Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Featured Image

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji kutoka Bulgaria, Mahubiri yameanza saa 1 asubuhi hali ikawa kama hivi:

MCHUNGAJI: My name is Pastor Livingstone
MKALIMANi: Kwa jina naitwa mchungaji Jiwe linaloishi
MCHUNGAJI: We thank God for All goals we set by our hands
MKALIMANI: Tunamshukuru Mungu kwa Magoli yote tuliyoweka kwa Mkono

Hivi navyoongea kanisa halina viti waumini wote tumekimbia nje naona Mkalimani amebaki na kiatu cha kushoto tu.
Sunday joke

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nicholas Wanjohi (Guest) on June 20, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Mary Njeri (Guest) on May 6, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Salma (Guest) on April 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Andrew Mchome (Guest) on March 12, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Nancy Kawawa (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on March 6, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Ruth Mtangi (Guest) on February 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 12, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on February 5, 2017

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on January 31, 2017

🀣 Hii imewaka moto!

Elizabeth Mrema (Guest) on January 31, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Peter Mwambui (Guest) on January 17, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Moses Mwita (Guest) on January 9, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Kiza (Guest) on December 29, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Peter Mugendi (Guest) on November 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on November 12, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on November 9, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Grace Njuguna (Guest) on October 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on October 24, 2016

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Farida (Guest) on October 19, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Robert Okello (Guest) on September 21, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Charles Mchome (Guest) on September 18, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on September 17, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Fadhili (Guest) on August 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on July 12, 2016

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on July 1, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Mallya (Guest) on June 19, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Victor Kimario (Guest) on June 17, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on May 26, 2016

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on May 5, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on April 30, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on March 25, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Makena (Guest) on March 7, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Daniel Obura (Guest) on March 3, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Mary Sokoine (Guest) on February 24, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

James Kimani (Guest) on February 3, 2016

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 13, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Grace Mligo (Guest) on December 28, 2015

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Ruth Wanjiku (Guest) on December 14, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Edward Chepkoech (Guest) on December 7, 2015

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Umi (Guest) on October 27, 2015

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Frank Sokoine (Guest) on October 12, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Alice Wanjiru (Guest) on October 1, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Amollo (Guest) on September 27, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on September 10, 2015

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on August 14, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Esther Nyambura (Guest) on July 5, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Nahida (Guest) on June 25, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Violet Mumo (Guest) on June 7, 2015

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Stephen Kangethe (Guest) on May 12, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Mwinuka (Guest) on May 2, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Malecela (Guest) on April 30, 2015

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

James Mduma (Guest) on April 30, 2015

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on April 16, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mwanaidi (Guest) on April 14, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Lucy Mushi (Guest) on April 12, 2015

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Related Posts

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mipango ya mke na mume ya pasaka

Mke: Unampango gani na pasaka hii mmewangu..
Mume: Nitafanya kama yesu..
Mke: Unamaanis... Read More

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Duh. Chezeya kuhama!

Duh. Chezeya kuhama!

Pale imebaki siku moja uhame kwenye nyumba ya kupanga af unakuta umebakiza unit 60 za um... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

Usichokijua kuhusu sungura, panya na jamii yao

JE WAJUA?

Sungura, panya na Jamii zao huwa na mwendo wa kukimbia na kuruka muda wote na umr... Read More

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

SOMA HII! Baba kampaka Sumu mkewe kafa Houseboy

Baba mmoja Juzi alimpaka Sumu Mke wake kwenye Matiti akiwa amelala ili Mtoto akinyonya afe kwani... Read More