Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kisa cha mzaramo na mchaga

Featured Image

MZARAMO V/S MCHAGA.
Mzaramo alitangaza anatibu magonjwa yooooooote
kwa tsh. 100,000/=
Na kama akishindwa kukutibu anakurudishia laki
yako nakukuongeza laki nyingine.
MCHAGA akaona hii fursa yakujipatia hela aiwezi mpita akaenda kutibiwa.
MZARAMO: "unaumwa nini?"
MCHAGA: "Sisikii ladha ya aina yoyote mdomoni kabisaaaa.."
MZARAMO: "sawa, toa laki kabisa.."
Mchaga akatoa.
MZARAMO akamuagiza msaidizi wake; "Naomba kikopo no.27 mpe anywe huyu.."
MCHAGA akanywa akatema faster; "Puh puu puu, Aisee huu si mkojo huu..?"
MZARAMO: "Umepona karibu tena.."
Mchaga aka-mind sana Kesho yake akarudi tena hakuamini ameliwa pesa yake.
MCHAGA: aisee nina tatizo la kumbukumbu nasahau
sanaaaaa.."
MZARAMO akamwambia "hakuna tabu, toa laki tukupe tiba..'
MCHAGA akatoa pesa akijua leo lazima afanikiwe..'
MZARAMO: "nesi naomba kikopo no.27.."
MCHAGA: "ASA CHALII ANGU HICHO SI CHA JANA CHA MKOJO HICHO AISEE..?"
MZARAMO: "UMEPONA KUMBUKUMBU UNAYO.

πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜πŸ˜

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hamida (Guest) on June 22, 2020

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 18, 2020

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Jamal (Guest) on May 10, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 10, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Samuel Omondi (Guest) on April 13, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Edwin Ndambuki (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Jacob Kiplangat (Guest) on March 31, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Selemani (Guest) on March 17, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Kimario (Guest) on February 26, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Karani (Guest) on February 12, 2020

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on January 6, 2020

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Simon Kiprono (Guest) on December 29, 2019

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Bahati (Guest) on October 26, 2019

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Charles Mrope (Guest) on October 21, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Linda Karimi (Guest) on October 1, 2019

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Esther Nyambura (Guest) on September 1, 2019

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Grace Majaliwa (Guest) on August 9, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Joseph Kawawa (Guest) on July 24, 2019

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Charles Mchome (Guest) on July 21, 2019

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Azima (Guest) on July 19, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Amina (Guest) on June 26, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

John Lissu (Guest) on May 14, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Joseph Mallya (Guest) on April 22, 2019

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Betty Kimaro (Guest) on April 22, 2019

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Catherine Naliaka (Guest) on March 27, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Diana Mallya (Guest) on March 11, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Rahma (Guest) on February 18, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Brian Karanja (Guest) on February 14, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on January 26, 2019

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Victor Kamau (Guest) on January 25, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Thomas Mwakalindile (Guest) on December 26, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Peter Tibaijuka (Guest) on November 13, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Joseph Kiwanga (Guest) on November 12, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Safiya (Guest) on October 19, 2018

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Khadija (Guest) on October 11, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Betty Akinyi (Guest) on October 11, 2018

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Mohamed (Guest) on October 6, 2018

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Simon Kiprono (Guest) on October 4, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mwanajuma (Guest) on October 1, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Sarah Achieng (Guest) on September 28, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joyce Mussa (Guest) on August 3, 2018

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Josephine Nduta (Guest) on June 26, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Latifa (Guest) on June 9, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

George Mallya (Guest) on June 4, 2018

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

John Malisa (Guest) on June 3, 2018

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Alice Mwikali (Guest) on April 27, 2018

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Wambura (Guest) on April 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on April 18, 2018

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Wangui (Guest) on March 9, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Janet Sumaye (Guest) on March 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Alice Jebet (Guest) on March 1, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Kenneth Murithi (Guest) on February 20, 2018

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Philip Nyaga (Guest) on January 28, 2018

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Nora Lowassa (Guest) on January 27, 2018

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Agnes Lowassa (Guest) on January 7, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Abdullah (Guest) on January 7, 2018

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Diana Mumbua (Guest) on November 24, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Nicholas Wanjohi (Guest) on November 6, 2017

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

George Mallya (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Amina (Guest) on July 7, 2017

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Related Posts

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakun... Read More

Hali za ndoa

Hali za ndoa

Kuna kijana alikua anajua kuwa mke wake anatoka nje ya ndoa basi akamwuliza mke, mkewe akakataa, aka... Read More
Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Huyu dogo nimsaidieje? Cheki alivyojichanganya

Nimekutana na dogo mmoja hivi hapa analia,namuliza analia nin??ananambia ''ALIPEWA MIA TANO ZIPO... Read More

Mambo ya pesa haya..

Mambo ya pesa haya..

MAMBO YA FEDHA AISEE……. Kuna jamaa alipewa shilingi 983628763600/= …acha uvivu, najua hujas... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Hii ndio maana ya Matatizo, usiombee hili likukute

Matatizo ni nini???

`Matatizo ni pale unapokuwa umefika ukweni usiku na haja kubwa ikakuban... Read More

Lugha za namba ni noma

Lugha za namba ni noma

Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. AkanijibuΒ Read More

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Huyu traffic noma, kweli ulevi mbaya

Trafik mlevi alisimamisha gari Mama akapaki pembeni akaona trafik anakuja akiwa anayumba! Alipofi... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Jamaa amkomesha boss wake

Jamaa amkomesha boss wake

Kuna jamaa alifutwa kazi…

Ikawa kila siku anaenda nyumbani kwa boss wake na kunya mlango ... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More