Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Featured Image

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, lakini mara zote nimekua nikitumia kinga. Inawezekanaje hii?

DAKTARI:Β Ngoja nikusimulie hadithi. Kulikua na Muindaji ambaye alikua anabeba bunduki kila aendako. Siku moja, alichukua mwamvuli badala ya bunduki na akaenda nayo. Ghafla akatokea Simba mbele yake. Ili amtishie Simba, muindaji akatumia mwamvuli na kummiminia risasi Simba. Simba akafa palepale!
MVULANA:Β Sio kweli!! Lazima kulikua na mtu mwengine pembeni aliyempiga risasi Simba.

DAKTARI:Β Nashukuru umeelewa somo!!πŸ˜‚

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Joseph Njoroge (Guest) on March 30, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Abubakari (Guest) on March 25, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Kheri (Guest) on March 9, 2020

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Francis Mrope (Guest) on February 23, 2020

Asante Ackyshine

Daudi (Guest) on February 11, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Monica Adhiambo (Guest) on January 21, 2020

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Maneno (Guest) on January 17, 2020

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Margaret Anyango (Guest) on January 9, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Anna Mahiga (Guest) on December 30, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

George Wanjala (Guest) on December 26, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Esther Nyambura (Guest) on December 9, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Joyce Nkya (Guest) on August 8, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on July 24, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

John Lissu (Guest) on July 12, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Benjamin Kibicho (Guest) on June 19, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Stephen Kangethe (Guest) on June 16, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Stephen Kangethe (Guest) on June 9, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on June 4, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

George Ndungu (Guest) on April 16, 2019

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on April 13, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Anthony Kariuki (Guest) on April 12, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mwanaisha (Guest) on March 18, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Monica Lissu (Guest) on March 2, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Frank Macha (Guest) on February 1, 2019

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Joyce Mussa (Guest) on January 25, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on January 18, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Fredrick Mutiso (Guest) on January 16, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Victor Kamau (Guest) on January 13, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

David Kawawa (Guest) on November 25, 2018

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on November 4, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on November 1, 2018

😊🀣πŸ”₯

Janet Mwikali (Guest) on September 17, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mustafa (Guest) on September 15, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Lucy Mahiga (Guest) on September 13, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Andrew Mchome (Guest) on September 2, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Simon Kiprono (Guest) on August 21, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Samson Mahiga (Guest) on August 11, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Chris Okello (Guest) on August 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Mwajuma (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Victor Malima (Guest) on July 16, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on July 5, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Nora Lowassa (Guest) on June 17, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Zawadi (Guest) on May 19, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Agnes Lowassa (Guest) on May 13, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Abdillah (Guest) on May 3, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Mary Mrope (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

George Ndungu (Guest) on March 23, 2018

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on February 22, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Raphael Okoth (Guest) on November 21, 2017

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Stephen Amollo (Guest) on November 20, 2017

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on October 29, 2017

πŸ˜‚πŸ˜†

Mhina (Guest) on September 29, 2017

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 21, 2017

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Edwin Ndambuki (Guest) on September 6, 2017

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Anna Mchome (Guest) on August 14, 2017

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaam... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Angalia wanachokifanya Zuzu na msichana chumbani kwenye giza

Zuzu: Mambo Anna!
Anna: Poa!
Zuzu: Kuna kitu nataka nikuonyeshe…
Anna: Kitu gan?... Read More

Misemo 17 ya kuchekesha

Misemo 17 ya kuchekesha

1) gari la kuvutwa halina overtake
2) kisigino hakikakai mbele
3) wimbo wa taifa haupgw... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Angalia huyu Jamaa alichomfanyia mke wake jana

Jana niligombana na mke wng, Akaniambia nibebe kila kitu changu niondoke, Bas kiustaarabu... Read More

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Angalia hawa vichaa walichokifanya, Vichaa bwana, ni noma!

Vichaa walipanga kutoroka, wakakubaliana wamnyonge mlinz... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More