Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea Baada ya mlevi na mchungaji kukutana

Featured Image

MCHUNGAJI; "Unakunywa bia!?
MLEVI; "Ndio.
MCHUNGAJI; "Kwa siku unakunywa bia ngapi!?





MLEVI; "Nakunywa bia tano!
MCHUNGAJI; "Bia moja bei gani!?
MLEVU; "2500/
MCHUNGAJI; "Ulianza lini kunywa bia!?
MLEVI; "Miaka 18 iliyopita!





MCHUNGAJI; "Kwa hiyo kwa siku unatumia zaidi ya 10,000??
MLEVI; "Ndio!
MCHUNGAJI; "Kama u gekuwa unatunza hiyo pesa 10,000 kwa siku leo hii si ungekuwa na Range Rover!?
MLEVI; "Samahani, naweza kukuuliza swali!?
MCHUNGAJI; "Uliza!
MLEVI; "Unakunywa bia!?
MCHUNGAJI; "Hapana!
MLEVI; "Nionyeshe Range Rover yako!
MCHUNGAJI; "akasepa"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Jackson Makori (Guest) on November 1, 2021

πŸ˜… Nilihitaji hii!

Victor Sokoine (Guest) on October 5, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Joseph Njoroge (Guest) on October 5, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Rose Amukowa (Guest) on September 23, 2021

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

David Sokoine (Guest) on September 19, 2021

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜†

Alice Wanjiru (Guest) on September 18, 2021

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Betty Akinyi (Guest) on September 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Diana Mumbua (Guest) on September 8, 2021

πŸ˜†πŸ‘πŸ˜‚πŸ˜„

Moses Kipkemboi (Guest) on September 4, 2021

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Rose Waithera (Guest) on September 4, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Anna Malela (Guest) on August 29, 2021

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

George Mallya (Guest) on August 26, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Stephen Kikwete (Guest) on August 22, 2021

Asante Ackyshine

John Mwangi (Guest) on August 8, 2021

🀣 Ujuzi wa hali ya juu!

Thomas Mtaki (Guest) on August 4, 2021

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Moses Kipkemboi (Guest) on July 27, 2021

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜ŠπŸ˜…

Nancy Kabura (Guest) on June 28, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Omari (Guest) on June 28, 2021

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Jacob Kiplangat (Guest) on June 25, 2021

Lazima niihifadhi hii, ni kichekesho kali sana! πŸ˜†

Joseph Njoroge (Guest) on May 30, 2021

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Mary Kidata (Guest) on May 13, 2021

Hii ni kali! Itaingia kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜„

Victor Sokoine (Guest) on April 14, 2021

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edward Chepkoech (Guest) on March 23, 2021

πŸ€£πŸ˜†πŸ˜ŠπŸ˜‚

Fredrick Mutiso (Guest) on March 16, 2021

Hii imenikuna hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Monica Nyalandu (Guest) on February 28, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Violet Mumo (Guest) on February 28, 2021

Nimecheka kwa sauti! 🀣🀣

Lydia Mahiga (Guest) on February 19, 2021

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

Joyce Nkya (Guest) on January 5, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Jabir (Guest) on December 24, 2020

Hii ni dhahabu ya vichekesho! πŸ˜„

Nancy Kawawa (Guest) on December 22, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†

James Kimani (Guest) on December 19, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ€£πŸ˜†

John Kamande (Guest) on December 11, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Alex Nyamweya (Guest) on December 7, 2020

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Aziza (Guest) on November 4, 2020

Haha! Sijacheka hivi kwa muda mrefu! 🀣

Lucy Mushi (Guest) on October 29, 2020

Hii ni joke ya kufurahisha sana! πŸ‘πŸ˜†

Mohamed (Guest) on October 18, 2020

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Mary Sokoine (Guest) on October 4, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini sasa hivi!

Stephen Kikwete (Guest) on September 17, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Baridi (Guest) on September 10, 2020

πŸ˜„ Sikutarajia hiyo ikitokea!

