Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Featured Image

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana Wave
kichwani.
-Kama bosi atakuwa na kampuni basi ni lazima
itakuwa ya Clearing and Forwading au ya uuzaji
Magari.
-Lazima waende Kununua nguo.
-Jambazi lazima avae koti lefu jeusi na Miwani.
-Mtu akichapwa kofi huangukia kwenye kochi
ama kitandani.
-Actress huwa hawapiki hata chai.
-Kwa mdada akiishi maisha ya kitajiri lazima
avae nguo inayoishia mapajani.
-Actress even after 5 yeas utakuta staili ya
nywele na rangi za kucha ni zile zile.
-Anaweka Sumu alafu anaonja kama imekolea.
-Movie zote wapenzi huitana Baby..
-Main actor wote ni wafanya biashara na lazima
wataongelea mizigo kutoka bandarini.
-Wakinywa Soda basi lazima wabakishe.

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Baridi (Guest) on June 9, 2020

😁 Hii ni dhahabu!

Patrick Mutua (Guest) on May 16, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Thomas Mtaki (Guest) on May 6, 2020

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on April 23, 2020

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Thomas Mwakalindile (Guest) on April 16, 2020

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Benjamin Masanja (Guest) on April 8, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Thomas Mtaki (Guest) on April 6, 2020

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Mwanaisha (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Nancy Kabura (Guest) on March 17, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Elizabeth Malima (Guest) on February 6, 2020

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Peter Otieno (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Shamsa (Guest) on January 16, 2020

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Joseph Mallya (Guest) on January 12, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Joseph Njoroge (Guest) on January 6, 2020

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

James Kimani (Guest) on December 28, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Shani (Guest) on December 25, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Zubeida (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Jebet (Guest) on December 21, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Margaret Anyango (Guest) on December 17, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Charles Mchome (Guest) on December 6, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Mary Sokoine (Guest) on October 8, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on October 5, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Kazija (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Janet Sumaye (Guest) on September 14, 2019

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Hashim (Guest) on August 25, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Andrew Mahiga (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Anna Kibwana (Guest) on July 29, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Anna Kibwana (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Elizabeth Mrope (Guest) on June 21, 2019

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Stephen Amollo (Guest) on June 15, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Nchi (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Alice Mrema (Guest) on May 25, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Khadija (Guest) on May 21, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

James Mduma (Guest) on May 8, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Ibrahim (Guest) on May 6, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

John Mwangi (Guest) on March 26, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Victor Malima (Guest) on March 22, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on March 20, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Patrick Kidata (Guest) on March 6, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Grace Mushi (Guest) on February 28, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Jackson Makori (Guest) on January 14, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Anna Kibwana (Guest) on December 5, 2018

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Safiya (Guest) on October 18, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Patrick Akech (Guest) on October 7, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Grace Mushi (Guest) on October 2, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Alice Wanjiru (Guest) on July 6, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Jebet (Guest) on June 12, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on June 11, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Irene Akoth (Guest) on June 8, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Kevin Maina (Guest) on June 6, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Esther Cheruiyot (Guest) on May 10, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Grace Majaliwa (Guest) on May 9, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Patrick Mutua (Guest) on May 3, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on April 9, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Frank Macha (Guest) on April 2, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Kenneth Murithi (Guest) on March 1, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on February 20, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 30, 2018

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Mashaka (Guest) on January 25, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Mimi ndio nimeelewa hivi!

Leo nimepishana na Vitz imeandikwa, "Never trust women"

Nikajua huyu mtu lazima alikuaga... Read More

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Je hili ni kweli kuhusu mpenzi maskini na Tajiri?

Siku hizi kudekezwa na kupetiwa petiwa tunawaachia matajiri

Hakuna mwanamke yupo tayar kula... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Angalia sababu ya mwanamme kubadili jina na Kuitwa jina la kike, hii dunia ina mambo kweli

Rashidi alimpa ujauzito mwanafunzi, akashtakiwa.
Kumbe Rashidi ana bibi yake mtaalamu wa yal... Read More

Utani kwa wadada wembamba

Utani kwa wadada wembamba

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Wadada wembamba hebu nenepeni basi mn... Read More

Kisa cha mzaramo na mchaga

Kisa cha mzaramo na mchaga

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=Read More

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

Mke alichomfanyia mme wake kabla ya kwenda safari, Chezea mawaifu walokole wewe!

JAMAA alimuaga mke wake mlokole kuwa anaenda semina ya siku tatu, kumbe anakwenda kwa bi mdogo. Mke... Read More
Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka kwenye harusi

Jamaa mmoja alialikwa ktk harusi. Akafika mlango Wa 1 umeandikwa kulia ni ndugu Wa maharusi, kush... Read More

Huyu mke ni shida!

Huyu mke ni shida!

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumban... Read More

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno kwa wavulana

Hili nalo neno

Demu wako anakuja kwako kasuka nywele za 30,000 na hujampa hata mia,we unaka... Read More

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

Cheki huyu jamaa anavyoungama kwa padri sasa

JAMAA: Baba Padri nimekuja kuungama
PADRI: Haya
JAMAA: Niliiba kamba
PADRI: Kamba?... Read More