Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Madhara ya kubeba nauli kamili tuu. Cheki kilichonipata

Featured Image

Kubeba nauli kamili nayo ni shida
Yani nimepanda daladala
Kondakta mmoja akaingia kwenye Gari amevaa suti za blue za daladala na miwani Kisha akakusanya pesa Gari Zima alafu akakaa siti ya nyuma baade Kondakta mwingine akaanza kukusanya pesa watu wakalalamika na kusema tayari tumelipa na kumuonyesha tuliemlipa Kondakta akacheka na kusema huyo tuliemlipa ni kipofu na alikuwa anaomba msaada..!!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Elizabeth Malima (Guest) on May 28, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Betty Kimaro (Guest) on May 21, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Joseph Kiwanga (Guest) on April 30, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Rabia (Guest) on April 22, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka na hii!

Alice Wanjiru (Guest) on April 12, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Bahati (Guest) on March 9, 2020

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Violet Mumo (Guest) on March 1, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on February 26, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on February 20, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Samson Mahiga (Guest) on February 9, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

John Malisa (Guest) on January 23, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Nassar (Guest) on January 5, 2020

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

James Kawawa (Guest) on December 2, 2019

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Dorothy Majaliwa (Guest) on November 20, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

Shani (Guest) on November 5, 2019

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Samson Tibaijuka (Guest) on November 3, 2019

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Peter Mwambui (Guest) on October 25, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Stephen Mushi (Guest) on October 9, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Nancy Kabura (Guest) on September 29, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Emily Chepngeno (Guest) on September 14, 2019

🀣 Nalia kwa kicheko kweli!

Lucy Mahiga (Guest) on August 8, 2019

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Edith Cherotich (Guest) on July 29, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on July 28, 2019

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Daniel Obura (Guest) on July 10, 2019

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Mariam Hassan (Guest) on July 8, 2019

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anna Malela (Guest) on July 7, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Tabitha Okumu (Guest) on June 16, 2019

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Leila (Guest) on May 8, 2019

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Francis Mrope (Guest) on May 6, 2019

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Margaret Anyango (Guest) on May 3, 2019

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Shamsa (Guest) on April 30, 2019

Nimependa hii! Endelea kuzileta! 😁

Mariam Kawawa (Guest) on April 16, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Stephen Malecela (Guest) on April 9, 2019

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Victor Mwalimu (Guest) on March 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Francis Mrope (Guest) on February 1, 2019

Ninashiriki hii na marafiki zangu mara moja! πŸ˜†

Samuel Omondi (Guest) on January 19, 2019

🀣πŸ”₯😊

Henry Mollel (Guest) on January 11, 2019

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Edward Lowassa (Guest) on January 10, 2019

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Nyerere (Guest) on January 4, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Frank Macha (Guest) on November 21, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Victor Kimario (Guest) on September 29, 2018

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Joseph Kawawa (Guest) on September 22, 2018

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Samson Tibaijuka (Guest) on September 21, 2018

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Dorothy Nkya (Guest) on September 5, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Elizabeth Mtei (Guest) on August 25, 2018

Nimefurahia sana hii joke! πŸ˜…πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on August 9, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on July 16, 2018

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 24, 2018

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Christopher Oloo (Guest) on April 17, 2018

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on April 5, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Linda Karimi (Guest) on March 26, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Betty Kimaro (Guest) on March 11, 2018

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Andrew Odhiambo (Guest) on March 4, 2018

πŸ˜„ Kali sana!

George Mallya (Guest) on February 9, 2018

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Esther Cheruiyot (Guest) on January 1, 2018

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mwakisu (Guest) on December 31, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Esther Nyambura (Guest) on December 6, 2017

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Rose Amukowa (Guest) on November 25, 2017

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Nicholas Wanjohi (Guest) on October 20, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Ruth Kibona (Guest) on October 16, 2017

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni noma, Angalia wanachokifanyaga wakimwona mwanamke

Wanaume ni viumbe WASTAARABU sana..Mdada anapokua kavaa BIKINI na BRA tu, 98% ya mwili wake unak... Read More

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Cheki huyu kiherehere alivyojibiwa

Za asubuhi?

Nzur sjui huko?

Huku kwema tuu

VP si ulimaliza chuo ww?

Ndio ... Read More

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Tatizo la kukuta nywele kwenye chakula

Hapa ni shida

KUKUTA NYWELE KWENYE CHAKULA SIO TATIZO,TATIZO NI KUWAZA ITAKUWA IMET... Read More

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

Kweli mitandao imeharibu watu, angalia huyu anachokisema sasa

πŸ˜‚πŸ˜‚ kweli nimeamin mitandao inahribu watu

Leo kuna jamaa kamuona Dada akipita barabara... Read More

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google, Facebook, WhatsApp, Internet na Umeme nani zaidi?

Google alisema : mimi nina kila kitu

Facebook ikasema : mimi najua watu wote

Wha... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Haya mapenzi jamani! Umewah kumpenda kwa kihivi??

Sijui Kama ushawai fall in love ile haswaa..

yani unampenda mtoto hadi akikupigia ile sauti... Read More

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Huyu mchaga kazidi sasa, angalia anavyomfanya huyu mbuzi

Mchaga alinunua mbuzi akamwambia mpishi Nyama nusu ipike pilau na ingine itie kwenye friza. Kichwa f... Read More
Biashara ambayo imefeli

Biashara ambayo imefeli

*TEACHER*: _nielezee biashara ambayo imefeli kutokana na uzembe
*STUDENT*: Changudoa akipata... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Mabinti wengine kwa kupenda hela! cheki huyu anachokifanya

Phone call gal: hellow Boy: sweety mambo vipi? Girl: poa Boy: utakuwa free weekend? nilikuwa nataka ... Read More
Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Hii ya mamba na kiboko kali, Wewe unaonaje?

Eti kati ya MAMBA na KIBOKO nani kiboko???😜😜😜😜... Read More