Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Hii mitoto mingine mijinga, cheki alichokifanya huyu

Featured Image

Nimeamka asubuhi nikiwa na elfu 1 tu mfukoni, nikamtuma mtoto wa jirani akaninunulie maandazi nipate kunywa chai. Baada ya muda namuona anarudi huku analamba askrimu ya AZAM kama Simba vile. Nikamuuliza maandazi yako wapi? Akanijibu eti wakati anafika yanapouzwa maandazi akagundua kuwa kapoteza hela yangu, hivyo akaanza kurudi, ila bahati nzuri wakati anarudi ili kuja kunitaarifu kuhusu kupotea kwa hela yangu, njiani akaokota elfu 1 ambayo kuna mtu alipoteza ndio akaamua kununua askrimu….kwa sasa niko polisi na mtoto yuko dispensari na mamakeπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nahida (Guest) on July 22, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Victor Kamau (Guest) on July 14, 2020

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Diana Mumbua (Guest) on July 9, 2020

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Betty Cheruiyot (Guest) on June 11, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on May 18, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Richard Mulwa (Guest) on April 30, 2020

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Alice Jebet (Guest) on April 21, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Khalifa (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Carol Nyakio (Guest) on April 4, 2020

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Joseph Njoroge (Guest) on April 3, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Patrick Mutua (Guest) on March 29, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Anna Kibwana (Guest) on February 28, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Mushi (Guest) on December 13, 2019

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Elizabeth Mrema (Guest) on November 4, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Stephen Malecela (Guest) on October 10, 2019

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Achieng (Guest) on October 6, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

David Sokoine (Guest) on September 30, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on September 29, 2019

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Joyce Nkya (Guest) on July 17, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Shukuru (Guest) on July 2, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mercy Atieno (Guest) on July 2, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Mary Kendi (Guest) on May 31, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Simon Kiprono (Guest) on May 13, 2019

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Dorothy Mwakalindile (Guest) on May 5, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on April 23, 2019

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Hellen Nduta (Guest) on April 9, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Alice Mwikali (Guest) on February 21, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on February 11, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Nancy Kabura (Guest) on January 22, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Lucy Wangui (Guest) on January 4, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Ruth Kibona (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Mwakisu (Guest) on December 14, 2018

Asante Ackyshine

Victor Mwalimu (Guest) on December 12, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Patrick Kidata (Guest) on December 7, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Latifa (Guest) on December 6, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Saidi (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Elizabeth Mrema (Guest) on October 30, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on September 14, 2018

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Francis Mtangi (Guest) on August 25, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Zakia (Guest) on August 8, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Josephine Nekesa (Guest) on August 7, 2018

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Zulekha (Guest) on August 6, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Wilson Ombati (Guest) on August 3, 2018

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Betty Kimaro (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jane Muthoni (Guest) on June 21, 2018

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Joseph Kawawa (Guest) on May 25, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Mwafirika (Guest) on April 28, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Henry Sokoine (Guest) on April 19, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Monica Nyalandu (Guest) on April 14, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Saidi (Guest) on April 6, 2018

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Peter Otieno (Guest) on March 8, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Kabura (Guest) on February 26, 2018

😊🀣πŸ”₯

Moses Kipkemboi (Guest) on February 5, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Abubakar (Guest) on January 18, 2018

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Miriam Mchome (Guest) on January 6, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Nuru (Guest) on December 30, 2017

Kama kawaida! Bado nacheka! πŸ˜„

Paul Kamau (Guest) on December 23, 2017

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Irene Akoth (Guest) on December 12, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Frank Macha (Guest) on December 6, 2017

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

James Malima (Guest) on November 15, 2017

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Kilichotokea baada ya kichaa kumfumania mke wake na mwanamme mwingine

Jay akaruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na ny... Read More
Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

Baada ya mwanamke kukataa kufungua mlango angalia kilichomkuta

MUME: Fungua mlango!

MKE: Leo sifungui! Nimechoshwa na ul... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Nilichokifanya jana baada ya kushuka kwenye basi Ubungo

Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wa... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Hii sasa kali kweli kweli! wazazi wanachofanya pale binti yao anapochelewa kuolewa

Wazazi wengine wanaandikaΒ MBWA​MKALIΒ kwenye geti lao kama binti wao ana mia... Read More

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Tofauti ya mchaga na mhaya wakipata kazi

Mchaga hata apate kazi bank bado atasema yupoΒ kibaruani.

Acha sasa mha... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Wachaga kweli kiboko: Mcheki huyu mchaga na mbuzi!!!

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kich... Read More