Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichompata huyu jamaa akiwa anaangalia mpira mechi kali na mke wake

Featured Image

WIFE: Baibie, yule ni nani? Ni Chris Brown??
HUSBAND: Yule ni Theo Walcott
WIFE: ile Yellow Card ni ya nini?





HUSBAND: ile ni ya Onyo, na Red Card inamaanisha mchezaji awache kucheza na atoke inje ya uwanja.
WIFE: Oooooh! Inakaa kama traffic light! Yellow- Ilani na Red - Simama
HUSBAND: Yeah yeah swity! Ndio hivyo.
WIFE: Na je Green Card??
HUSBAND: Aaaah! Hakuna kitu kama hicho.





WIFE: Nataka Arsenal ishinde world cup.
HUSBAND: [kimya]
WIFE: Ni nani yule mzee anakaa kama Mr. Bean??
HUSBAND: Yeees swity, yule ni kocha wa Arsenal, anaitwa Arsene Wenger.
WIFE: Oooooh! inamaanisha yule kocha mwengine ni Chelsea Wenger??
HUSBAND: [Kabadilisha channel]


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Nyota (Guest) on May 7, 2022

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Lucy Wangui (Guest) on April 15, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Fredrick Mutiso (Guest) on March 19, 2022

πŸ˜† Ninaihifadhi kwa baadaye!

Anna Mahiga (Guest) on March 12, 2022

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Edward Lowassa (Guest) on March 7, 2022

🀣 Ninashiriki hii na kila mtu!

Miriam Mchome (Guest) on February 19, 2022

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Joy Wacera (Guest) on January 19, 2022

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Janet Mwikali (Guest) on January 11, 2022

Hizi jokes zinabamba sana! πŸ˜†πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on January 2, 2022

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Moses Kipkemboi (Guest) on December 11, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Betty Cheruiyot (Guest) on December 2, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Josephine Nduta (Guest) on November 21, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Kenneth Murithi (Guest) on November 4, 2021

Hizi jokes ni za kipekee sana! πŸ˜†πŸ˜Š

Stephen Mushi (Guest) on October 25, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Charles Wafula (Guest) on October 24, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜ŠπŸ˜†

Juma (Guest) on October 23, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Janet Sumaye (Guest) on October 21, 2021

Hii ni joke ya ukweli kabisa! πŸ˜‚πŸ€£

Sharon Kibiru (Guest) on October 18, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Victor Malima (Guest) on October 10, 2021

Kweli mna ucheshi! πŸ˜‚πŸ€£

Lydia Mutheu (Guest) on August 24, 2021

πŸ˜… Nilihitaji kicheko hiki, asante!

Nicholas Wanjohi (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on August 13, 2021

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Edward Chepkoech (Guest) on July 19, 2021

Siwezi kusubiri kuieleza kwenye sherehe yangu inayofuata! πŸŽ‰

Carol Nyakio (Guest) on July 5, 2021

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Sarah Mbise (Guest) on June 26, 2021

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

Fadhili (Guest) on June 8, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Sarah Karani (Guest) on June 6, 2021

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Kitine (Guest) on June 3, 2021

Bado nacheka, hiyo ilikuwa nzuri sana! 🀣

Khadija (Guest) on June 2, 2021

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Mary Sokoine (Guest) on May 19, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Peter Mwambui (Guest) on May 15, 2021

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on May 8, 2021

Nimecheka hadi nina furaha sana! 🀣😊

Nashon (Guest) on March 23, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 26, 2021

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Vincent Mwangangi (Guest) on February 26, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Peter Mbise (Guest) on February 15, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Janet Sumaye (Guest) on February 8, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Grace Wairimu (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Rose Lowassa (Guest) on February 5, 2021

πŸ˜† Siwezi kuacha kucheka!

Lydia Wanyama (Guest) on January 1, 2021

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Violet Mumo (Guest) on December 31, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Wilson Ombati (Guest) on December 26, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Jane Muthoni (Guest) on December 19, 2020

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Azima (Guest) on December 14, 2020

πŸ˜ƒ Hii imenichekesha kwa sauti kweli!

Joseph Kitine (Guest) on December 2, 2020

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Jane Malecela (Guest) on November 17, 2020

Asante Ackyshine

Ruth Mtangi (Guest) on November 8, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Ali (Guest) on November 6, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Kassim (Guest) on September 7, 2020

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

George Wanjala (Guest) on August 29, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜‚

James Mduma (Guest) on July 13, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Anthony Kariuki (Guest) on July 6, 2020

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Elizabeth Malima (Guest) on June 22, 2020

Huu ucheshi hauna kifani! 🀣πŸ”₯

John Malisa (Guest) on May 20, 2020

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Robert Okello (Guest) on May 18, 2020

πŸ˜„ Hii ni ubunifu wa hali ya juu!

Joyce Nkya (Guest) on April 19, 2020

πŸ˜…πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ‘

Nassar (Guest) on April 10, 2020

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on March 28, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Violet Mumo (Guest) on March 22, 2020

πŸ€£πŸ€£πŸ˜„πŸ˜†

Sarah Karani (Guest) on March 21, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee! πŸ˜‚πŸ€£

Related Posts

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

Mlevi kazua tafrani, angalia alichokifanya hapa

MLEVI mmoja aliingia baa akavuta kiti na kukaa mhudumu akatokea kumsikiliza.
MHUDUMU: Nikusa... Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Huyu mwanafunzi kweli kiboko

Ticha: Wa kwanza kujibu swali langu ataenda Home mapema..

John kusikia hivyo....Karusha beg... Read More

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

Angalia huyu jamaa alivyoachika na msichana wake kwa kujidai kuongea kingereza na mwishowe kuchanganya maneno

MSICHANA: Mbona jana nimekupigia simu hujapokea?
JAMAA: please beby forget me.
MSichAnA... Read More

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

MAMBO KUMI YA KUFURAHISHA NA HUWEZI KUYAFANYA

1. Huwezi kuosha Macho kwa Sabuni;
2. Huwezi kuhesabu Nywele zako;

3. Huwezi kupumua k... Read More

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Makonda wana mambo, Kila mtu ni ndugu yao

Hakuna m2 mwenye ndugu wengi kama konda wa daladala.

Utasikia,
"HAYA, DADA HAPO MBELE,... Read More

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Huyu mwanamke ni noma cheki alichomwambia mme wake baada ya kumnunulia nguo za ndani

Mume kaingia duka la nguo na kamnunulia mke wake chupi dazeni moja zote za rangi nyeusi, akaenda ... Read More

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo, soma hii

Dunia ina mambo

Kuna mama mmoja kavamia bank uchi cha kushangaza hakuna anae kumbuka uso... Read More

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Wanawake wanavyopenda hela, hadi kutoka kwa nyani na ngedere

Kama Nyani na ngedere wangekuwa na pesa…

Trust me Kuna wanawa... Read More

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

Wanawake wa leo mbele ya hela. Hii ni hatari

MDADA: Baby nikwambie kitu
MKAKA: Yeah Baby Uko huru nambie
MDADA: nilikua naomba hela ... Read More

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

Baada ya kumkuta mwanamme mwingine chumbani kwake na mke wake cheki huyu anachokifanya

NAKUA(BABA) karudi kazini mwanae mdogo akamuwahi,
DOGO: Baba usiingie ndani kina jini chumba... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More