Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kichekesho cha mwalimu na wanafunzi

Featured Image

Mtoto: Mwalimu mimi nataka nisome darasa la nne kwani hili la3 halinifai.

Mwalimu: Kwa nini unasema hivyo?

Mtoto: Nina akili…

Basi mwalimu akamueleza mkuu wa shule na mkuu kaitisha interview kwa dogo. Maswali ni haya….

Mwalimu: Kwenye ndege kuna matofali 20 tukitoa moja tukalidondosha chini yatabaki mangapi?

Dogo: Yatabaki 19.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka tembo kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamuweka tembo kisha unafunga.

Mwalimu: Nipe hatua za kumuweka nyani kwenye friji.

Dogo: Unafungua friji unamtoa tembo ulemuweka..unamueka nyani kisha unafunga friji.

Mwalimu: Kuna sherehe ya siku ya kuzaliwa kwa simba, wanyama wote wameenda kasoro mmoja. Ni nani na kwa nini?

Dogo: Ni nyani kwa sababu tumemuweka kwenye friji.

Mwalimu: Bibi kizee amevuka mto unaokuwaga na mamba na viboko wakali, aliwezaje?

Dogo: Aliweza kwani mamba na viboko nao walienda kwenye sherehe ya kuzaliwa kwa simba.

Mwalimu: Ingawa bibi kizee alivuka mto, baadae alikufa. Unadhani ni kwanini alikufa?

Dogo: Alidondokewa na lile tofali tulotoa kwenye ndege na kutupa chini.

Mwalimu mkuu: Huyu dogo akasome chuo kikuu….
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Stephen Kikwete (Guest) on December 9, 2019

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 24, 2019

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Mollel (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Mariam Hassan (Guest) on November 7, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Alice Mwikali (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Abubakar (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Jane Muthui (Guest) on June 17, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Alice Mrema (Guest) on June 13, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on May 27, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Margaret Anyango (Guest) on April 15, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

David Musyoka (Guest) on April 14, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Lissu (Guest) on March 31, 2019

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

George Mallya (Guest) on March 28, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mariam Hassan (Guest) on February 25, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Leila (Guest) on February 15, 2019

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Sarah Karani (Guest) on February 5, 2019

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Mary Njeri (Guest) on January 30, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Irene Akoth (Guest) on December 16, 2018

πŸ˜‚πŸ€£

Mustafa (Guest) on December 13, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Robert Okello (Guest) on December 1, 2018

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on November 12, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Kheri (Guest) on November 8, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 30, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on October 26, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Mwanaidi (Guest) on October 20, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Neema (Guest) on September 11, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Anna Malela (Guest) on August 26, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Sharon Kibiru (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Nancy Kawawa (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Anna Mahiga (Guest) on July 17, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Edith Cherotich (Guest) on June 28, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on June 20, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on June 1, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Ruth Kibona (Guest) on May 18, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kiwanga (Guest) on May 14, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on May 2, 2018

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Peter Tibaijuka (Guest) on April 4, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Irene Akoth (Guest) on April 2, 2018

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Linda Karimi (Guest) on March 6, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

John Lissu (Guest) on March 5, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mohamed (Guest) on February 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Janet Sumari (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Stephen Malecela (Guest) on January 8, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on December 31, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Carol Nyakio (Guest) on December 28, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on December 27, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 15, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Charles Wafula (Guest) on November 17, 2017

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on November 13, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Philip Nyaga (Guest) on November 6, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Robert Ndunguru (Guest) on November 2, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Elizabeth Mrope (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

John Mwangi (Guest) on October 4, 2017

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Hashim (Guest) on October 4, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Yahya (Guest) on September 26, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Rose Mwinuka (Guest) on September 5, 2017

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Mligo (Guest) on September 5, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Sekela (Guest) on August 20, 2017

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Dorothy Nkya (Guest) on August 19, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Dongo kwako kama una degree moja Halafu unachagua kazi

Mtu una degree 1 unachagua kazi! Wakati thermometer ina degree 100, inafanya kazi kwenye kwapa.<... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

Alichokisema mtoto baada ya kusikia baba na mama wakiongea mambo yao usiku

MUME: Mke wangu naomba nikubusu MKE: Sitaki MUME: Ntakununulia pete ya gold MKE: Staki MUME: Ntakun... Read More
Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari na yeye kumbe muoga, cheki anachomjibu afande

Askari wametumwa nyumba iliyokuwa kuna ugomvi wakafika wakatakiwa kuripoti ... Read More

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndiyo bongo sasa!!

Hii ndio Bongo

Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri k... Read More

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

Angalia sababu ya mke Mtarajiwa kuzimia kabla ya harusi

*Jihadharini* na wachapaji wa kadi za harusi. Hakikisha unasoma maandishi yaliyochapwa kabla ya k... Read More

Cheki hawa wachungaji

Cheki hawa wachungaji

CHEKA KIDOGO

Wachungaji watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuo... Read More

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Angalia anachojibu huyu babu. Wazee wengine bwana

Babu: Mjukuu wangu ngoja nikusimulie hadithi ya mimi babu yako kwenye vita ya kagera
Mjukuu:... Read More

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

Hii ndio ndoto ya harusi ya kila msichana anayotamani

GIRL: Baby, hebu niambie harusi yetu itakuwaje? BOY: Yaani hii haijawahi kushuhudiwa, ngoja nikupe k... Read More
Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu kasema tukapime, cheki nilichifanya

Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et

"NILIOTEMBEA NAO WOTE MKAPIME"

Sa... Read More