Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Maisha ya Pwani ni Shidaaaaah

Featured Image

πŸ˜†πŸ˜† πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Jamaa kagombana na mkewe, akasusa kula🍽🍨 kurudi kazini kamkuta mkewe amevaa kanga imeandikwaΒ ukisusa wenzio walaΒ ilipofika asubuhi mke akavaa kanga imeandikwaΒ ukitoka 🚢🚢mwenzio anaingiaπŸ’ƒπŸ’ƒ

jamaa akagoma kwenda kazini 😬😬 mke akabadili kanga na kuvaa iloandikwaΒ nimemdhibiti ndo mana hatoki🚷 jamaa akaenda kuomba ushauri kwa rafiki yake akaambiwa twende nyumbsni kwako, walipofika walimkuta mke kavaa kanga imeandikwaΒ ulidhani rafiki yako kumbe adui yakoπŸ€”πŸ€” jamaa akaamua kusafiri siku tano ili kupunguza hasira. Aliporudi akamkuta mke amevaa kanga imeandikwaΒ ni bora nimpe jirani kuliko kiozee ndani
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

hata kama hupendagi ujinga kwa maneno ya kwenye kanga utasanda tu

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Charles Mchome (Guest) on September 25, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mustafa (Guest) on September 21, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Jane Muthui (Guest) on August 30, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Susan Wangari (Guest) on August 22, 2019

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Sarah Mbise (Guest) on August 15, 2019

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Kahina (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Edward Lowassa (Guest) on August 3, 2019

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on July 9, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Elizabeth Mtei (Guest) on June 19, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Grace Mligo (Guest) on June 11, 2019

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Ruth Wanjiku (Guest) on June 4, 2019

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Amani (Guest) on June 3, 2019

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mallya (Guest) on May 30, 2019

πŸ˜‚ Kali sana!

Kevin Maina (Guest) on May 17, 2019

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nassar (Guest) on May 16, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Zuhura (Guest) on May 10, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Jacob Kiplangat (Guest) on April 11, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Janet Mbithe (Guest) on April 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Edward Chepkoech (Guest) on March 20, 2019

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Jaffar (Guest) on March 6, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Salum (Guest) on January 11, 2019

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Simon Kiprono (Guest) on December 22, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Paul Ndomba (Guest) on November 30, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Charles Mchome (Guest) on October 20, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Samson Mahiga (Guest) on October 18, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Jaffar (Guest) on October 17, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Agnes Njeri (Guest) on October 9, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Grace Njuguna (Guest) on September 8, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Jamal (Guest) on September 6, 2018

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Ruth Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

David Kawawa (Guest) on July 27, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sofia (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

John Lissu (Guest) on July 14, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Esther Nyambura (Guest) on June 29, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Kevin Maina (Guest) on June 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Tabitha Okumu (Guest) on May 26, 2018

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Josephine Nekesa (Guest) on May 11, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jaffar (Guest) on April 17, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Ann Awino (Guest) on March 25, 2018

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Jafari (Guest) on March 11, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Husna (Guest) on March 5, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

Mariam (Guest) on February 9, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Joseph Mallya (Guest) on January 19, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Christopher Oloo (Guest) on January 6, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nasra (Guest) on January 4, 2018

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Mwinyi (Guest) on December 25, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Anna Kibwana (Guest) on December 19, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Mwajuma (Guest) on December 12, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Rukia (Guest) on December 4, 2017

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Kassim (Guest) on October 28, 2017

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Alex Nakitare (Guest) on October 26, 2017

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on October 14, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Sumari (Guest) on October 2, 2017

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

David Chacha (Guest) on August 10, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Samuel Were (Guest) on July 18, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Nassor (Guest) on July 13, 2017

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Stephen Kangethe (Guest) on July 12, 2017

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Elizabeth Mrema (Guest) on July 8, 2017

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Victor Kimario (Guest) on May 9, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Nancy Kabura (Guest) on April 27, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Related Posts

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More
Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Kama mpezi wako akikuita MAMITO Unatakiwa umjibu hivi

Akina dada mpenzi wako akikuita MAMITO usikubali

na yeye mwite MAF... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

Haya ndiyo madhara ya kutowapeleka watoto kanisani β›ͺ

MTOTO aliibiwa yeboyebo KANISANI akawa analia sana kwa uchungu mpaka MCHUNGAJI akamwambia usilie... Read More

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Eti ni kweli hii ni sababu wanaume wana Upendo Sana?

Wanaume wana upendo kwa kweli.

Mwanaume hata akipewa kundi la wanawake 90 achague mmoja!! H... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Jinsi ya Kubana matumizi X-mass

Badala yakupika PILAU tutapika TAMBI kwenye Xmas maana tutakua tumeokoa sh.15,000/= Vitunguu swa... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Hii ndiyo maana ya matatizo

Hii ndiyo maana ya matatizo

SWALI: Nini maana ya matatizo..?

JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi t... Read More

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Kingereza sio mchezo, angalia huyu anavyojichanganya

Jamaa fulani alikuwa ame2lia beach mzungu akapita akamuliza "Are u relax ? Jamaa akawa hamuelewi... Read More

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Kichekesho cha mtalii na mbongo

Duh! Sikubali bora mbavu zituume wote!

Watalii wana dharau sana bana, Mtalii alikodi boti a... Read More