Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Sumari (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Aoko (Guest) on May 8, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on March 20, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on February 27, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Chiku (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ramadhan (Guest) on February 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kimani (Guest) on February 4, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on October 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Selemani (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on October 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Majid (Guest) on August 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Christopher Oloo (Guest) on July 16, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Shamsa (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Mligo (Guest) on May 24, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on April 26, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on March 21, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on March 10, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 2, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam (Guest) on December 1, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Mahiga (Guest) on October 22, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Frank Macha (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Betty Kimaro (Guest) on August 29, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on August 24, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 4, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on July 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on July 18, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khadija (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kitine (Guest) on June 17, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Malima (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Kiwanga (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on April 21, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Ukata wa January

Ukata wa January

Boss;-Β kwa nini umechelewa kazini
Juma;-Β kuna mtu njiani alidondo... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Alichokisema mwizi baada ya kushinda bahati nasibu

Hapa mtaani kuna mwizi sugu ameshinda mil.10 za bahati nasibu ??.
Alipoulizwa atafanya nini ... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More
Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Omba omba sio barabarani tuu

Omba omba sio barabarani tuu

Boy:- baby ivi nikifa utakuja msibani?

Girl:-ntakuja ukinitumia n... Read More

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto bwana. Raha sana!

Utoto buana! eti mnacheza mpira wa makaratasi(chandimu) unapiga chenga kibao afu ukifika... Read More

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More