Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Janet Sumari (Guest) on May 28, 2017

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Joyce Aoko (Guest) on May 8, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jane Malecela (Guest) on April 22, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Edward Chepkoech (Guest) on March 28, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on March 23, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Ndungu (Guest) on March 20, 2017

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

David Musyoka (Guest) on March 11, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Janet Sumari (Guest) on February 27, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Chiku (Guest) on February 27, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ramadhan (Guest) on February 18, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

James Kimani (Guest) on February 4, 2017

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Stephen Kangethe (Guest) on December 18, 2016

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Janet Sumaye (Guest) on October 17, 2016

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Selemani (Guest) on October 11, 2016

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Victor Sokoine (Guest) on October 7, 2016

😊🀣πŸ”₯

Jacob Kiplangat (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Majid (Guest) on August 20, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Christopher Oloo (Guest) on July 16, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Mariam Hassan (Guest) on June 19, 2016

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Shamsa (Guest) on June 13, 2016

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Francis Njeru (Guest) on May 27, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Grace Mligo (Guest) on May 24, 2016

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Faith Kariuki (Guest) on April 30, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

George Wanjala (Guest) on April 26, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Ann Awino (Guest) on March 26, 2016

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Charles Wafula (Guest) on March 21, 2016

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Dorothy Majaliwa (Guest) on March 13, 2016

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 12, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Charles Mrope (Guest) on March 10, 2016

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Ruth Wanjiku (Guest) on January 29, 2016

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on January 23, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Patrick Kidata (Guest) on January 2, 2016

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Victor Sokoine (Guest) on December 8, 2015

πŸ˜† Bado nacheka!

Mariam (Guest) on December 1, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on November 29, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Philip Nyaga (Guest) on November 18, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on November 5, 2015

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Samson Mahiga (Guest) on October 22, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Frank Macha (Guest) on October 14, 2015

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Henry Sokoine (Guest) on September 3, 2015

πŸ˜† Hiyo punchline!

Betty Kimaro (Guest) on August 29, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on August 27, 2015

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on August 24, 2015

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Jaffar (Guest) on August 4, 2015

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Edward Chepkoech (Guest) on July 30, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Lydia Wanyama (Guest) on July 20, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Victor Mwalimu (Guest) on July 18, 2015

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 12, 2015

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Robert Ndunguru (Guest) on July 9, 2015

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Khadija (Guest) on June 27, 2015

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Joseph Kitine (Guest) on June 17, 2015

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on May 20, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

James Malima (Guest) on May 8, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Rose Kiwanga (Guest) on April 23, 2015

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on April 21, 2015

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Maimuna (Guest) on April 18, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Related Posts

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More
Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More

Hapo sasa!! Ni shida!!

Hapo sasa!! Ni shida!!

Umeshawahi saidiwa homework na mzazi halafu unapata zero?

Hapo ndio unajua shida siyo we... Read More

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Jamaa anayependa kuwafanyia watu uhuni leo kapatikana na huyu mdada

Mdada alienda super-market kununua
kuku, bahati mbaya kwenye frij
kulikuwa na kuku mmoj... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mambo ya mke na mume haya, chezea mchepuko!?

Mume akamwambia mke wake:
"Funga macho yako tufanye maombi"
Akaanza k... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Sio kwa wivu huu

Sio kwa wivu huu

Wanawake nilianza kuwachukia tokea shule ya msingi.

Ni pale mwanamke wangu aliponiacha na k... Read More

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Angalia huyu secretary anavyomjibu bosi wake

Boss mmoja aliingia kazini kwake kasahau kufunga zipu ya suruali yake sasa secretary wake akamfuata ... Read More
Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More