Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Angalia huyu jamaa alivyowafanyia watu uhuni bar

Featured Image

Jamaa kaingia Bar;
Jamaa: Muhudumu, nipe kinywaji na mpe kila mtu humu ndani kinywaji, maana wakati napata kinywaji lazima kila mtu apate kinywaji. Haraka sana muhudumu akagawa vinywaji,

Jamaa: Muhudumu nipe supu na kila mtu humu ndani mpe supu maana ninapokunywa supu kila mtu lazima anywe supu. Watu wakapewa supu tena safari hii wakapiga makofi.
Jamaa: Muhudumu nipe bili, na kila mtu humu ndani mpe bili maana wakati nalipa bili yangu kila mtu lazima alipe yake. Zogo lilianzia hapo…….

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Akinyi (Guest) on April 11, 2020

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mercy Atieno (Guest) on April 2, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Joy Wacera (Guest) on March 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Thomas Mwakalindile (Guest) on March 17, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Isaac Kiptoo (Guest) on March 16, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mrope (Guest) on March 1, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Ali (Guest) on February 26, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on February 25, 2020

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Ruth Mtangi (Guest) on February 2, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Samuel Omondi (Guest) on January 30, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Frank Sokoine (Guest) on January 18, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Richard Mulwa (Guest) on January 5, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Lucy Kimotho (Guest) on January 4, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Mercy Atieno (Guest) on December 29, 2019

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Tabu (Guest) on December 22, 2019

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Lydia Wanyama (Guest) on September 28, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ‘

Ramadhan (Guest) on September 7, 2019

Haha, hii ni kicheko bora zaidi nilichopata wiki hii! 😁

Charles Wafula (Guest) on August 22, 2019

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Joyce Nkya (Guest) on August 18, 2019

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on July 28, 2019

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Jaffar (Guest) on June 7, 2019

Hii kichekesho ni ya kuhifadhi bila shaka! 😁

Ann Wambui (Guest) on April 21, 2019

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Andrew Odhiambo (Guest) on March 18, 2019

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Mashaka (Guest) on March 7, 2019

🀣 Sikutarajia hiyo!

Thomas Mwakalindile (Guest) on February 18, 2019

Kweli mnajua kuchekesha watu! πŸ€£πŸ˜‚

David Kawawa (Guest) on February 12, 2019

😁 Hakika hii ni kichekesho changu kipya!

Mhina (Guest) on January 30, 2019

Hii kichekesho ilikuwa bora! Nimeipenda! 🎯

Anna Mahiga (Guest) on January 23, 2019

πŸ€£πŸ˜„πŸ˜Š

Vincent Mwangangi (Guest) on January 11, 2019

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Charles Mboje (Guest) on January 5, 2019

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Edward Lowassa (Guest) on December 28, 2018

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on December 25, 2018

Napenda jinsi mnavyofikiria! πŸ€”πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on December 10, 2018

πŸ˜† Bado nacheka!

Alex Nakitare (Guest) on December 7, 2018

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

Victor Sokoine (Guest) on October 10, 2018

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Peter Mwambui (Guest) on September 17, 2018

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Lucy Mahiga (Guest) on September 9, 2018

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Frank Sokoine (Guest) on September 2, 2018

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Jane Malecela (Guest) on August 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Diana Mumbua (Guest) on August 5, 2018

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Samson Tibaijuka (Guest) on July 20, 2018

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nakitare (Guest) on July 5, 2018

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Sarafina (Guest) on June 11, 2018

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Neema (Guest) on May 31, 2018

🀣 Hii imewaka moto!

George Tenga (Guest) on May 22, 2018

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ˜‚

Jamila (Guest) on May 9, 2018

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mwanaisha (Guest) on April 7, 2018

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Samuel Omondi (Guest) on April 6, 2018

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Victor Sokoine (Guest) on March 31, 2018

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Frank Sokoine (Guest) on March 14, 2018

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Esther Cheruiyot (Guest) on March 10, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚

Joseph Kitine (Guest) on February 9, 2018

🀣 Sikutarajia hiyo!

Ndoto (Guest) on February 6, 2018

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Dorothy Nkya (Guest) on January 26, 2018

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Stephen Mushi (Guest) on January 20, 2018

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Alice Mwikali (Guest) on January 14, 2018

πŸ€£πŸ€£πŸ‘πŸ˜†

Josephine Nekesa (Guest) on December 1, 2017

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Joseph Kitine (Guest) on November 28, 2017

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Rose Waithera (Guest) on November 10, 2017

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Joyce Mussa (Guest) on November 7, 2017

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

Mzunguko wa elimu kiafrikaafrika

01.πŸ‘‰ Wale wanafunzi walioongoza Mashuleni, wanaenda kwenye Engineering na Medical school.

<... Read More
Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Wewe ni mza... Read More

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Huyu mama mkwe kazidi sasa

Eti kuna mkaka alitembelewa na mama yake mzazi. Wakiwa sebuleni yeye, mama na mke wake, mke wake ... Read More

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

Mambo makuu matatu waafrika tusiyoyajua

NIMEKAA NIKAWAZA πŸ™‡πŸΌ KUWA KUNA MAMBO KAMA MATATU HIVIπŸ‘ŒπŸ» WAAFRIKA HATUYAJUI πŸ™‰ KAMA TUNG... Read More
Cheka kidogo na wewe hapa

Cheka kidogo na wewe hapa

*Kama mtaani kwenu mambo yamekuwa tait , usikimbilie mtaani kwetu kwani huku yamekuwa dera kabisa... Read More

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Kweli tamaa ni mbaya, mke wa mtu kaponzwa na tamaa, ndio basi tena

Jamaa kaenda kwa mke wa rafiki yake:
JAMAA: Shem nakupenda!
MKE: Hebu... Read More

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

Angalia mchezo wa kutuma message mara zikubali mara zikatae.. Lilishakukuta hili???

GARLFREND»»hellow sweetheart

BOYFREND»»hellow darling(SENDING FAILED)

GARLFRENDΒ»... Read More

Hii sasa ni kali

Hii sasa ni kali

Siku izi kujuana kumezidi hata ukienda msibani kama hauna connection hauli msosi

πŸ˜‚πŸ˜... Read More

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

Sifa 10 za mwanaume ambaye kila binti anayetaka aolewe angependa aolewe naye!!

1. Awe na pesa nyingi

2.Siyo lazima awe mzuri wa sura

3. Ajenge ukweni

4.Awe mp... Read More

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

Angalia huyu mtoto anachomjibu baba yake baada ya kutoka kwenye mtihani

BABA: mwanangu kwenye huu mtihani uliofanya natumaini utafanya vizuri.
DOGO: ndio baba nitap... Read More

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

Mambao ya saluni ni shida, cheki kilichotokea kwa huyu

DADA alienda Salon wakati anasukwa akaingia
MKAKA mtanashati,
DADA akaamua kujaribu bah... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More