Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu bwana leo kapatikana, Jamani nyodo nyingine mbaya

Featured Image

Baada ya kumaliza Degree yake ya sheria Bwana Rwegashora aliamua kurudi nyumbani Bukoba mjini na kufungua ofisi yake kwa ajili ya huduma kwa wateja.
Siku moja akiwa ndani ya ofisi yake alimuona mtanashati na mdada mmoja mrembo anakuja ofisini kwake akajua ni mteja anamletea kesi.





Ndipo akanyanyua mkoni wa wa simu ya TTCL na kuanza kuongea huku anajizunguusha kwenye kiti cha kuzunguuka.
Wakati mdada alipokaribia Rwegashora alimkaribisha kwa ishara maana alijifanya yupo busy na kuongea na simu ya umuhimu.
Wakati anaongea na simu akisikika akisema No, No, No….. Absolutely No. Wajuulishe hao lay person wa New York kua siwezi kushuhulika na kesi ambayo itanilipa chini ya 50 million. Mimi ni profesional lawyer and im crossing the border to sarve international community.





Aka pose kidogo na akanywa maji kisha akaendelea…..
Naweza kuanza kukusanya primary evidence next weak but tell them watume kwanza ten million kwa kuanza…
Hahahahaha you dont know my Account
Mr Roger. Ok waambie watume kwenye Account ileile walionitumia million 100 last month…





Aka pose tena akameza fundo la maji na kurekebisha tai yake kisha akaendelea… Ok usisahau kumueleza muendesha mashtaka mkuu wa marekani kua nitakuja New York mwezi ujao maana nitapita kwanza Amsterdam kuwasilisha utetezi wa yule mteja wangu mholanzi kisha nitaenda Tokyo kulipia ile gari yangu niloagiza.





Wakati anaongea hayo yote yule mdada alikua ametulia na anamuangalia Bwana Rwegashora anavyojizunguusha kwenye
kiti chake huku akiongea kwa tambo kwenye ile simu ya TTCL.
Baada ya kumaliza kuongea na simu Bwana Rwegashora aliweka mkono wa simu yake ya TTCL chini kisha akamgeukia mdada mrembo.





Samahan sana kwa kukupotezea muda wako unajua tena kazi zetu zinaumiza kichwa sana kama unavyoona mwenyewe yaani niko busy sana ninapokea simu sana mpaka nimechoka na simu nyingi ni za wateja wa njee ya nchi.





Anyway nikusaidie nn? Mdada akajibu mimi ni mfanyakazi wa kampuni ya TTCL nimekuja kuunganisha line yako ya simu kwani haipo hewani tangu wiki iliyopita…!!!





Unadhani Bwana Rwegashora alifanyaje…???


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Asha (Guest) on April 4, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Mary Mrope (Guest) on March 28, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Rahim (Guest) on March 24, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Lissu (Guest) on February 16, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Joyce Mussa (Guest) on January 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Linda Karimi (Guest) on January 19, 2020

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on December 16, 2019

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Peter Otieno (Guest) on December 13, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Tabitha Okumu (Guest) on November 29, 2019

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Sharon Kibiru (Guest) on November 15, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

George Ndungu (Guest) on November 9, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Samuel Omondi (Guest) on October 27, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Mary Kidata (Guest) on October 19, 2019

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on October 12, 2019

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Elizabeth Mtei (Guest) on October 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Mohamed (Guest) on September 16, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ruth Mtangi (Guest) on September 1, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Rose Mwinuka (Guest) on August 25, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Ann Wambui (Guest) on August 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Elizabeth Mtei (Guest) on August 9, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

David Nyerere (Guest) on July 23, 2019

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Josephine Nduta (Guest) on June 25, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Elizabeth Mtei (Guest) on June 15, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 12, 2019

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Frank Sokoine (Guest) on May 5, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Elizabeth Mtei (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

James Mduma (Guest) on April 19, 2019

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Hassan (Guest) on March 10, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Alex Nakitare (Guest) on March 8, 2019

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Sarah Karani (Guest) on March 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Elizabeth Mrema (Guest) on February 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Francis Mrope (Guest) on January 30, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Zakia (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Rahim (Guest) on January 5, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Dorothy Nkya (Guest) on December 24, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Philip Nyaga (Guest) on December 18, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

David Ochieng (Guest) on December 17, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Mary Kidata (Guest) on November 13, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on November 1, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Benjamin Kibicho (Guest) on October 20, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Jacob Kiplangat (Guest) on October 3, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Mchawi (Guest) on September 11, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Victor Mwalimu (Guest) on August 31, 2018

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on August 22, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on August 19, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

George Wanjala (Guest) on August 6, 2018

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Lucy Wangui (Guest) on June 23, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Jane Malecela (Guest) on June 15, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on June 6, 2018

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Raphael Okoth (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Wanjiru (Guest) on March 21, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Robert Okello (Guest) on March 18, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Farida (Guest) on March 18, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Margaret Anyango (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Lucy Mushi (Guest) on March 17, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Carol Nyakio (Guest) on February 13, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Elijah Mutua (Guest) on February 7, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Joseph Kitine (Guest) on February 2, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Huu mchezo hautaki makeup

Huu mchezo hautaki makeup

Mama mwenye nyumba anajipodoa anashinda saloon kujipodoa lakini house girl hata mafuta us... Read More

Cheki kilichompata huyu dada!!

Cheki kilichompata huyu dada!!

NDOA inafungwa KANISANI Mchungaji akauliza-Yeyote mwenye Pingamizi La Ndoa hii kufungwa aje Mbel... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Cheki huyu jamaa alivyoumbuka akiwa ndani ya dala dala baada ya kupokea simu ya mkewe

Jamaa kapokea simu kutoka kwa mke wake ndani ya daladala

jamaa: hellow hellow ( jamaa ak... Read More

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

Jinsi mzunguko wa elimu ulivyo

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza
Mashuleni, wanaenda kwenye
Engineering na Medical sc... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Angalia kilichomkuta huyu msanii wa mziki na mashabiki wake

Msanii mmoja anaitwa ''KINYA'' alikuwa ana perfom jukwaan..!!!
Kawaida kila msanii lazima aj... Read More

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda ambao unaweza kumzoea dingi

Muda pekee ambao unaweza kumzoea DINGI ni pale unapomfundisha kutumia SMARTPHONE….

Wanaku... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More