Sidebar with Floating Button
AckySHINE SMSπŸ’ŒπŸ’•
☰
AckyShine

Soma hii, kama wewe ndio mzazi wa huyu msichana ungefanyaje?

Featured Image

Wewe ni mzazi mwanao anasoma kidato cha tatu mkoani umemsafirisha leo kwenda shule baada ya masaa matano ukasikia gari alilo panda mwanao limepata ajali wamekufa watu wote upo ktk harakati za kuandaa msiba,





mwanao anakupigia simu baba/mama mimi mzima sijafa mpenzi wangu ABDUL aliniambia nishuke Chalinze ili niwe nae kwa siku mbili alafu niende shule je, wewe mzazi unge mfanyaje mwanao?


AckySHINE Solutions

Comments

Please Join AckySHINE to Participate in Discussion.

Betty Kimaro (Guest) on March 29, 2022

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ˜‚πŸ€£

Anna Sumari (Guest) on March 25, 2022

Kweli mna ucheshi wa kipekee sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Carol Nyakio (Guest) on February 14, 2022

Hii imenikumbusha kicheko cha zamani! πŸ˜‚πŸ˜…

James Kimani (Guest) on February 1, 2022

Hii joke ni ya kufurahisha! 🀣🀣

Fredrick Mutiso (Guest) on January 21, 2022

Ucheshi wenu unanifurahisha! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Paul Kamau (Guest) on December 18, 2021

πŸ˜ƒ Hali imeboreshwa papo hapo!

Esther Cheruiyot (Guest) on November 22, 2021

Kweli ni jokes za ukweli! πŸ‘πŸ˜†

Safiya (Guest) on November 17, 2021

🀣 Sikutarajia hiyo!

Muslima (Guest) on November 7, 2021

πŸ˜‚ Ninashiriki mara moja!

Wilson Ombati (Guest) on October 28, 2021

πŸ˜‚ Lazima nihifadhi hii!

Alex Nakitare (Guest) on October 22, 2021

Sikutarajia hiyo punchlineβ€”kichekesho! 🀣

Simon Kiprono (Guest) on October 16, 2021

Wow, hii kichekesho ni mshindi kamili! πŸ†

Elizabeth Mrema (Guest) on October 9, 2021

Asante Ackyshine

Henry Mollel (Guest) on September 25, 2021

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ˜†

Peter Tibaijuka (Guest) on September 16, 2021

πŸ˜‚ Nalia kwa kweli hapa!

Janet Mwikali (Guest) on September 14, 2021

Hii kichekesho itaingia moja kwa moja kwenye vipendwa vyangu! πŸ˜‚

Salima (Guest) on August 16, 2021

🀣 Hii kichekesho ni nzuri sana!

Joseph Kiwanga (Guest) on July 15, 2021

Ucheshi wenu ni wa hali ya juu sana! πŸ‘πŸ˜‚

Andrew Mahiga (Guest) on July 10, 2021

Hizi jokes zinanifanya nicheke kila siku! πŸ˜„πŸ˜†

Susan Wangari (Guest) on June 16, 2021

πŸ˜† Bado nacheka, siwezi kuacha!

David Musyoka (Guest) on June 10, 2021

Nimecheka hadi machozi 🀣😭

Andrew Mchome (Guest) on June 3, 2021

Huyu mtu ni mcheshi sana! πŸ˜‚πŸ˜‚

Edwin Ndambuki (Guest) on May 18, 2021

Hii imenikuna! πŸ˜†πŸ˜Š

Joyce Aoko (Guest) on May 12, 2021

Hii ni joke ya maana sana! πŸ˜‚πŸ‘Œ

Michael Mboya (Guest) on March 23, 2021

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Michael Onyango (Guest) on February 9, 2021

πŸ˜‚ Siwezi kuacha kucheka!

Alice Jebet (Guest) on January 26, 2021

πŸ˜„ Umeimaliza kabisa!

Irene Akoth (Guest) on January 25, 2021

Nilihitaji kicheko hiki, asante kwa kushiriki! πŸ˜…

Robert Ndunguru (Guest) on January 18, 2021

Hii imenifurahisha hadi nacheka kwa sauti! πŸ€£πŸ˜‚

Grace Mushi (Guest) on January 7, 2021

Hii ni bomba sana! πŸ€£πŸ‘

Martin Otieno (Guest) on November 26, 2020

Wow, hizi kichekesho ni dhahabu kabisa! πŸ’°

Mariam Kawawa (Guest) on November 23, 2020

Hii ni joke ya kipekee sana! πŸ˜ŠπŸ‘

Samson Tibaijuka (Guest) on October 14, 2020

Hii kichekesho inastahili tuzo! πŸ†

Philip Nyaga (Guest) on October 8, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ‘

Dorothy Nkya (Guest) on October 7, 2020

Lazima nikumbuke hii kwa baadaye! πŸ˜†

Betty Cheruiyot (Guest) on October 6, 2020

Nimecheka hadi nimemiss kicheko! πŸ˜ŠπŸ˜‚

Esther Cheruiyot (Guest) on September 26, 2020

πŸ˜‚πŸ˜†

Sarah Achieng (Guest) on September 20, 2020

Kweli mnajua kuchekesha! πŸ˜‚πŸ˜‚

Robert Ndunguru (Guest) on September 17, 2020

Nimeipenda hii joke! πŸ˜„πŸ˜‚

Wilson Ombati (Guest) on September 17, 2020

🀣 Hiyo twist mwishoni, ingawa!

Charles Mchome (Guest) on August 26, 2020

πŸ˜†πŸ˜‚πŸ˜Š

Susan Wangari (Guest) on August 14, 2020

Nimecheka hadi nimesahau shida! πŸ€£πŸ˜†

Grace Mushi (Guest) on August 9, 2020

πŸ˜ŠπŸ˜‚πŸ€£

Dorothy Majaliwa (Guest) on July 26, 2020

Hii imenipa furaha ya siku! πŸ˜†πŸ‘Œ

John Kamande (Guest) on July 10, 2020

Ucheshi wenu unanifurahisha kila siku! πŸ˜†πŸ˜„

Lydia Mzindakaya (Guest) on July 6, 2020

Nimecheka hadi machozi yanatoka! 🀣😭

Patrick Kidata (Guest) on June 14, 2020

πŸ˜„ Kichekesho gani!

Thomas Mwakalindile (Guest) on May 9, 2020

πