Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia kilichotokea baada ya dogo kupewa ada na kuitumia kubeti

Featured Image

Dogo kampigia simu baba yake;
DOGO: Baba katika zile shilingi laki mbili ulizonipa
nikalipe ada nimetumia shilingi alfu 30 kubeti
BABA : Unasema nini we mpumbavu mshenzi
mkubwa? Nimekukanya mara ngapi kuhusu kubeti?
DOGO : Lakini baba
BABA : Lakini baba nini ngoja urudi utaona
ntakachofanya.
DOGO : Nilitaka kukwambia kuwa nimeshinda
shilingi milioni 3
BABA : Ndio hayo ninayosema wewe mpumbavu
sana kwanini hukutumia laki nzima kubeti? Si
ungepata pesa nyingi zaidi? Ngoja urudi niwataarifu
ndugu zako kuhusu uulivyo na akili za kuamua
haraka mwanangu mpenzi…

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Anna Mahiga (Guest) on December 8, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Mwanais (Guest) on December 3, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Mjaka (Guest) on October 30, 2019

πŸ˜… Bado nacheka!

Patrick Mutua (Guest) on October 29, 2019

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

John Mwangi (Guest) on October 3, 2019

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Samson Tibaijuka (Guest) on October 3, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on September 25, 2019

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on September 20, 2019

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on September 13, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Wanjiku (Guest) on September 7, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Chris Okello (Guest) on August 23, 2019

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joyce Aoko (Guest) on July 28, 2019

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Martin Otieno (Guest) on July 10, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Andrew Odhiambo (Guest) on July 3, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Mwafirika (Guest) on May 14, 2019

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Daniel Obura (Guest) on May 4, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Monica Lissu (Guest) on April 7, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

James Kimani (Guest) on April 3, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Anna Mchome (Guest) on January 10, 2019

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Paul Kamau (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Stephen Mushi (Guest) on December 9, 2018

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jamal (Guest) on December 1, 2018

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Betty Akinyi (Guest) on November 11, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Vincent Mwangangi (Guest) on November 11, 2018

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Francis Mrope (Guest) on November 3, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jackson Makori (Guest) on October 27, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

John Lissu (Guest) on October 23, 2018

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sarah Karani (Guest) on October 21, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Bahati (Guest) on September 11, 2018

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Rose Waithera (Guest) on August 18, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Nassor (Guest) on August 18, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Janet Wambura (Guest) on August 14, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 5, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Joy Wacera (Guest) on August 4, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mwanaidha (Guest) on July 7, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Asha (Guest) on June 30, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Paul Kamau (Guest) on June 17, 2018

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Elizabeth Mrope (Guest) on May 30, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Isaac Kiptoo (Guest) on April 8, 2018

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Khamis (Guest) on March 27, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Mary Kendi (Guest) on March 25, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

John Lissu (Guest) on March 3, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Grace Wairimu (Guest) on March 3, 2018

Asante Ackyshine

Anna Malela (Guest) on March 3, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Lydia Mutheu (Guest) on February 18, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Edith Cherotich (Guest) on February 11, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Charles Wafula (Guest) on January 17, 2018

πŸ˜‚πŸ˜…

Mazrui (Guest) on December 11, 2017

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Maneno (Guest) on December 9, 2017

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Were (Guest) on November 21, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

John Mwangi (Guest) on September 24, 2017

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Isaac Kiptoo (Guest) on September 10, 2017

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Josephine Nduta (Guest) on September 5, 2017

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Benjamin Masanja (Guest) on July 27, 2017

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on July 22, 2017

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Saidi (Guest) on July 20, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

David Chacha (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Lucy Mahiga (Guest) on June 27, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Miriam Mchome (Guest) on June 26, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lucy Kimotho (Guest) on June 22, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Related Posts

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Kweli shilingi yaua, Huyu jamaa kapatikana, angalia anachomjibu mke wake,

Jamaa alikuwa anagombana na mkewe,hatimae akamwambia kwa ukali "Unajua nimechoka sasa, haya kusanya ... Read More
Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

Jee wajua! Maajabu ya whatsapp..

JE WAJUA?

Je wajua kwamba kuku wa kwenye Whatsapp anamzidi tembo ukubwa? πŸ“πŸ‘‰πŸ½πŸ... Read More

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Vituko vinavyoandikwa kwenye daladala

Huwa naenjoy sana kusoma yaliyoandikwa nyuma ya daladala hasa ninapokuwa kwenye foleni. Misemo ma... Read More

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

KICHEKESHO: Ukiona masikini Kachinja kuku

Ukiona masikin kachinja kuku basi kat ya kuku au yeye kuna mmoja atakua mgonjwa... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More
Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Kwa nini watu hawapendi hesabu!! Sababu hii hapa!

Sababu ni hii

AL-SHABAB
AL-QAEDA
Kwenye MATHEMATICS pia kuna kundi linaitwa

Read More
Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke anamwambia mme wake kuwa angetamani mme wake awe tajiri cheki alichojibiwa

Mke; mme wangu ungekuwa tajiri ningefurahi
Mimi; kwa nini?
Mke; ungekuta na sisi tuna g... Read More

Je, Chuoni kwako Kukoje?

Je, Chuoni kwako Kukoje?

FACT!
1.Ukiona geto lina feni, sabufa, meza ya plastic na kitanda ch sita kwa sita na Pc UJU... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Analia kilichompata huyu jamaa baada ya kubadili jinsia yake kichawi

Jamaa alimpa ujauzito mwanafunzi akashtakiwa kumbe yule jamaa ana bibi yake mtaalam wamambo yetu ... Read More

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Hii ndiyo Ladha ya bia zote usiyoijua

Ladha ya bia ya 1 hadi ya 6..

Kwa wanywaji wazuri wa bia, chupa ya kwanza 🍺 huwa hailet... Read More