Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Featured Image

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungura anayeishi mwituni anaitwaje?"

ZUZU:"Sunguramilia."

2.Ticha:"Rais wa kwanza wa kenya aliitwa KENYATTA…Je rais wa kwanza wa
Tanzania aliitwaje?"
ZUZU:"TANZANIATTA."

3. Ticha:"Kuku yuko katika jamii ya NDEGE…Je samaki yuko katika jamii ya nini?"

ZUZU:"MELI."

4. Ticha:"Coach wa Arsenal anaitwa ARSENE,wa Man-city anaitwa MANCINI….Je wa
Liverpool anaitwaje?

ZUZU:"LIVER."

5 Ticha:"Ukiwa na mbuzi 10,wezi waje waibe 5,utabaki na nini?"

ZUZU:"Hasira nyingi sana!"

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Maulid (Guest) on August 20, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

John Lissu (Guest) on July 29, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Alice Wanjiru (Guest) on June 27, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Charles Mboje (Guest) on June 19, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Mwikali (Guest) on June 5, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Majid (Guest) on June 5, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Catherine Mkumbo (Guest) on May 3, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Rose Amukowa (Guest) on April 26, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Rose Lowassa (Guest) on April 5, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Jafari (Guest) on April 4, 2019

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Anna Malela (Guest) on April 3, 2019

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Josephine Nduta (Guest) on April 1, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

David Kawawa (Guest) on March 28, 2019

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on March 19, 2019

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Zainab (Guest) on February 28, 2019

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Edward Chepkoech (Guest) on February 6, 2019

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on January 14, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthui (Guest) on December 24, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Joseph Mallya (Guest) on December 13, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on November 23, 2018

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

David Kawawa (Guest) on November 1, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Charles Mchome (Guest) on October 28, 2018

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Peter Mbise (Guest) on September 30, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Sharifa (Guest) on September 27, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

John Lissu (Guest) on September 20, 2018

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Lucy Wangui (Guest) on September 5, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on September 2, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Lucy Kimotho (Guest) on September 1, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nduta (Guest) on August 30, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Victor Kamau (Guest) on August 27, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Henry Mollel (Guest) on July 28, 2018

🀣πŸ”₯😊

Lucy Wangui (Guest) on July 12, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Chiku (Guest) on June 20, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Grace Minja (Guest) on June 14, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Irene Akoth (Guest) on June 6, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Khadija (Guest) on May 27, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Josephine Nekesa (Guest) on May 25, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Betty Cheruiyot (Guest) on May 17, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Francis Mtangi (Guest) on April 23, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Francis Mtangi (Guest) on April 16, 2018

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

David Ochieng (Guest) on March 13, 2018

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Alex Nakitare (Guest) on March 12, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on February 21, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on February 21, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Frank Macha (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mwinyi (Guest) on January 24, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Edward Chepkoech (Guest) on January 13, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Cheruiyot (Guest) on January 7, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mary Sokoine (Guest) on December 3, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Agnes Lowassa (Guest) on November 29, 2017

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Elizabeth Mrope (Guest) on November 7, 2017

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Mary Mrope (Guest) on November 1, 2017

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Nassor (Guest) on October 5, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mgeni (Guest) on September 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Mwinyi (Guest) on September 18, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Francis Njeru (Guest) on July 27, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Peter Mugendi (Guest) on July 26, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jaffar (Guest) on July 8, 2017

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Related Posts

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Majibu ya mkato ya kuchekesha Kutoka Kenya

Njeri:Β Roysambu ni ngapi?
Makanga:Β Roysambu ni moja tu. ... Read More

Duh! Wanaume jamani…

Duh! Wanaume jamani…

Lakini sisi wanaume hatuko fair … Yani demu anang'ng'ana kujipodoa uso na sisi tunaang... Read More

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Cheki huyu dingi alivyo mnoko

Unamtumia baba ako meseji ukiwa shule "Baba naomba unitumie 100,000 ya pckt mny" anakuuliza "pck... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Ndege ya Tanzania

Ndege ya Tanzania

Kuna maprofesa 40 walipanda AIR TANZANIA ili wasafari. Kabla ndege haijaanza kuondoka, Lilipita t... Read More

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Cheki jamaa alivyoumbuka baada ya kuhudhuria semina isiyomuhusu

Jamaa kavamia semina ya wasomi iliyokua inafanyika maeneo ya ubungo plaza bas wakaanza kujitambul... Read More

Kichekesho cha mke wa mvuvi

Kichekesho cha mke wa mvuvi

CHEKA KIDOGO

MVUVI MASKINI NA MKEWE MALAYA.
Mvuvi mmoja alikua akiishi na mke wake huk... Read More

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Utani wa wahindi, cheka kidogo

Mhindi afaulu mtihani wa Kiswahili

(1) Mfa maji ?……………….. Tampa life jacket.Read More

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

Cheki huyu mwanamke anavyomkomoa mme wake baada ya kumsaliti

MKE: Mbona unanukia pafyumu ya kike?
MUME: Yaa kuna mwanam... Read More

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Ikitokea hii kwenye chumba cha mtihani

Upo kwenye chumba cha mtihani,
maswalii yamekupiga kinyama
Unaamua kuchukua smartphone ... Read More

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Huku ndiko kuumbuka bila chuki

Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula chausiku unapewa chumba chakulala inapofik... Read More