Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Kilichotokea kwa binti na mvulana wake walipotaitishwa na baba yake msichana

Featured Image

Msichana alikuwa amekaa na baba yake kibarazani, mara akamuona MVULANAfriend wake akija, yule mvulana alipokaribia tu, yule msichana akamwambaia:





MSICHANA: Umekuja kuchukua kile kitabu chako, kinachoitwa "DADDY IS AT HOME?" by Ngozi Okafor
MVULANA: Hapana!, Nimekuja kuazima kitabu cha Maombi kama kinaitwa "WHERE SHOULD I WAIT FOR YOU?" by NgΕ©gΔ© wa Thiong'o
MSICHANA: Aaah! Icho sina ila ninacho kimoja kinaitwa "UNDER THE MANGO TREE" by Chimamanda Adichie
MVULANA: Ooh! Vizuri, Basi usisahau kuja nacho kesho kitabu cha Okot p'Bitek kile kinachoitwa "CALL ME IN 5 MINUTES BEFORE" Utakapokuja shule.
MSICHANA: Usijali, tena nina kitabu kipya kinaitwa "I WON'T LET YOU DOWN" by Chinua Achebe
Baba mtu akawatazamaaaa kisha akasema
BABA: Vitabu vyote hivyo, mbona vingi sana, atavisoma vyote kweli
MSICHANA: Ndio Daddy, huyu mvulana hupo smart sana na ana akili atavisoma vyote hivyo!
BABA: Sawa! Usisahau kumpatie na kile ambacho nimekiweka pale juu ya meza, kinaitwa "I AM NOT STUPID, I UNDERSTOOD EVERYTHING YOU'VE BEEN SAYING" by Shakespeare!
Na kuna kingine nimekiweka juu ya kabati la vyombo, kinaitwa "IF YOU GOT PREGNANT PREPARE TO GET MARRIED"


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Irene Makena (Guest) on November 13, 2022

πŸ˜† Naihifadhi hii!

Anna Malela (Guest) on October 31, 2022

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Grace Njuguna (Guest) on October 7, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Majid (Guest) on September 29, 2022

🀣 Hii imewaka moto!

Mariam Kawawa (Guest) on September 14, 2022

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Sarah Mbise (Guest) on September 12, 2022

Kweli mna ucheshi wa hali ya juu! πŸ˜‚πŸ€£

Margaret Anyango (Guest) on September 12, 2022

πŸ˜…πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜Š

Rahim (Guest) on August 25, 2022

πŸ˜„ Dhahabu ya vichekesho!

Mary Kidata (Guest) on August 18, 2022

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Tabu (Guest) on August 10, 2022

Haha, mbavu zangu zinauma kwa kucheka sana! 🀣

Rose Mwinuka (Guest) on July 20, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ˜…πŸ˜Š

Anna Sumari (Guest) on June 25, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

Benjamin Kibicho (Guest) on June 24, 2022

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Jacob Kiplangat (Guest) on May 25, 2022

😁 Hii ni hazina ya kichekesho!

David Musyoka (Guest) on May 13, 2022

Hii imenifurahisha sana! πŸ˜ŠπŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on May 5, 2022

Nimecheka hadi mbavu zinauma πŸ˜‚πŸ˜‚

Diana Mumbua (Guest) on April 22, 2022

πŸ˜„ Kali sana!

Anna Kibwana (Guest) on April 13, 2022

πŸ˜‚πŸ‘πŸ˜…πŸ€£

Tabitha Okumu (Guest) on March 7, 2022

πŸ€£πŸ˜­πŸ˜†

Anna Mchome (Guest) on February 16, 2022

πŸ˜† Ninacheka sana sasa hivi!

Diana Mumbua (Guest) on January 26, 2022

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Agnes Lowassa (Guest) on January 25, 2022

😊🀣πŸ”₯

Joseph Kiwanga (Guest) on January 23, 2022

Mna talent ya jokes! πŸ‘πŸ˜‚

Bernard Oduor (Guest) on January 16, 2022

Nimecheka hadi nimesahau shida zangu! πŸ€£πŸ˜†

Chiku (Guest) on January 6, 2022

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Joseph Kawawa (Guest) on December 6, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Lydia Mzindakaya (Guest) on December 4, 2021

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜‚πŸ‘

Philip Nyaga (Guest) on October 30, 2021

πŸ‘πŸ€£πŸ˜†πŸ˜‚

Salum (Guest) on October 22, 2021

🀣 Hiyo punchline ilikuwa haikutarajiwa!

Francis Mrope (Guest) on October 12, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Sumaya (Guest) on October 12, 2021

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Alice Wanjiru (Guest) on August 15, 2021

😁 Hii imenifanya siku yangu iwe bora!

