Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Sumari (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Aoko (Guest) on May 8, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on March 20, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on February 27, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Chiku (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ramadhan (Guest) on February 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kimani (Guest) on February 4, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on October 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Selemani (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on October 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Majid (Guest) on August 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Christopher Oloo (Guest) on July 16, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Shamsa (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Mligo (Guest) on May 24, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on April 26, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on March 21, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on March 10, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 2, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam (Guest) on December 1, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Mahiga (Guest) on October 22, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Frank Macha (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Betty Kimaro (Guest) on August 29, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on August 24, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 4, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on July 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on July 18, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khadija (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kitine (Guest) on June 17, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Malima (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Kiwanga (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on April 21, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

Nilichomfanyia huyu aliyenizingua nilipomuazimisha pasi

πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„πŸ™„
Jana nimeenda kuazima pasi chumba jirani, ili ninyooshe nguo zangu,... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

Ufugaji wa nguruwe kazi, Cheki jamaa hawa wake walivyompa mtihani

MWANAHARAKATI: Hawa nguruwe unawalishanini?
.

... Read More
Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Angalia huyu demu alivyo mbulula

Jamaa aliamua kumtoa demu wake out kwaajili ya chakula cha usiku kufika hotelini wakakaa mezani mhud... Read More
Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Duh, huyu mama alichokifanya

Duh, huyu mama alichokifanya

Mke:Β Naelekea london, nikuletee zawadi gani?

Mume:Β kitu... Read More

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Huyu Jamaa kaona bora afe kuliko mke wake ajue Siri zake

Jamaa Mmoja Alimwambia Mke Wake Wasiliana Na Kitengo Cha Dharura Hospitali, Niko Taabani Nahisi ... Read More

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini... Read More

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfrien... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More