Lucy Mahiga (Guest) on September 8, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Joy Wacera (Guest) on August 29, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Zubeida (Guest) on August 27, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Rose Kiwanga (Guest) on August 19, 2020

Hii imenipa kicheko cha siku! πŸ˜‚πŸ˜†

Andrew Odhiambo (Guest) on August 19, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Nancy Kawawa (Guest) on August 15, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Thomas Mwakalindile (Guest) on August 9, 2020

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Andrew Odhiambo (Guest) on July 21, 2020

Ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ‘

Alice Wanjiru (Guest) on July 18, 2020

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Habiba (Guest) on July 1, 2020

🀣 Hii imewaka moto!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 30, 2020

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ˜„

Elizabeth Mrope (Guest) on April 2, 2020

πŸ˜… Bado nacheka!

Mary Kidata (Guest) on March 26, 2020

Nilikuwa na siku mbaya hadi niliposoma hii! πŸ˜…

Sarah Mbise (Guest) on March 26, 2020

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Christopher Oloo (Guest) on March 26, 2020

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Thomas Mtaki (Guest) on March 23, 2020

πŸ˜‚ Hii ni kali sana!

Sharon Kibiru (Guest) on February 17, 2020

πŸ˜‚ Sijacheka hivi kwa muda mrefu sana!

Rose Kiwanga (Guest) on February 3, 2020

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Lydia Mzindakaya (Guest) on January 21, 2020

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Edith Cherotich (Guest) on December 31, 2019

πŸ˜‚ Ninahitaji kuihifadhi hii milele!

Joyce Aoko (Guest) on December 2, 2019

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Related Posts

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio boss wa huyu jamaa ungempa kazi? Ungemjibu nini?

*Boss*:-kijana unataka nini ndani ya ofisi zangu?
*Jamaa*:-Samahani naomba kazi ya ulinzi nd... Read More

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

Angalia huyu mwanafunzi anachomjibu huyu mwalimu wake

1. Ticha:"Punda ni mnyama anaefugwa nyumbani,lakini akiwa mwituni anaitwa pundamilia….Je sungur... Read More

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Cheka kidogo, angalia anachosema huyu mchaga

Mchaga baada ya kufa akaulizwa na malaika anayetoa roho: Mangi hapa ni njiapanda kulia ni Mbingun... Read More

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Hizi swaga za huyu jamaa ni shida, Google!

Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
ki... Read More

Hii sasa kali kweli kweli!!

Hii sasa kali kweli kweli!!

MCHUNGAJI alitangaza kila mwanaume aliye na mke atoe sadaka kulingana na uzuri wa mke wake…bac... Read More

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Hawa wanaume wanaopenda wanawake hovyo barabarani wamepatikana, hawatarudia πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Marafiki wawiliΒ (Jose na Ben)Β walikuwa wanatembea mtaani akatokea mwanamke aka... Read More

Huyu ndo mwanamke

Huyu ndo mwanamke

Akikuta PESA wakati anafua atapiga kimya kimya, sasa ngoja akute umeacha CONDOM ndo utajua kama u... Read More

Huyu panya wa tatu ni noma

Huyu panya wa tatu ni noma

πŸ€ πŸ€ πŸ€Β Panya watatu walikua wakibishana nani Ni noma zaidi

Read More

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Maswali ya kijinga yakijibiwa vizuri

Haya ndiyo majibu mazuriπŸ˜πŸ˜πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

Q: Umenyoa nywele?

Read More
Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Watoto wa siku hizi ni shida! Angalia huyu mtoto anachomwambia baba yake

Ka ni wewe? DOGO: baba mi siendi tena shule inaonekana walimu hawana uhakika na majibu yao. BABA: ... Read More
Muda mzuri wa kulipa mahari

Muda mzuri wa kulipa mahari

Amini Nawaambieni

Hakuna Muda Mzuri wa Kulipa Mahari Kama Mwezi January. Baba Mkwe Anapo... Read More

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

Misemo ya kina dada

walianza na halohalooo!
Wakaja unalo babu weee!
Ikafuata utaj... Read More