jane Malecela (Guest) on March 31, 2017

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Robert Ndunguru (Guest) on February 11, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on January 30, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on January 20, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on December 29, 2016

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Diana Mallya (Guest) on December 21, 2016

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Ann Wambui (Guest) on December 19, 2016

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on December 16, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Christopher Oloo (Guest) on December 13, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

David Musyoka (Guest) on November 22, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Mary Mrope (Guest) on November 5, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

John Mwangi (Guest) on November 4, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Sarah Karani (Guest) on October 27, 2016

πŸ˜‚πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on October 26, 2016

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Zakaria (Guest) on September 28, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Frank Sokoine (Guest) on September 15, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Latifa (Guest) on September 12, 2016

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Nancy Komba (Guest) on August 14, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on July 30, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Edith Cherotich (Guest) on July 24, 2016

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Chiku (Guest) on July 21, 2016

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Patrick Akech (Guest) on July 5, 2016

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Khamis (Guest) on June 15, 2016

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Mashaka (Guest) on June 6, 2016

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nora Lowassa (Guest) on May 26, 2016

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on May 18, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Ruth Kibona (Guest) on May 17, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Henry Sokoine (Guest) on May 16, 2016

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Stephen Kikwete (Guest) on May 11, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Ruth Wanjiku (Guest) on April 19, 2016

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Mary Mrope (Guest) on April 15, 2016

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on March 27, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Mwalimu (Guest) on March 15, 2016

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Carol Nyakio (Guest) on March 10, 2016

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Monica Adhiambo (Guest) on February 8, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on December 3, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on November 30, 2015

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Rose Lowassa (Guest) on November 25, 2015

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Waithera (Guest) on November 9, 2015

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mtumwa (Guest) on October 27, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Janet Mwikali (Guest) on October 9, 2015

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Mallya (Guest) on October 4, 2015

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Catherine Mkumbo (Guest) on September 21, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Nancy Komba (Guest) on September 7, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Betty Cheruiyot (Guest) on August 22, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on July 30, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on July 28, 2015

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on July 23, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Kahina (Guest) on July 10, 2015

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Mariam Kawawa (Guest) on July 4, 2015

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on June 30, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Mwanaisha (Guest) on May 21, 2015

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Victor Sokoine (Guest) on April 24, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Related Posts

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

Status za Whatsapp za Wazungu na Wabongo

STATUS ZA WAZUNGU kwenye Whatsapp vere vere kliaaa…
πŸ‘‰sick
πŸ‘‰at movie
Β... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Nilichokifanya wakati naangalia taarifa ya habari

Jana wakati naangalia taarifa ya habar mtangazaji akasema "mpenz mtazamaji nataka nikupe... Read More