Lydia Mzindakaya (Guest) on August 14, 2021

πŸ˜‚πŸ‘ŒπŸ˜†πŸ˜Š

Maulid (Guest) on July 11, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Catherine Naliaka (Guest) on June 10, 2021

🀣 Ninaituma sasa hivi!

Robert Ndunguru (Guest) on June 3, 2021

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Mary Mrope (Guest) on May 24, 2021

Hii ni joke ya kipekee! πŸ€£πŸ‘Œ

Josephine Nduta (Guest) on May 4, 2021

Hii imenifurahisha hadi ninacheka kwa sauti! πŸ˜„πŸ˜…

Lydia Mutheu (Guest) on April 19, 2021

Ucheshi wenu unanifurahisha sana! πŸ˜‚πŸ‘

Esther Cheruiyot (Guest) on March 9, 2021

Hii imenibamba sana! πŸ˜…πŸ€£

Samson Mahiga (Guest) on February 16, 2021

Kila siku napenda jokes zenu! πŸ˜†πŸ˜‚

Margaret Anyango (Guest) on February 8, 2021

Huyu alikuwa na point! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Nancy Kawawa (Guest) on January 24, 2021

πŸ˜‚πŸ‘Œ

Peter Mugendi (Guest) on January 22, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Miriam Mchome (Guest) on December 28, 2020

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜†πŸ˜…

Jane Muthoni (Guest) on October 25, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline!

Sarah Karani (Guest) on September 3, 2020

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu! πŸ‘πŸ€£

Robert Okello (Guest) on July 28, 2020

Hii ndio nilihitaji leo! Asante! 😜

Paul Kamau (Guest) on July 24, 2020

Siwezi kuamini jinsi hii ni kichekesho! πŸ˜‚

Maneno (Guest) on July 15, 2020

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Athumani (Guest) on July 10, 2020

🀣 Hii imenifanya siku yangu iwe bora kabisa!

Ruth Wanjiku (Guest) on July 9, 2020

Nimecheka hadi nina furaha sana! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Hawa (Guest) on July 6, 2020

😁 Kicheko bora ya siku!

Paul Ndomba (Guest) on June 8, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Stephen Malecela (Guest) on June 4, 2020

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

David Musyoka (Guest) on June 1, 2020

πŸ˜… Bado ninacheka!

Mercy Atieno (Guest) on May 12, 2020

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Grace Njuguna (Guest) on May 7, 2020

Hii imenifurahisha sana! 🀣😊

Sultan (Guest) on April 17, 2020

πŸ˜† Hiyo punchline ilikuwa kali!

Khadija (Guest) on April 8, 2020

πŸ˜‚ Nitaiiba hii bila shaka!

Related Posts

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Sasa Hawa wadada Wapo in Relationship Na Nan!!??

Asilimia 76% Ya Wasichana Kila Ukiwatongoza Wanakwambia Wapo In relationship SAWA ATUKATAI…Read More

Utani wa wachaga

Utani wa wachaga

Wachaga wamegawanyika kama ifuatavyo, sio wote wajanja. Kuna:-

1. WAROMBO; Hawa wajanja san... Read More

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Hyuyu daktari ni noma, cheki anachokisema

Kuna Daktari wa Moyo alifariki wakamchongeaa jeneza lenye umbo la Moyo. Ghafla Daktari mwingine ... Read More

Cheki huyu mtoto anachosema

Cheki huyu mtoto anachosema

sijui hili toto langu nilipeleke wapi, Leo limetoka shule eti nikaliuliza BIBILIA kwa kingereza i... Read More

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Angalia huyu dada alivyoumbuka, Duh! Alijua haoni!!!

Dem anatoka kuoga akiwa na kanga moja tu anaskia hodi,kufungua mlango akakuta ni jirani yake fra... Read More

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Duh, Ukisikia ngoma droo ndio hii

Ni noma!

Baada ya Talaka mke kamtumia mume meseji:- "Nasikitika kukujulisha kuwa bi... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Cheka kidogo: Majibu ya mhindi kwenye mtihani wa Kiswahili alipoambiwa ajibu methali

Mhindi kwenye mtihani wa kiswahili anaambiwa amalizie methali:

(a)Nyani haoni…..valisa... Read More

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

Huu ndio mlolongo wa michepuko kuwahi kutokea kati ya mke, mume mwanafunzi na boss

BOSS anamwambia sekretari wake: Wiki hii tutaenda wote Serena Hotel kwenye ... Read More

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Sababu ya mke kupewa dawa badala ya mumewe

Dokta: Mama tumemchunguza mumeo kwa makini sana, jopo lote la madaktari tumekubaliana mumeo anahitaj... Read More
Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

Ungekua wewe ndio baba wa Huyu mtoto ungemjibu nini?

MTOTO: Hivi Baba wewe umezaliwa wapi?????
BABA: Mbeya

<... Read More