Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Featured Image

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe, "hivyo utajifanya Sokwe na tutakupa ngozi utavaa"

Jamaa siku ya kwanza akavaa, walipokuja watalii mambo yalienda vizuri, Siku iliyofuata Banda lake liliwekwa juu ya Banda la Simba, Jamaa ktk kuongeza mbwembwe akawa anarukaruka, kwa bahati mbaya si akaangukia ndani ya Banda la Simba, akawa anapiga kelele "Mama nakufaaa!"

Mara yule Simba akamwambia "Acha Ufala ww kelele za nini sasa, mimi mwenyewe Binadamu! rudi kwenye Banda lako kabla watalii hawajaja watatushtukia! chezea ajira ww"………!!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»πŸ‘†πŸ»

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nancy Kawawa (Guest) on December 20, 2021

🀣 Kichekesho bora kabisa!

Janet Wambura (Guest) on December 20, 2021

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Betty Cheruiyot (Guest) on December 5, 2021

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Sofia (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Anthony Kariuki (Guest) on November 30, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Paul Ndomba (Guest) on November 25, 2021

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Paul Ndomba (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜† Hii imenigonga kweli!

Faith Kariuki (Guest) on October 26, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Edward Lowassa (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜„ Umeshinda mtandao leo!

Peter Mwambui (Guest) on October 2, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Nancy Akumu (Guest) on September 25, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Vincent Mwangangi (Guest) on September 10, 2021

Mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜‚

Victor Kamau (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Mhina (Guest) on August 21, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Mwanajuma (Guest) on August 18, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Chiku (Guest) on August 14, 2021

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Rose Kiwanga (Guest) on August 11, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on July 18, 2021

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Baridi (Guest) on July 5, 2021

πŸ˜‚ Nacheka hadi nalia!

Jackson Makori (Guest) on July 4, 2021

Umeimaliza kabisa, kichekesho gani! πŸ˜„

Sarafina (Guest) on May 31, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Sultan (Guest) on May 15, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Joyce Mussa (Guest) on May 9, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Victor Malima (Guest) on April 9, 2021

Nimefurahia hii sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Agnes Lowassa (Guest) on March 31, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Rose Lowassa (Guest) on March 28, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Monica Lissu (Guest) on March 6, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Diana Mumbua (Guest) on March 1, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Edward Lowassa (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Margaret Anyango (Guest) on February 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on February 12, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Dorothy Nkya (Guest) on February 10, 2021

Hii joke imenikumbusha enzi zile! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jane Muthui (Guest) on January 19, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Betty Akinyi (Guest) on January 15, 2021

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Husna (Guest) on January 7, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Agnes Njeri (Guest) on January 6, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜‚πŸ˜…

Joy Wacera (Guest) on November 17, 2020

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Andrew Odhiambo (Guest) on November 2, 2020

πŸ˜‚πŸ€£

Alex Nakitare (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Mwakalindile (Guest) on October 23, 2020

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Janet Mwikali (Guest) on October 11, 2020

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

John Lissu (Guest) on October 10, 2020

😊🀣πŸ”₯

Anna Mahiga (Guest) on October 9, 2020

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Mary Mrope (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Anthony Kariuki (Guest) on October 1, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Issack (Guest) on October 1, 2020

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Irene Makena (Guest) on September 17, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Rose Amukowa (Guest) on September 16, 2020

Hii ni ya kufurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on September 10, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Charles Mchome (Guest) on September 3, 2020

Hii kichekesho imebadilisha kabisa hali yangu! πŸ˜ƒ

John Lissu (Guest) on July 24, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Mwajabu (Guest) on July 23, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

David Ochieng (Guest) on June 28, 2020

Hii imenigonga vizuri, punchline gani! πŸ˜†

Salum (Guest) on June 27, 2020

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Isaac Kiptoo (Guest) on May 28, 2020

Hii imeniboresha wakati wangu wa mapumziko! β˜•πŸ˜†

Edwin Ndambuki (Guest) on April 20, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kitine (Guest) on March 18, 2020

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Zakia (Guest) on March 10, 2020

πŸ˜† Bado nacheka!

Anthony Kariuki (Guest) on March 1, 2020

Hii imenikumbusha enzi zile! πŸ˜…πŸ˜‚

Related Posts

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

Kilichotokea baada ya polisi wa kibongo kukutana na mwizi mzungu

POLISI KAKAMATA MZUNGU 'yestaday I saw u at ze maize shop..(jana nilikuona dukani kwa muhindi) when ... Read More
Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Wanaume ni noma, Angalia huyu alivyomdanganya huyu πŸ‘§ girlfriend wake

Jamaa kamdanganya girlfriend wake kuwa anasomea HOTEL MANAGEMENT. Siku huyo girlfriend akamkuta ... Read More

Mpenzi Akikuita Mamito, Mjibu Hivi

```html

Responding to Pet Names: A Guide to Healthy Relationships

Navigating the landsc... Read More

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Angalia Kiingereza kilivyoniponza

Shikamoo kingereza..!

Baada ya kufika Kempiski nikaona menu imeandikwa:

Saute... Read More

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Nilichokifanya baada ya kualikwa na mchumba wangu kwao

Mchumba wangu amenialika kwao nikawaone wazazi wake lakini akaniambia nisien... Read More

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Cheka kidogo hapa. Huyu Chizi Kachizika Kweli

Mvaa milegezo alizidiwa na pombe akaenda kulala dampo,

Chizi mwingne naye akaenda hukohuko,... Read More

Mcheki Chizi na daktari

Mcheki Chizi na daktari

Tafakari na ujumbe huuuu!!!…

DAKTARI :- Unajisikiaje?

CHIZI:-Kila siku naota nyani ... Read More

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Angalia nilichomfanyia huyu dereva sasa

Tulikua kwa basi tunaelekea arusha,ile namcheki dereva kumbe ni best yangu na basi ilikua... Read More

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Angalia wadada walivyoumbuka kwenye hii test

Ticha katangaza test , Akatoa Masharti; Ukiandika jibu hamna kufuta au kukata.

Swali la kwa... Read More

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza kinashida kweli, Angalia alichokisema huyu mwalimu

Kiingereza shidaaaa……!

Mwalimu wa chakula alipokuwa anaongea na wapishi akiwaeleza maha... Read More

Usichokijua kuhusu shamba lako

Usichokijua kuhusu shamba lako

Je wajua?.. Shamba lako likipatikana na dhahabu ni mali ya serikali..ila likipatikana na... Read More

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

Kauli 10 mbaya za walimu darasani, unakumbuka ipi hapa?

1:Mkimaliza kuongea niambieni niendelee kufundisha

2:Baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'o... Read More