Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Featured Image
Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae
akamwambia kwa ukali
"Unajua nimechoka sasa, haya kusanya nguo
zako na……..

Kabla hajamalizia sentensi simu
ya mkewe ikaita, kumbe alikuwa ni baba yake.
Basi mzee akaanza kuongea na binti yake huku
jamaa anasikia

"Aisee mwanangu nimebahatika kuuza ile
nyumba yangu sasa nimeona niwatumie milioni
20 mjaribu kuanzisha mradi na mwenzio.
Haya mwambie yeye nitampigia kesho kama
ana mradi mwingine nimpe hela kidogo".Baada
ya simu kukatwa mke akamgeukia jamaa
akamuuliza,"eeenhee!!! ulikuwa unasema
umenichoka nikusanye nguo zangu halafu
iweje? Jamaa kwa upole akajibu "Nilikuwa
nasema ukusanye nguo zako na unipe nifue".
AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Mrema (Guest) on December 14, 2016

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on December 14, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 6, 2016

πŸ˜„ Kali sana!

Dorothy Nkya (Guest) on November 28, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Salima (Guest) on November 26, 2016

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Victor Malima (Guest) on November 19, 2016

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Michael Mboya (Guest) on November 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

James Kawawa (Guest) on November 15, 2016

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on October 18, 2016

πŸ˜‚πŸ€£

Anna Malela (Guest) on September 29, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Catherine Mkumbo (Guest) on September 23, 2016

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on September 23, 2016

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Issack (Guest) on September 10, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Agnes Lowassa (Guest) on August 21, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Margaret Mahiga (Guest) on August 3, 2016

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

John Malisa (Guest) on August 3, 2016

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Charles Mrope (Guest) on August 1, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Diana Mallya (Guest) on June 28, 2016

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Charles Mrope (Guest) on June 27, 2016

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nancy Kawawa (Guest) on June 26, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Raphael Okoth (Guest) on June 25, 2016

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Monica Lissu (Guest) on June 14, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Joseph Kitine (Guest) on June 2, 2016

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 25, 2016

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

James Malima (Guest) on May 20, 2016

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Alex Nakitare (Guest) on May 7, 2016

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Cheruiyot (Guest) on April 19, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Samuel Were (Guest) on March 26, 2016

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Kassim (Guest) on March 23, 2016

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Jackson Makori (Guest) on March 17, 2016

πŸ˜† Kali sana!

Mary Kidata (Guest) on February 27, 2016

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on February 18, 2016

Asante Ackyshine

Shabani (Guest) on February 2, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Tambwe (Guest) on January 29, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

John Malisa (Guest) on January 28, 2016

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Kawawa (Guest) on January 17, 2016

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Miriam Mchome (Guest) on December 27, 2015

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on December 22, 2015

🀣πŸ”₯😊

George Ndungu (Guest) on December 12, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2015

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Fatuma (Guest) on November 26, 2015

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Grace Mushi (Guest) on November 8, 2015

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthui (Guest) on October 10, 2015

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

John Lissu (Guest) on October 6, 2015

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Fredrick Mutiso (Guest) on September 19, 2015

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on September 7, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Irene Akoth (Guest) on August 14, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on August 9, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Khamis (Guest) on July 21, 2015

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Fikiri (Guest) on July 16, 2015

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Raphael Okoth (Guest) on July 10, 2015

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Nancy Kabura (Guest) on June 30, 2015

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Moses Mwita (Guest) on June 17, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kikwete (Guest) on May 19, 2015

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Patrick Akech (Guest) on May 11, 2015

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Related Posts

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Wavuta bangi wa Colombia watoa mpya

Asubuhi ya leo huko nchini Colombia baada ya serikali kuidhinisha matumizi ya bangi kuwa halali ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Soma alichokisema mlevi baada ya kukuta watu wakimpiga mwizi

Mlevi mmoja aliona wananchi wakipiga mwizi akawaambia "mwacheni msimpige, hii tabia yenu ya kupi... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

Hii kazi kweli kweli, Ungekua wewe ungefanyaje?

UNATOKA SEBULENI UNAENDA ZAKO CHOONI UNAINGIA TU HIVI GHAFLA UNAKUTANA NA MZIGO MKUBWA WA... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More
Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

Angalia mtoto alivyowaumbua Baba na mama yake

DOGO: Mama Jana Baba Alikuja Na Mwanamke Na
Akaanza Kumtoa Nguo Huku Akimuita Beib…
B... Read More

Cheka na methali

Cheka na methali

1.Simba mwendapole =Huyo ni Sharobaro
2.Asiyefunzwa na Mamae= Ujue Mama hajapitia Ualimu
Read More

Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee wa kichaga na hela zake. Angalia anachofanya

Mzee moja alikuwa kila usiku anapita mbele ya bank anasimama,kisha anapiga honi,akitoka askari ml... Read More

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri Akimbia wakati wa kuungamisha, chanzo ni hiki

Padri alikuwa amekaa katika confession booth kanisani
peke yake.
Mara... Read More