Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Kamande (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwanahawa (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 11, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 2, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on September 23, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 3, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwachumu (Guest) on July 26, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Mkumbo (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on June 25, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on May 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nahida (Guest) on May 5, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Minja (Guest) on April 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 4, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on March 21, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on March 9, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nancy Komba (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zawadi (Guest) on February 16, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Mwita (Guest) on January 30, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 21, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on December 31, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 22, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 17, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rose Mwinuka (Guest) on December 14, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rashid (Guest) on December 5, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 30, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on November 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rahim (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Josephine Nduta (Guest) on July 14, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on June 26, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on May 7, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on April 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mchuma (Guest) on April 1, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 27, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Tambwe (Guest) on March 26, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 23, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mashaka (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Shamsa (Guest) on February 28, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Malecela (Guest) on January 10, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Akumu (Guest) on January 8, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Maimuna (Guest) on August 26, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Hapo sasa patamu, cheki jamaa alivyowezwa na huyu dogo

Mfugaji mmoja alikwenda kwa mfugaji mwenzake (ambae pia ni bwana mifugo wa eneo lao) asubuhi moja... Read More

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Ingekua wewe ndio baba au mama ungefanjaje?

Baba na mama baada ya kurudi safari pamoja wakakuta BARUA iko mezani SEBULENI ikisema…. "Baba n... Read More

Duh. mjamzito ana kazi

Duh. mjamzito ana kazi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ukimuona mjamzito katema mate ujue mtoto kajamba

... Read More
Maisha ya kijijini hadi raha!!

Maisha ya kijijini hadi raha!!

Jamaa alimfumania mtu anazini na mkewe,

Akamtoza Faini ya sh 5000 tu,yule mtu akatoa 10000.... Read More

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake cheki kilichomkuta

Jamaa alikuwa na tabia ya kutembea na binamu yake….

Alikuwa anasubiri mjomba na mkewe wal... Read More

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Kilichotokea baada ya mzungu na mbongo kukaa siti moja, bongo wasanii wengi

Mzungu akamdharau sana Mbongo nakujiona anajua kila kitu duniani!, Akamwambia Mbongo waulizane maswa... Read More
Cheki tulichokifanya jana

Cheki tulichokifanya jana

JANA APA HOME

JENERETA LILIWASHWA

ACHA TUHANGAIKE KULIKUNA

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚... Read More

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Angalia huyu mwalimu alichokifanya

Mwalimu aliingia darasani akiwa amechoka kinoma
akawambia wanafunzi.

'leo tutajifunza ... Read More

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

Maajabu ya wananchi wa Tanzania, Je, wajua hili?

JE WAJUA TANZANIA NI NCHI PEKEE AMBAYO WATU WANAPOANZA KUCHAT huanza kwa kiingereza 'morning' na... Read More

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Hawa ndio wanaume wanaoweza kushinda vishawishi

Wanaume wenye kushinda vishawishi ni;

Wanaume ambao mnaweza kula wali hadi mwisho bila kugu... Read More

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Angalia ndoto nyingine zilivyo na Majanga

Ndoto zingine bwana usiombe zikupate

Mimi usiku wa kuamkia Leo nikiwa nimelala nimeota naen... Read More

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

KICHEKESHO: Ajira ngumu!! Cheki hawa walivyoamua kujiajiri

Jamaa mmoja alienda kuomba kazi Mbuga ya Wanyama, akaambiwa nafasi ya Kazi ipo ila hakuna Sokwe,... Read More