Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Huyu mke ni shida!

Featured Image

MUME: "Unajua mi unanishangaza sana, kila siku nakusikia mara useme TV yangu, gari yangu, chumbani kwangu, mara hoo watoto wangu. Sisi ni mke na mume, kila kitu ni chetu. Jirekebishe bwana".πŸ‘΄πŸ˜ŽπŸ˜ŽπŸ˜’
MKE: Yuko kimya anaendelea na shughuli zake za kupekua kabatini kama hasikii, na hakumjibu kitu mumewe.πŸ‘΅πŸ˜·
MUME: Akamuuliza kwa hamaki,"Sasa hapo unatafuta nini?".πŸ‘΄πŸ˜‘
MKE: "Sidiria yetu!!"πŸ‘™πŸ’
MUME: (kamfungia kabatini alafu kamwambia. "nipo chumbani , ")πŸ‘΄πŸ˜·πŸ˜·
πŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒπŸ’ƒ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Hellen Nduta (Guest) on August 29, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Joseph Kitine (Guest) on August 27, 2019

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Grace Majaliwa (Guest) on August 8, 2019

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Agnes Sumaye (Guest) on July 15, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on June 11, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Chum (Guest) on May 11, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Omari (Guest) on April 25, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Faiza (Guest) on April 4, 2019

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

Tabitha Okumu (Guest) on March 9, 2019

πŸ˜‚ Hii kichekesho imenifurahisha siku nzima!

Lucy Mushi (Guest) on March 8, 2019

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Yusuf (Guest) on March 7, 2019

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Baridi (Guest) on January 15, 2019

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Jane Muthui (Guest) on January 12, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Vincent Mwangangi (Guest) on January 8, 2019

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Simon Kiprono (Guest) on December 26, 2018

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Nora Kidata (Guest) on December 22, 2018

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Janet Mbithe (Guest) on December 8, 2018

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on December 5, 2018

πŸ˜‚πŸ˜†

Joy Wacera (Guest) on November 12, 2018

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Philip Nyaga (Guest) on November 10, 2018

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 31, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Raha (Guest) on September 4, 2018

πŸ˜† Kali sana!

Ruth Kibona (Guest) on August 26, 2018

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Michael Onyango (Guest) on August 26, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mercy Atieno (Guest) on August 16, 2018

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Lucy Kimotho (Guest) on July 9, 2018

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Francis Njeru (Guest) on June 29, 2018

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Isaac Kiptoo (Guest) on June 20, 2018

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthoni (Guest) on June 8, 2018

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Sarafina (Guest) on May 20, 2018

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Sarah Mbise (Guest) on May 13, 2018

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

George Tenga (Guest) on April 30, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Rose Lowassa (Guest) on April 20, 2018

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Yusra (Guest) on April 15, 2018

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Majid (Guest) on April 8, 2018

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Nora Kidata (Guest) on March 31, 2018

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Agnes Sumaye (Guest) on March 27, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Peter Tibaijuka (Guest) on March 14, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on March 10, 2018

πŸ˜‚ Kali sana!

Isaac Kiptoo (Guest) on February 15, 2018

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Sarah Achieng (Guest) on January 5, 2018

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Irene Akoth (Guest) on December 30, 2017

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edwin Ndambuki (Guest) on December 22, 2017

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Josephine Nduta (Guest) on December 18, 2017

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Moses Mwita (Guest) on November 24, 2017

Brilliant! Muda wake ulikuwa kamili! ⏰

Charles Mchome (Guest) on November 16, 2017

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Jane Muthoni (Guest) on November 13, 2017

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Peter Mugendi (Guest) on November 8, 2017

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

John Lissu (Guest) on October 20, 2017

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Michael Mboya (Guest) on October 15, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Sarah Karani (Guest) on October 10, 2017

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hicho!

Janet Mbithe (Guest) on September 17, 2017

Nimecheka hadi nimepata furaha! πŸ˜ŠπŸ˜†

Kahina (Guest) on August 23, 2017

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Hawa (Guest) on August 23, 2017

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Margaret Anyango (Guest) on August 9, 2017

πŸ˜‚ Nimeipenda kabisa hii!

Richard Mulwa (Guest) on July 15, 2017

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Athumani (Guest) on July 6, 2017

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Alice Wanjiru (Guest) on July 1, 2017

πŸ˜‚ Ninaihifadhi hii!

Charles Mrope (Guest) on May 20, 2017

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Violet Mumo (Guest) on May 16, 2017

😁 Kicheko bora ya siku!

Related Posts

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

MAJIBU YA MAKONDA WA DALADALA ZETU GONGOLAMBOTO HUKU

1. wewe Dada unaturingia nini na matiti yako mawili , mbwa pia ana matiti nane na haturingii eboo !!... Read More
Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

Kali za leo: Misemo ya kuchekesha na kuvunja mbavu

1. Ati wee ni m-black mpaka ukiingia kwa dinga(gari), dirisha zinakuwa tinted!

2. Kwenu kuc... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Eti hii ni kweli kwa mwanaume anayempa simu mkewe

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Madenge hakosi visa. Soma hii

Madenge hakosi visa. Soma hii

MADENGE
HAKOSI
VISA


baada ya kumaliza form four baba akamwambia achague zaw... Read More

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

Njia 3 rahisi za kuondoa kitambi

JE, una KITAMBI na unataka kukiondoa?

FANYA HAYA;

1. Kopa mkopo mkubwa benkiRead More

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Ulevi noma! Angalia huyu mlevi alichomfanyia huyu jamaa usiku! Ungekua wewe ungefanyaje?

Jamaa alikuwa amelaa na mkewe saa tisa ya usiku akastuka baada ya kusikia mtu anabisha hodi kwenda k... Read More
Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

Duh! Huyu kazidi sasa

Duh! Huyu kazidi sasa

Kuna jamaa kapita hapa kaniuliza et mbona umekunja sura nikamjibu nataka niweke kwenye begiπŸ˜‚π... Read More

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo, Angalia kilichowakuta hawa

Bangi si mchezo! Jamaa kaikoleza si ikamtuma avue nguo! Akavua nguo zote akaenda kwenye kioo, kujita... Read More