Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Cheki hawa wachungaji

Featured Image

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana.

MCHUNGAJI WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka.

WA PILI: Mimi tatizo langu ni wanawake yani nimeshalala na wana kwaya wote pamoja na mke wa ASKOF.

WA TATU akaanza kulia badala ya kuongea.WENZAKE:

We vp unatatizo gani mbona unalia???

AKAJIBU: jamani mimi tatizo langu ni "umbea" haya yote tuliyoongea lazima nikaseme!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

George Tenga (Guest) on September 11, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Charles Mchome (Guest) on August 24, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Ann Wambui (Guest) on August 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Frank Macha (Guest) on July 17, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on July 6, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Elizabeth Malima (Guest) on June 6, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Janet Mbithe (Guest) on May 30, 2017

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Christopher Oloo (Guest) on May 16, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Ibrahim (Guest) on April 24, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Zakia (Guest) on April 19, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Amir (Guest) on March 25, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Salima (Guest) on February 26, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Faiza (Guest) on February 14, 2017

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Mwagonda (Guest) on February 13, 2017

πŸ˜† Bado nacheka!

George Wanjala (Guest) on February 7, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on January 15, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Kiwanga (Guest) on January 4, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Habiba (Guest) on December 6, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Mjaka (Guest) on December 5, 2016

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on November 29, 2016

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

David Kawawa (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Chris Okello (Guest) on October 25, 2016

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Mary Sokoine (Guest) on October 6, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Esther Nyambura (Guest) on August 30, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 23, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Anna Mchome (Guest) on August 15, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Lydia Mutheu (Guest) on August 1, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 1, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Grace Wairimu (Guest) on June 2, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Agnes Njeri (Guest) on May 24, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Bakari (Guest) on May 15, 2016

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Frank Sokoine (Guest) on April 22, 2016

πŸ˜‚πŸ˜‚

Mwanakhamis (Guest) on April 18, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Andrew Mahiga (Guest) on March 8, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Sarah Karani (Guest) on February 15, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on January 31, 2016

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Kijakazi (Guest) on January 8, 2016

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Violet Mumo (Guest) on November 26, 2015

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Peter Otieno (Guest) on October 31, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Zulekha (Guest) on October 15, 2015

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Lucy Kimotho (Guest) on October 9, 2015

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Victor Kimario (Guest) on September 6, 2015

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Elizabeth Malima (Guest) on August 21, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on August 9, 2015

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Isaac Kiptoo (Guest) on August 7, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Victor Malima (Guest) on July 8, 2015

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on July 1, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Peter Mugendi (Guest) on June 14, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nicholas Wanjohi (Guest) on May 30, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mariam Kawawa (Guest) on May 14, 2015

🀣 Sikutarajia hiyo!

Moses Kipkemboi (Guest) on May 13, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Edward Lowassa (Guest) on April 27, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Janet Sumari (Guest) on April 19, 2015

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Related Posts

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Huyu mgeni wa huyu jamaa ni shida

Pale unapokuwa umefulia sana…

Mgeni anakutembelea Maskani kwako….Unaamua Kuchukua Ile S... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

Wachaga wana mambo mbele ya hela, angalia hii bili ilivyomchanganya MASSAWE

MASSAWE alienda na marafiki zake bar kunywa, baada ya kumaliza kutumia akal... Read More

SMS Mafua ndiyo hii

SMS Mafua ndiyo hii

JE UMESHAWAHI KUONA SMS MAFUA?
Cheki hii hapa……..


"Mabo dugu yagu mziba? Bwa... Read More

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Tofauti ya mwanamke wa Kizaramo, Kitanga, Kihaya, na wa Kichaga

Mwanamke wakizaramo: Unampa hela ana nunua dela anaenda ana msutia jirani, anali... Read More

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Kilichonitokea leo baada ya kuona nungunungu

Baada ya kukaa mda mlefu sijamuona nungu'nungu leo nikakuna nae nikajisikia furaha sana,

ni... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Mapenzi Stress tupu

Mapenzi Stress tupu

Stress Tupu

Unapokea Sms kwa mpenzi wako anakuambia

"Kuanzia Leo Mimi Na wewe Basi! ?... Read More