Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Featured Image

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl akaliendesha?
Baba: siwezi kumwachia gari langu hili aliendeshe ni ghali sana.
Mtoto: je mnaweza kumwachia chumba chenu house boy/girl kikiwa wazi na mkaenda kazini?
Baba: haiwezekani kamwe kuna vitu vya gharama na pia heshima haitakuwepo.

Mtoto: unaweza ukampa house boy/girl ATM CARD yako na namba ya siri ukakuchulie pesa?

Baba: mtoto unatafuta balaa sasa, unataka siku akiiba hii card akachukue pesa zote tuwe maskini, sithubutu.

Mtoto: aahaaaaaa, kumbe hauwezi kumkabidhi chochote chenye thamani house boy/ girl, sasa kwa nini mnanikabidhi mimi kwa house boy/girl na nyie mnaenda kazini mpaka mnarudi kumbe mimi sina thamani kwenu eeeeh!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Kitine (Guest) on August 8, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Thomas Mtaki (Guest) on July 29, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Edith Cherotich (Guest) on June 25, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on June 12, 2017

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Peter Mugendi (Guest) on June 4, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on May 21, 2017

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on March 30, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Jane Muthui (Guest) on March 30, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on March 23, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 19, 2017

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Grace Wairimu (Guest) on February 23, 2017

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on January 30, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

George Ndungu (Guest) on October 18, 2016

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Ruth Wanjiku (Guest) on October 2, 2016

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Janet Sumari (Guest) on September 17, 2016

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on August 27, 2016

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on August 19, 2016

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Elizabeth Mrope (Guest) on August 8, 2016

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on July 29, 2016

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Daudi (Guest) on July 29, 2016

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Nahida (Guest) on July 22, 2016

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Benjamin Kibicho (Guest) on July 20, 2016

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

George Mallya (Guest) on July 17, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Mahiga (Guest) on July 8, 2016

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Makena (Guest) on July 4, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Rehema (Guest) on June 27, 2016

πŸ˜… Bado nacheka!

Joseph Kawawa (Guest) on June 23, 2016

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Janet Wambura (Guest) on June 16, 2016

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Grace Wairimu (Guest) on May 29, 2016

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2016

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on April 15, 2016

😁 Kicheko bora ya siku!

Martin Otieno (Guest) on March 19, 2016

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Ann Wambui (Guest) on February 28, 2016

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on February 8, 2016

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Elizabeth Mtei (Guest) on January 27, 2016

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Rukia (Guest) on December 17, 2015

😁 Hii ni dhahabu!

Peter Tibaijuka (Guest) on December 16, 2015

πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Kibona (Guest) on December 13, 2015

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Peter Mugendi (Guest) on December 8, 2015

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ahmed (Guest) on December 8, 2015

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Betty Kimaro (Guest) on November 30, 2015

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Elizabeth Mrope (Guest) on November 20, 2015

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on November 6, 2015

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

David Sokoine (Guest) on November 1, 2015

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanais (Guest) on September 25, 2015

πŸ˜† Kali sana!

Margaret Anyango (Guest) on September 4, 2015

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 26, 2015

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

John Mwangi (Guest) on August 20, 2015

Asante Ackyshine

Linda Karimi (Guest) on July 24, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Masika (Guest) on May 16, 2015

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Nora Lowassa (Guest) on May 13, 2015

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Francis Mrope (Guest) on May 6, 2015

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Ruth Mtangi (Guest) on April 26, 2015

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kimani (Guest) on April 8, 2015

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Baridi (Guest) on April 8, 2015

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joy Wacera (Guest) on April 8, 2015

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Kizungu nacho ni sheeeedeer

Mtalii: Do you have vegetables here.
Mtafsiri: Mnavyo vijimeza hapa.
Waiter: Vijimeza v... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Dunia ina mambo! Angalia kilichotokea baada ya mgonjwa kuwekewa macho ya paka

Kuna jamaa alipata ajali akapofuka machoπŸ‘€, akaenda hospital akawekewa macho ya paka🐈🐱, dokt... Read More
Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

Huyu jamaa amekomeshwa, majambazi ni shida!

CHEKA KIDOGO
Majambaz waliliteka gar moja lililokua limeshehen abiria
Baada ya abiria k... Read More

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Angalia pombe ilichomfanya huyu jamaa, kweli pombe haimuachi mtu salama

Leo nimeiogopa pombe.

Nimetokea kuiogopa pombe baada ya kumwona jirani yangu akicheza muzik... Read More

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Huyu jamaa ni shida, Chezea wimbo wa Taifa!

Mke mmoja alimpa mme wake redio aende nayo chooni ili asiboreke kwa vile huwa anakaa muda mrefu.<... Read More

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Mme amemfuma fundi wa kitanda na mke wake, cheki walichokua wanafanya

Kuna mama mmoja ameolewa na wanapendana sana na mmeo. siku moja mme wake alisafiri kikazi (safari... Read More