Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Featured Image

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe walale tu halafu ananyata mdogo mdogo mpaka chumbani kwa binamu yake.

Siku moja umeme ulikuwa umekatika ikabidi aamue kuvua nguo kabisachumbani kwake….

Akanyata taratibua akafungua mlango akazama chumbani kwa mjomba ake bila kujua, ghafla umeme ukarudi…

MJOMBA; we mshenzi umefata nini chumbani kwangu tena uko uchi

JAMAA; nimekuja kukuaga kesho naondoka

MJOMBA; ndo uje uchi?

JAMAA; ndio kwasababu nimeshapaki kila kitu kwenye begi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Sumaya (Guest) on September 11, 2019

πŸ˜† Kali sana!

Susan Wangari (Guest) on September 4, 2019

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on September 4, 2019

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Ali (Guest) on August 22, 2019

🀣 Ninashiriki hii sasa hivi!

Nancy Kabura (Guest) on August 16, 2019

Haha, hii ni ya kuhifadhi! πŸ“Œ

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 16, 2019

Hii imenifurahisha kweli! πŸ˜†πŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 13, 2019

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Simon Kiprono (Guest) on May 10, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Moses Kipkemboi (Guest) on April 19, 2019

πŸ˜† Ninakufa hapa!

Victor Kamau (Guest) on April 8, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Sarah Achieng (Guest) on April 7, 2019

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Sekela (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜„ Kali sana!

Alice Mrema (Guest) on March 11, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Frank Macha (Guest) on March 5, 2019

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on March 1, 2019

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on February 18, 2019

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Mashaka (Guest) on January 20, 2019

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Brian Karanja (Guest) on December 22, 2018

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on December 8, 2018

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Josephine Nekesa (Guest) on October 22, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Samuel Omondi (Guest) on October 21, 2018

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Ibrahim (Guest) on October 17, 2018

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Anna Sumari (Guest) on September 29, 2018

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on September 29, 2018

πŸ˜… Bado nacheka!

Miriam Mchome (Guest) on September 28, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on September 27, 2018

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Nancy Akumu (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samuel Were (Guest) on September 3, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Edward Lowassa (Guest) on September 1, 2018

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Francis Njeru (Guest) on August 30, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Nancy Komba (Guest) on August 21, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on July 27, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Faith Kariuki (Guest) on July 23, 2018

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Chum (Guest) on July 19, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

Jane Muthoni (Guest) on July 6, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Zainab (Guest) on June 13, 2018

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Francis Njeru (Guest) on June 8, 2018

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

Nyota (Guest) on May 30, 2018

Hii kichekesho imenifurahisha sanaβ€”imebamba! 🀣

Nicholas Wanjohi (Guest) on April 21, 2018

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Mwanaisha (Guest) on April 21, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on April 11, 2018

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

David Sokoine (Guest) on April 10, 2018

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Rose Kiwanga (Guest) on March 30, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Sarah Mbise (Guest) on March 29, 2018

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Rahma (Guest) on March 28, 2018

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Margaret Mahiga (Guest) on March 22, 2018

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Grace Wairimu (Guest) on March 8, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Kijakazi (Guest) on February 9, 2018

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Lucy Mushi (Guest) on January 11, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Stephen Kangethe (Guest) on January 9, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Victor Malima (Guest) on November 29, 2017

Hii ni ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Jafari (Guest) on November 4, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Alice Wanjiru (Guest) on November 3, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Wanyama (Guest) on November 3, 2017

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Nora Kidata (Guest) on October 14, 2017

😊🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on October 9, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 6, 2017

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Fatuma (Guest) on August 30, 2017

🀣 Sikutarajia hiyo!

Charles Wafula (Guest) on July 26, 2017

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Umi (Guest) on June 22, 2017

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Related Posts

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo alivyomchomea dada wa kazi kwa mama yake kuhusu baba

Dogo: mama hivi malaika si wanapaa? Mama: ndiyo wanapaa, kwanini umeniuliza hivyo? Dogo: nimesikia b... Read More
Upendo wa kweli ni nini?

Upendo wa kweli ni nini?

*Upendo wa kweli ni nini?*
*πŸ‘‰Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake... Read More

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Kilichompata sista duu bishoo wakati akijidai kununua pete

Mwanamke mmoja aliingia duka la vito vya thamani, akaona pete moja ya dhahabu nzuri sana amabayo ili... Read More
Hapo sasa akili itakuja

Hapo sasa akili itakuja

Pale unapo gundua kuwa yule ulie mtukana kwenye bajaji ndio boss anaeenda kukufanyia inte... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Huyu mtoto kaongea point kweli, angalia anachomwambia baba yake

Mtoto alimwuuliza baba yake,
Mtoto: Baba unaweza kumwachia hilo gari lako house boy/girl aka... Read More

Tabia za wachepukaji

Tabia za wachepukaji

WACHEPUKAJI WENGI WANATABIA HIZI

1.Hachezi mbali na simu yake kila wakati.
2.Inbox na ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Angalia nilichomfanyia huyu mwizi

Et jana usiku mwiz kavunja mlango kwangu
akaanza kutafuta kitu kila kona ikabid
na mie ... Read More

Tabia za Kimama kwa wanaume

Tabia za Kimama kwa wanaume

1, mwanaume kuoga haraka haraka ili uwahi kuangalia igizo, huo ni UMAMA..πŸ˜‚

2, mwanaume k... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Cheki huyu mzee alichomfanyia muuzaji wa pharmacy

Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?β... Read More
Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

Mume mgonjwa kazua mpya baada ya kuruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospitali alipokuwa kalazwa

John aliruhusiwa kwenda nyumbani kutoka hospital ya Vichaa, akapakiwa ktk ambulance hadi karibu na n... Read More