Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Vichekesho kumi bora vya leo vya kuvunja mbavu

Featured Image

1. Maswali haya je una majibi? JIBU KISHA NITUMIE MAJIBU![mtihani wa maarifa ya dunia]
1. Kama hela haioti kwny miti, kwnn bank zina matawi?
2. Kwnn gundi haigandi kwenye chupa yake?
3. Kama tunatakiwa tusi-drive wkt tumekunywa, kwnn bar kuna parking?
4. Kama neno abbreviation linamaanisha ufupisho, kwnn lenyewe ni refu hvo?
5. Kama tunatakiwa kufanya sex ndani ya ndoa 2, kwnn tunabalehe kabla ya kufunga ndoa? Kazi kwako…



2.Taxi Mwanamke aliingia kwnye tax akiwa hana nguo,km alivyozaliwa!Dereva akawa anamshangaa,mwanamke akamuuliza hujawahi kuona uchi au! Dereva akajibu.ninachoshangaa c uchi wako,najiuliza pesa ya kunilipa utakuwa umeiweka wapi?


3.Siri Baba: mwanangu, enhe shika hii 500Tsh usimuambie mama yako kuwa nimelala na housegirl. Mtoto: sitaki, tatizo we baba ni mbahiri sana mwenzio mama akilala na dereva ananipaga 1,000Tsh.


4.Tendo la ndoa TENDO LA NDOA LINAVYOOMBWA:

WAMASAI: Mama Yeyo nipe ile kitu namesa mwensake

WAHAYA: Mama Koku infacti njoo tuperform

WACHAGA: Mama Manka Fungua Kibubu nitupe shilingi

WAPEMBA: Mama Ali panua paja mti waja!

WAZARAMO(hamna tafsida)andaa k*#, m*$$ yaja


5.Short na Long Call Kama haja ndogo ni ''short call'' Haja kubwa ni "long call" Basi kujamba iitwe "missed call"


6.Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa……!


7.Kurudi shule Mtoto kamuuliza babake; " Eti baba, Unataka kuanza tena shule? Baba akauliza: "kwa nini Umeuliza hivyo? Mtoto akamwambia: Jana uthiku, nilickia ukimnong'oneza mama" Eti, kama anapenda, Muende la pili..! " Hivi Baba mimi niko la nne wewe na mama itakuwaje mwende la pili? Uthikubali hata kdogo"


8.Mchaga. Mchaga alipata ajali alipozinduka pale hospitali akauliza "nipo wapi hapa?" Nesi akajibu,"umepata ajali, hapa upo hospitali. Bahati mbaya umekatika mkono." Mgonjwa: Na je saa yangu ipo wapi ya Rolex? Ipo mzee, nesi alijibu. Nesi: Mkeo na watoto wapo hapa kukufariji. Mgonjwa: Yeuwi… Wamefunga duka?


9. Kimombo na sms Jamaa katumiwa msg na dem wake,kutokana na urefu wa msg ikashindwa kufika yote mwishoni ikaandika'some text missing'jamaa kizungu hajui hivyo maneno ya mwisho hakuelewa maana yake lkn akahisi litakuwa neno la kimahaba,kusudi aonekane mjanja akajibu, "some text missing too dear"


10.Vibweka vya housegirl Mama mwenye nyumba "jamani nyie watoto wa nyumba hii, vijiti vya meno nimeleta juzi tu leo vimeisha?" Ndipo hoousgirl akadakia na kusema "mama mimi simo humo maana kila nikitumia nikimaliza tu navirudishiaga humo humo."

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Margaret Mahiga (Guest) on March 18, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Joseph Kawawa (Guest) on March 14, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Edwin Ndambuki (Guest) on March 4, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Michael Onyango (Guest) on February 15, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on February 10, 2017

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Esther Nyambura (Guest) on January 16, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Michael Mboya (Guest) on January 12, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Diana Mumbua (Guest) on November 17, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

John Malisa (Guest) on October 28, 2016

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Hawa (Guest) on October 7, 2016

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Paul Kamau (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Zakia (Guest) on September 28, 2016

πŸ˜† Hiyo punchline!

Dorothy Nkya (Guest) on September 25, 2016

πŸ˜… Nilihitaji hii!

George Tenga (Guest) on September 11, 2016

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Jane Muthoni (Guest) on September 6, 2016

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Raphael Okoth (Guest) on August 23, 2016

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Henry Sokoine (Guest) on August 17, 2016

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 31, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Daniel Obura (Guest) on July 31, 2016

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ali (Guest) on July 19, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Thomas Mwakalindile (Guest) on July 12, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mrope (Guest) on June 21, 2016

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on June 20, 2016

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Kevin Maina (Guest) on June 2, 2016

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on June 2, 2016

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Joseph Mallya (Guest) on April 9, 2016

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on April 9, 2016

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on March 13, 2016

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Grace Njuguna (Guest) on March 5, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Joyce Aoko (Guest) on February 19, 2016

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on January 18, 2016

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on January 7, 2016

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Anna Kibwana (Guest) on January 3, 2016

πŸ˜‚πŸ˜…

Khatib (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Masika (Guest) on January 2, 2016

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Henry Mollel (Guest) on December 11, 2015

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on December 9, 2015

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Faith Kariuki (Guest) on October 29, 2015

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on October 29, 2015

🀣 Hii imewaka moto!

Isaac Kiptoo (Guest) on October 24, 2015

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on October 16, 2015

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kitine (Guest) on September 11, 2015

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Margaret Anyango (Guest) on August 31, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Anna Malela (Guest) on August 29, 2015

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Fatuma (Guest) on August 23, 2015

😁 Kicheko bora ya siku!

Raphael Okoth (Guest) on August 22, 2015

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on August 1, 2015

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Betty Cheruiyot (Guest) on July 30, 2015

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on July 13, 2015

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Issa (Guest) on June 12, 2015

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Nancy Komba (Guest) on June 12, 2015

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Onyango (Guest) on June 10, 2015

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

David Musyoka (Guest) on May 30, 2015

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Betty Akinyi (Guest) on May 30, 2015

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on May 28, 2015

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Joseph Njoroge (Guest) on April 19, 2015

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

David Ochieng (Guest) on April 15, 2015

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on April 15, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Elizabeth Malima (Guest) on April 7, 2015

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Aina mojawapo ya watoto ambao ni hasara kuwa nao

Alipelekwa Hospitali na baba yake, baada ya vipimo Doctor akawa anamuandikia dawa, baba yake akatoka... Read More
Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Mkalimani alivyoharibu ibada ya leo

Leo nikaamua niingie misa ya asubuhi kwenye kanisa moja la kilokole kulikua na ugeni wa mchungaji... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Swali la kizushi kwa wadada wanaovaa mawigi

Hivi wadada mnaovaa mawigi.

πŸ‘‰πŸ½Β Utajisikiaje siku Boyfriend ... Read More

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nika... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More