Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Featured Image

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye mkutano fanya mipango yote.
SEKRETARI (anamuaga mumewe): Tunaenda na bosi Serena hotel kwenye mkutano for 1 week.
MUME (anampigia mpango wa kando): Mambo safi, wife anaenda kikazi Serena, jitayarishe tujipe raha for 1 week
(Mpango wa kando) anamwambia mwanafunzi wake wa tution: wiki hii nina kazi fulani hakuna tution mpaka week ijayo.
MWANAFUNZI anampigia simu sugar daddy wake ambaye ndo (BOSS): Dear hakuna tution wiki hii nakuja kwako…..





BOSS anamwambia sekretari wake: Siendi Serena tena coz mjukuu wangu atanitembelea.
SEKRETARI: Mume wangu hatuendi Serena
MUME (anampigia Mpango): dah! mpenzi, huyu mke wangu haendi tena. Shit! So hadi next time plz
Mpango wa kando a.k.a teacher (anampigia mwanafunzi): Darasa kama kawaida sorry for the earlier message.
MWANAFUNZI: darling tution inaendelea kumbe, so nakuja wiki ijayo!!
BOSS: Sekretari sorry jitayarishe ile safari ya Serena iko palepale……


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Ann Awino (Guest) on June 1, 2019

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Mchome (Guest) on April 16, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

David Chacha (Guest) on March 26, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Sumaya (Guest) on March 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

James Kimani (Guest) on March 15, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on February 12, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on February 12, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Robert Ndunguru (Guest) on February 10, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Charles Mboje (Guest) on January 23, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Njeri (Guest) on December 25, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Anna Mahiga (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Isaac Kiptoo (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Catherine Mkumbo (Guest) on November 12, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Mzee (Guest) on November 11, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Joy Wacera (Guest) on October 16, 2018

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Daniel Obura (Guest) on October 9, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

John Malisa (Guest) on September 23, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on September 21, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

James Kawawa (Guest) on September 21, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Benjamin Masanja (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Kheri (Guest) on August 13, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joy Wacera (Guest) on July 30, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Mzee (Guest) on July 17, 2018

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Ramadhan (Guest) on July 9, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Ruth Kibona (Guest) on June 17, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Edith Cherotich (Guest) on June 4, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on April 29, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Stephen Amollo (Guest) on April 23, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Peter Mbise (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

John Lissu (Guest) on April 10, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Miriam Mchome (Guest) on March 3, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Jabir (Guest) on February 3, 2018

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Abubakar (Guest) on February 2, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Diana Mallya (Guest) on January 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on January 15, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on January 2, 2018

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Grace Minja (Guest) on December 11, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Leila (Guest) on December 3, 2017

πŸ˜† Kali sana!

Makame (Guest) on November 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Esther Nyambura (Guest) on November 14, 2017

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Alex Nakitare (Guest) on November 12, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚

Frank Sokoine (Guest) on October 29, 2017

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Victor Kimario (Guest) on October 14, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Monica Adhiambo (Guest) on October 9, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Mercy Atieno (Guest) on September 7, 2017

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Grace Njuguna (Guest) on August 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mwikali (Guest) on July 29, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on July 23, 2017

πŸ˜‚ Kali sana!

Esther Nyambura (Guest) on July 17, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Edith Cherotich (Guest) on July 14, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Fadhili (Guest) on July 3, 2017

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Andrew Odhiambo (Guest) on June 26, 2017

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Benjamin Masanja (Guest) on June 20, 2017

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Yusuf (Guest) on June 10, 2017

😁 Hii ni dhahabu!

David Nyerere (Guest) on June 1, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on May 25, 2017

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on May 24, 2017

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Omari (Guest) on April 11, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on April 9, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Joyce Aoko (Guest) on April 3, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Related Posts

Wasichana wa leo

Wasichana wa leo

Jamaa yupo ndani ya Range rover yake mpya na msichana ambaye ni mpenzi wake.

#Jamaa: kuna s... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Vichekesho vya kukuondoa mawazo leo

Soma vichekesho hivi;

Mwizi wa atm

Jamaa aliibiwa kadi yake ya benk akaulizwa kama ... Read More

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Punguzeni pombe. Cheki kilichompata huyu

Jamani punguzeni pombe,kuna jirani yangu amerudi amelewa sasa nachungulia dirishani naona anagong... Read More

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

Angalia huyu mvulana anachomwambia huyu daktari baada ya rafiki yake wa kike kupata ujauzito

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

MVULANA:Β Daktari, rafiki yangu wa kike ni mjamzito, l... Read More

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

Unakumbuka hizi Sheria zetu za mpira utotoni?

1.Mwenye mpira Lazima acheze ata kama hajui mpira
2.Dogo mnene Lazima aw... Read More

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Angalia huyu polisi kitu alichonijibu

Nimefika hapa Polisi Station nimefarijika sana na Kustuka baada ya kumkuta Askari hapa Kaunta ana... Read More

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Jambo la kufanya kama binti alikuachaga zamani na sahizi anakutaka

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More