Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Wanaume wote ni waaminifu

Featured Image

Hii ni kwa wanaume ila mwanamke anaweza kusoma na kujifunza kuwa wanaume wote ni waaminifu.

Mwanaume mmoja alienda kukata miti kwa ajili ya mkaa, bahati mbaya panga likadondokea mtoni, akaanza kulia sana. Malaika akatokea na kumuuliza kwanini analia. Jamaa akajibu; "Panga langu limedondokea mtoni na ndilo ninalotegemea kuendeshea maisha yangu".

Malaika akazama mtoni na kuibika na panga la DHAHABU na kumuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena na kuibuka na panga la SHABA na kuuliza, ndio hili?

Jamaa: Hapana.

Malaika akazama tena mara hii akaibuka na panga la CHUMA na kuuliza ndio hili?

Jamaa: NDIYO.

Malaika akafurahishwa sana na uaminifu wake hivyo akampa mapanga yote matatu. Jamaa akafurahi sana.

Siku nyingine jamaa alikuwa anatembea na mkewe njiani ghafla mke akadondokea mtoni, jamaa akaanza kulia. Malaika akatokea na kumuuliza: Kwanini unalia?

Jamaa: Mke wangu kadondokea mtoni na nampenda sana.

Malaika akazama mtoni akaibuka na WEMA SEPETU na kuuliza; "huyu ndiye mkeo?"

Jamaa: NDIYO.

Malaika akakasirika sana na kumuuliza: kwa nini umenidanganya?

Jamaa: Nimesema ndiyo kwa sababu ningesema hapana ungezama tena na kuibuka na AUNT EZEKIEL na ningesema hapana tena ungezama na kuibuka na MKE wangu alafu ningesema ndiyo ungenipa wote watatu!

Sasa mimi maskini sina uwezo wa kuhudumia wote hao, ndio maana nikasema NDIYO kwa Wema Sepetu.

*FUNDISHO*
Wanaume huwa hatusemi uongo bila sababu na inakuwa sababu maalumu kwa faida ya wote.

WANAUME WOTE NI WAAMINIFU. Hii ndiyo kauli mbiu yetu.
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Rose Amukowa (Guest) on December 1, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 8, 2019

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nasra (Guest) on November 8, 2019

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Charles Wafula (Guest) on September 30, 2019

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Henry Sokoine (Guest) on September 27, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on September 21, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mary Kidata (Guest) on September 5, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Thomas Mtaki (Guest) on August 27, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Joseph Njoroge (Guest) on August 26, 2019

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Rahma (Guest) on August 24, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Daniel Obura (Guest) on August 6, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Lucy Kimotho (Guest) on July 12, 2019

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Patrick Mutua (Guest) on June 30, 2019

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jane Malecela (Guest) on May 13, 2019

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Nora Lowassa (Guest) on May 8, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Alex Nakitare (Guest) on April 24, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Dorothy Nkya (Guest) on April 20, 2019

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Grace Majaliwa (Guest) on April 19, 2019

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Paul Kamau (Guest) on April 9, 2019

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Michael Mboya (Guest) on April 3, 2019

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Thomas Mtaki (Guest) on March 12, 2019

πŸ€£πŸ‘πŸ‘Œ

Peter Mugendi (Guest) on March 8, 2019

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Lydia Mahiga (Guest) on March 4, 2019

πŸ˜†πŸ˜…πŸ˜‚

Elizabeth Mrema (Guest) on March 3, 2019

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ˜…πŸ‘

Benjamin Masanja (Guest) on February 27, 2019

🀣 Hii imewaka moto!

Joseph Kiwanga (Guest) on February 17, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Francis Mrope (Guest) on February 13, 2019

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Issa (Guest) on January 10, 2019

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Latifa (Guest) on December 31, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

James Malima (Guest) on December 20, 2018

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Grace Mushi (Guest) on November 26, 2018

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Alice Jebet (Guest) on November 24, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Kassim (Guest) on November 2, 2018

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Henry Mollel (Guest) on October 2, 2018

😁 Hii ni dhahabu!

Edwin Ndambuki (Guest) on August 29, 2018

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Zubeida (Guest) on July 28, 2018

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Diana Mumbua (Guest) on July 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Nchi (Guest) on July 16, 2018

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Simon Kiprono (Guest) on June 28, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Mtumwa (Guest) on May 17, 2018

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on April 7, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Henry Sokoine (Guest) on March 30, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on March 28, 2018

😁 Kicheko bora ya siku!

Diana Mumbua (Guest) on March 17, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Hawa (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

John Kamande (Guest) on February 21, 2018

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Nuru (Guest) on February 21, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

George Mallya (Guest) on February 18, 2018

Napenda vile mnaweka jokes kila siku! πŸ˜†πŸ‘

Paul Ndomba (Guest) on February 13, 2018

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Anna Mahiga (Guest) on February 2, 2018

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Jane Muthoni (Guest) on January 26, 2018

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Kimario (Guest) on January 20, 2018

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Richard Mulwa (Guest) on January 11, 2018

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Janet Sumaye (Guest) on January 2, 2018

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alex Nyamweya (Guest) on December 23, 2017

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Amir (Guest) on December 21, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Grace Majaliwa (Guest) on December 21, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

John Mushi (Guest) on December 20, 2017

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 2, 2017

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Agnes Lowassa (Guest) on November 27, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜…

Related Posts

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Ziara za kushtukiza zinachekesha sana

Mimi Nimecheka sana
πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

ZIARA ZA KUSHTUKIZAπŸ˜€πŸ... Read More

Mwizi kawezwa ki kwelii

Mwizi kawezwa ki kwelii

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid na mie niamke nam... Read More

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Hii dunia kweli haina haki, soma hii

Unapiga kilimo chako unamsomesha girlfriend anafika chuo anakutana na msomi mwenzake anarudi ana... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

Huu ndio Umuhimu wa English katika mapenzi

HUU NDO UMUHIMU WA ENGLISH KATIKA MAPENZI

jaribu kumwita mpenzi wako "my sweet potato" a... Read More

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Huyu mchungaji ni noma, cheki alichomwambia pedeshe

Mchungaji kamfuata pedeshe moja maarufu kwa kumwaga pesa kwenye kumbi za muziki; MCHUNGAJI: Kijana, ... Read More
Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Kwa hiki kilichonikuta sitadanganya tena kuanzia leo

Juzi nikitoka church nilipanda kihiace na kulikuwa na mrembo mkali hujawahi kuona,kila kijana ali... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Gari na mke nini muhimu?

Gari na mke nini muhimu?

GARI YA MILIONI 50
UNALAZA NJE…
mke wa laki sita
unalala nae ndani….
BANG... Read More

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Angalia huyu mgeni anachokifanya, wageni wengine ni hatari

Hata kama ni Mgeni this is too much. Mwenyeji: Karibu mgeni karibu ukae,utapenda chai au soda? Mgeni... Read More