Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Soma huyu mtoto anachosema sasa, Ndoto za watoto bwana! Kazi ipo!

Featured Image

Mwalimu aliingia darasani na kuwauliza wanafunzi juu ya ndoto zao za baadae.
MWAL: John we unataka ukiwa mkubwa uwe nani?
JOHN: Nataka niwe daktari wa moyo niwasaidie watanzania wanaougua magonjwa ya moyo.
MWAL: vizuri. Na wewe Rose unataka kuwa nani?





ROSE: Nataka kuwa rubani, niweze kusaidia watu wanapenda kusafiri kw anga.
MWAL: Safi sana Rose. Utakua utakua mfano kwa wasichana wenzio kuwa na bidii kwenye masomo ya sayansi.
MWAL: Na wewe Nehemiah ??
Nehemiah : mimi nataka kuwa tajiri mkubwa sana. Niwe na nyumba Tanzania, S.Africa, Marekani na Dubai. Niwe na gari 7 za kutembelea. Kila siku nabadilisha. Leo nikipanda hii, siirudii hadi week iishe. Nataka niwe namiliki viwanda, Makampuni, ndege binafsi na mashamba makubwa. Nataka niwe na nguvu serikalini ya kuamua nani awe Rais na nani asiwe……"
Akameza mate kisha akaendelea….
"Nataka kuwa na walinzi 20 wenye silaha nzito wakinizunguka, na watumishi wakininyenyekea. Nataka kuwa bilionea ninayeogopwa. Lakini pia nataka kuwa na mke mzuuuri sana ambaye nitakuwa natembea nae kila mahali."
MWAL: ndoto nzuri sn lakini unahitaji bidii sana kutimiza. Haya na wewe Jenny tueleze unataka kuwa nani??
JENNY: Nataka kuwa mke wa Nehemiah .!!


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Patrick Mutua (Guest) on January 14, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Amir (Guest) on January 2, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Frank Macha (Guest) on December 12, 2018

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Issa (Guest) on December 11, 2018

Asante Ackyshine

George Wanjala (Guest) on November 25, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Chris Okello (Guest) on November 24, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Diana Mumbua (Guest) on November 10, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Fredrick Mutiso (Guest) on October 30, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Joyce Aoko (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Sarah Mbise (Guest) on October 14, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Andrew Mahiga (Guest) on October 6, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Moses Kipkemboi (Guest) on September 22, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on September 12, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joseph Kawawa (Guest) on September 11, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Ruth Wanjiku (Guest) on September 1, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Leila (Guest) on August 24, 2018

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Henry Sokoine (Guest) on July 30, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 15, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Bernard Oduor (Guest) on July 7, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Mercy Atieno (Guest) on June 9, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Henry Mollel (Guest) on June 1, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Samuel Omondi (Guest) on May 11, 2018

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Husna (Guest) on May 2, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Ibrahim (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Mercy Atieno (Guest) on April 15, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Nancy Kabura (Guest) on April 14, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

George Ndungu (Guest) on April 9, 2018

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Henry Sokoine (Guest) on March 3, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Mwanahawa (Guest) on February 7, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Nassar (Guest) on February 3, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Paul Ndomba (Guest) on January 25, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mwanahawa (Guest) on January 24, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Mary Njeri (Guest) on January 11, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on December 18, 2017

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Brian Karanja (Guest) on December 2, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Kamande (Guest) on November 28, 2017

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Kawawa (Guest) on November 23, 2017

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Ahmed (Guest) on November 22, 2017

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jamila (Guest) on November 21, 2017

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Diana Mallya (Guest) on November 18, 2017

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joy Wacera (Guest) on November 14, 2017

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on September 20, 2017

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Andrew Mchome (Guest) on September 17, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Agnes Lowassa (Guest) on August 16, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Josephine Nduta (Guest) on August 14, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

John Lissu (Guest) on August 11, 2017

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Muslima (Guest) on July 29, 2017

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Hawa (Guest) on July 16, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nancy Akumu (Guest) on July 15, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Hellen Nduta (Guest) on July 2, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Janet Mbithe (Guest) on July 2, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mwajabu (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 25, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Charles Wafula (Guest) on May 15, 2017

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Alice Mrema (Guest) on May 3, 2017

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Janet Sumari (Guest) on May 2, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on May 1, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Martin Otieno (Guest) on April 12, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ€£

Mhina (Guest) on April 4, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Furaha (Guest) on March 6, 2017

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Related Posts

Ni wazo tuu!

Ni wazo tuu!

Siyo watu wote wanaokuuliza kwamba watoto hawajambo,wanakuuliza kwa nia nzuri,wengine wanaulizia ... Read More

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Angalia alichokifanya huyu sharobaro kanisani

Huu usharobaro mwingine uchizi. Jamaa kamzimia demu kanisani, mara ukafika mda wa kutoa sadaka, eti ... Read More
Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

Angalia huyu mwanamke mwenye wivu kwa mumewe alivyoumbuka, Mme wake kamuweza kweli

WIVU HUU NI NOMA Mke: Hivi mume wangu una wanawake wangapi huko nje? Mume: Kama nywele za kichwa c... Read More
Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Mbele ya hela binti usharobaro achia mbali

Boy:- hallow
Dem:- hellow
Boy:- ivi jina lako nani vile
Dem:- am miss precious A. ... Read More

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Angalia kilichompata huyu mwanafunzi kilaza anayejiamini

Teacher: Who is a pharmacist?

Shemdoe raised up his hand.

Teacher: So it’s only She... Read More

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

Jamaa mpenda michepuko kapatikana

…Upo kazini umeacha familia yako nyumbani mara ghafla unapigiwa simu kutazama unakutana na no n... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kukutana na hii? Maana yake ni nini?

Ulishawahi kutana na hii….
Issa: mambo
Jeni:poa vp
Issa:poa nambie:

Jeni:p... Read More

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Angalia hawa wadada walivyoumbuliwa, Huyu kasuku jeuri kweli

Kasuku alisimama mlango wa kuingia supermarket wakapita wanawake watatu akasema nyeupe, nyekundu, ki... Read More
Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka huu

Sitasahau mwaka ule ambapo nilipeleka barua ya maombi yangu ya kazi kwenye kampuni moja ... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More