Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Nani Mkali Hapa kati ya DEMU na MSHIKAJI?

Featured Image

"MAENEO FLANI ya KISHUA"

-Mshikaji kamwona demu mkali
anakatiza kitaa akamkubali akaamua
amfuate amtemee cheche

MSHIKAJI- mambo dada?

DEMU- pouwa

MSHIKAJI-
umependezaa!!!

DEMU- asante.

MSHIKAJI- unaweza ukanisaidia
namba
yako ya simu……..
maana duh
nmekukubali
kinyama.

Demu baada ya kuambiwa vile
akazama kwenye pochi lake akatoa
noti ya
sh.10000 akaandika namba yake
kwenye
noti akampa mshikaji.

Mshikaji kapokea ile noti kachana
sehem
iliyoandikwa namba halafu
kamrudishia
Demu noti yake..!!!

NANI ANA DHARAU
NA NANI JEURI..
DEMU AU MSHIKAJI??!

AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

John Kamande (Guest) on January 29, 2022

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Mwanahawa (Guest) on January 11, 2022

πŸ˜‚ Siwezi kusubiri kushiriki hii!

Diana Mallya (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Joseph Kitine (Guest) on November 11, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Catherine Mkumbo (Guest) on October 2, 2021

Umesema kweli! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Thomas Mtaki (Guest) on September 23, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Janet Mbithe (Guest) on September 11, 2021

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Mjaka (Guest) on September 6, 2021

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Shamim (Guest) on September 3, 2021

🀣 Hii imenigonga vizuri!

Mwachumu (Guest) on July 26, 2021

😁 Imeongezwa kwenye vipendwa!

Catherine Mkumbo (Guest) on July 18, 2021

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Joseph Kitine (Guest) on July 9, 2021

πŸ˜„πŸ˜…πŸ‘πŸ˜‚

Charles Mrope (Guest) on June 25, 2021

Hii ni kichekesho kali sana, ninashiriki na kila mtu! πŸ˜‚

Alice Mrema (Guest) on June 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜‚πŸ˜…

Rose Lowassa (Guest) on May 24, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Dorothy Majaliwa (Guest) on May 23, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Nahida (Guest) on May 5, 2021

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Grace Minja (Guest) on April 7, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Kijakazi (Guest) on April 4, 2021

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Patrick Kidata (Guest) on April 4, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Grace Majaliwa (Guest) on March 21, 2021

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Lucy Mushi (Guest) on March 9, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Victor Mwalimu (Guest) on March 1, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Nancy Komba (Guest) on February 24, 2021

πŸ˜… Ilibidi nishiriki hii na kila mtu!

Zawadi (Guest) on February 16, 2021

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Moses Mwita (Guest) on January 30, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

David Ochieng (Guest) on January 21, 2021

Nimefurahia sana hii! πŸ˜…πŸ˜Š

Rose Mwinuka (Guest) on December 31, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Victor Sokoine (Guest) on December 22, 2020

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Vincent Mwangangi (Guest) on December 17, 2020

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Rose Mwinuka (Guest) on December 14, 2020

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Rashid (Guest) on December 5, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Lucy Mahiga (Guest) on November 30, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on November 3, 2020

Hii ni kali sana! πŸ˜‚πŸ€£

Nora Lowassa (Guest) on October 30, 2020

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

John Lissu (Guest) on October 3, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Hellen Nduta (Guest) on September 20, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Rahim (Guest) on July 25, 2020

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Josephine Nduta (Guest) on July 14, 2020

Napenda jokes zenu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Omar (Guest) on June 26, 2020

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Mariam Hassan (Guest) on May 7, 2020

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Hamida (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Joy Wacera (Guest) on April 1, 2020

Hii ni ya kufurahisha! πŸ˜„πŸ˜…

Mchuma (Guest) on April 1, 2020

Hii ni kali kabisa! Siwezi kushiba! πŸ˜‚

Daniel Obura (Guest) on April 1, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ŠπŸ˜…

Anna Mchome (Guest) on March 27, 2020

Hii imenikuna sana! πŸ˜†πŸ˜…

Tambwe (Guest) on March 26, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Grace Mligo (Guest) on March 23, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Mashaka (Guest) on March 13, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Shamsa (Guest) on February 28, 2020

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Jane Malecela (Guest) on January 10, 2020

πŸ˜† Kali sana!

Nancy Akumu (Guest) on January 8, 2020

Hizi jokes ni za ukweli! πŸ˜†πŸ‘

Vincent Mwangangi (Guest) on January 3, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ€£

Sarah Mbise (Guest) on December 25, 2019

πŸ˜‚πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on October 4, 2019

πŸ˜‚ Hii ni ya kuhifadhi!

Alice Mwikali (Guest) on October 4, 2019

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on September 19, 2019

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Michael Onyango (Guest) on September 17, 2019

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Maimuna (Guest) on August 26, 2019

Nitaeleza hii kwa marafiki zangu bila shaka! πŸ˜„

Dorothy Mwakalindile (Guest) on August 19, 2019

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Related Posts

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Jinsi Mapenzi yanavyoweza kukupa stress

Mapenzi ni balaa

Mapenzi ujue yanawez kukupa stress adi mama ako akikuuliz what's wrongπŸ€”... Read More

Stori za simu za wavulana na wasichana

Stori za simu za wavulana na wasichana

STORY ZA WASICHANA KTK SIM

Mary… Hallow mpenzii
Lily…. Niambie my dear
Mary... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ulishawahi kupenda kwa namna hii??!!

Ushawai kumpenda dem na kumfia mazima kiasi kwmb anakwambia ye ana msela lkn we huelewi..unamkaz... Read More

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale umapofanya interview huku ukijua hutapata kazi

Pale unaitwa kufanya interview na unajua tuu hutapata kazi tuu…..
Interviewer: where were ... Read More

Wadada acheni hizo

Wadada acheni hizo

Mfalme Sulemani alikuwa na wake 700 na alichepuka(cheated)na vimada 300 . Mpenzi wako/Mume wako u... Read More

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Angalia huyu msichana alichonifanyia

Kuna siku nilichalala kipesa nikaamua kuomba dem wangu aniazime 10,000/= akanipa.
Baada ya s... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Angalia kilichonikuta nilipoenda kwa mganga

Usije ukaenda kwa mganga, mwenzako yamenikuta, yani masharti niliyopewa, acha tu,
yalikua hi... Read More

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Angalia nilichokifanya baada ya kuumwa na meno

Baada ya kuumwa na Meno nikaamua hivi.

mimi sipeΓ±dagi ujinga,,,Nmeumwa na jino moj... Read More

Amri za chuo

Amri za chuo

Ndio hizi sasa

1.Hicho ndicho chuo chako usiwe na chuo kingine ila hicho.
2.Usilitaje ... Read More

Ujinga wa ndoto ndio huu

Ujinga wa ndoto ndio huu

πŸ‘‰Ujinga wa ndoto ndiyo huu
β€’β€’Utaota umeokota dolla ukiamka empty…
β€’β€’Utaota... Read More