Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jackson Makori (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on October 5, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 23, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on September 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on September 4, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

George Mallya (Guest) on August 26, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 22, 2021

Asante Ackyshine

John Mwangi (Guest) on August 8, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mtaki (Guest) on August 4, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 27, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 25, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on May 13, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on April 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on February 28, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jabir (Guest) on December 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 19, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on December 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 7, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on November 4, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on October 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mohamed (Guest) on October 18, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on September 17, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Baridi (Guest) on September 10, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mahiga (Guest) on September 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 15, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Habiba (Guest) on July 1, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on March 26, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Christopher Oloo (Guest) on March 26, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharon Kibiru (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on February 3, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Aoko (Guest) on December 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Eti kupooza chai kwa kizungu inaitwaje?

Kuishi kijijini kunahitaji moyo sana

..unaenda kuoga, unakumbuka k... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Kilichowakuta boss, mke wake na mfanyakazi wao

Bakari ni house boy mara nyingi huiba wine ya boss wake na kisha kuongeza maji kwenye chupa ili b... Read More

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Utajuaje kama unachoangalia ni filamu ya kibongo!!!!

Angalia hivi

-Mlinzi wa Getini lazima awe chizi
-Mtu yupo kijijini, maisha magumu ana ... Read More

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

Huyu Jamaa bwana! Cheki anavyojibu sasa

*Mdukuzi:* _halloo massai unasemaj_
*Massai:* _safi rafiki_

*Mdukuzi:* _nikikuuliza sw... Read More

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nilichojibu kwenye interview walipoulizia status

Nimetoka kufanya interview wakaniuliza status yangu nikaawabia status yangu ni Hey there... Read More

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

Duh! Hiki nacho chombo cha moto?

_Sheria inasema kila anaetembea na chombo cha moto barabarani sharti awe na leseni._
_Sasa h... Read More

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Je, hii ni kweli kwa wale wasichana wasiojibu meseji WhatsApp!!!?

Ukiona hivyo ujue ndio hivi

Mwanaume mwenzangu ukiona unamtext msg msichana WhatsApp kaisom... Read More

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Kilichotokea baada ya kuzamia sherehe

Pale unapozamia kwenye Dinner Party ya Jumuiya Fulani, sasa Lengo la Jumuiya hiyo ni kupata Fedha... Read More

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Cheki kilichotokea stesheni ya treni, mambo mengine ukipaniki inakula kwako kama huyu jamaa

Jamaa Wawili Walifika Stesheni, wakakuta Treni ndo kwanza inaondoka. Wakaanza Kuikimbiza. Mmoja a... Read More

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Alichofanya maasai baada ya kupanda Tax

Baada ya kupanda daladala aina ya DSM kutoka Mbagala chalambe mpaka Mwenge na kulipa sh 500.Masai... Read More

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alichofanya mke baada ya mme wake kupenda kumchunga sana

Alifanya hivi;
Siku ya kwanza

MUME: Halooo vipi mke wangu salama weye... Read More