Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Sababu za kumuacha mke kama umemchoka

Featured Image

Ukimchoka mkeo, waweza kumtaftia sababu za kumuacha kama hizi

_
1. Missed calls 16? Umeua betri la simu yangu. Kwa hiyo hata mimi unaweza kuniua… It's Over!!!
_
2. Hata hunieshimu. Mi naongea na wewe lakini we upo bize unavuta pumzi? It's over!
_
3. Nimekupigia umepokea simu hapohapo. Huna subira. It’s over!!
_

4. Nilikwambia huwa napenda chakula cha moto lakini hujanipashia ice cream. Hunijali. It's over!
_
5. Nimekupa mayai mawili, moja uchemshe jingine ukaange. We umekaanga ambalo ulitakiwa kuchemsha na umechemsha ulilotakiwa kukaanga. Huniheshimu, It’s over!
_
6. Nimekuita DARLING na wewe ukaniita HONEY. Yani kwa maana nyingine unamuita mama yangu NYUKI. Huheshimu wazazi wangu, fungasha kilicho chako. its over.

πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„πŸ˜‚πŸ˜„

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Robert Okello (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on October 29, 2019

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Binti (Guest) on October 14, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Irene Akoth (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Amani (Guest) on October 1, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Sarah Achieng (Guest) on September 20, 2019

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Nancy Kawawa (Guest) on September 1, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Monica Lissu (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Bahati (Guest) on July 27, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Dorothy Mwakalindile (Guest) on July 25, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Ruth Wanjiku (Guest) on July 20, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Peter Mugendi (Guest) on July 14, 2019

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Aziza (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Karani (Guest) on June 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Hashim (Guest) on May 31, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Bernard Oduor (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Hellen Nduta (Guest) on April 28, 2019

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on April 20, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kheri (Guest) on February 24, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Benjamin Masanja (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Kahina (Guest) on January 7, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Patrick Kidata (Guest) on January 7, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Joyce Nkya (Guest) on December 26, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Hellen Nduta (Guest) on December 16, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Sarah Achieng (Guest) on December 16, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on December 12, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Peter Mbise (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nora Lowassa (Guest) on November 30, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on November 27, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Christopher Oloo (Guest) on November 8, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Selemani (Guest) on November 7, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Joseph Kawawa (Guest) on October 31, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Betty Kimaro (Guest) on October 28, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Samuel Omondi (Guest) on October 4, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Zawadi (Guest) on September 14, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Alex Nakitare (Guest) on August 16, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Nashon (Guest) on August 7, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Frank Macha (Guest) on August 1, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Janet Mwikali (Guest) on July 18, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Lucy Wangui (Guest) on July 10, 2018

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Diana Mallya (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Alice Jebet (Guest) on June 9, 2018

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Njeri (Guest) on June 3, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Charles Mrope (Guest) on May 13, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mzee (Guest) on April 1, 2018

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Chum (Guest) on March 28, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Ruth Wanjiku (Guest) on March 22, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Rubea (Guest) on March 7, 2018

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on February 18, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Mary Kendi (Guest) on February 4, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Grace Wairimu (Guest) on December 14, 2017

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Peter Mugendi (Guest) on December 12, 2017

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on November 10, 2017

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Diana Mumbua (Guest) on October 27, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Ruth Wanjiku (Guest) on October 12, 2017

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Mary Njeri (Guest) on October 9, 2017

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Samson Tibaijuka (Guest) on September 22, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on August 10, 2017

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Rose Kiwanga (Guest) on August 3, 2017

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Related Posts

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli ngumu, soma hii

Januari kweli kiboko

Hii january sabuni za kuogea ni zile za kuoshea vyombo, yani u... Read More

Duh, hii sasa kazi

Duh, hii sasa kazi

Wakati unafikiria dingi yako afe ili urithi nyumba, dingi nae anafikiria uanze kufa ili apangishe... Read More

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

Tofauti ya ukopaji wa mzungu na mswahili

MZUNGU: Hi, I need $100, will pay back on Monday

MSWAHILI: Kaka vipi, shwari? Dah.. hatu... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kilichotokea nikiiwa namsaidia mtoto home work

Kusaidia Mtoto wa Nursery Homework ni Ngumu. Unamuuliza "Nina Pipi Tano, nikiwagawia Wat... Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Eti hili nalo ni kweli kwa dada yako?

Oya people hv kwa mfano Dada yako akisomea sheria ndo anaitwa sister in law? au... Read More

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Kilichotokea baada ya jambazi kuvamia kanisa

Jambazi mmoja aliingia kanisani na bunduki akapiga risasi juu ya bati akasema "asiyempenda YESU a... Read More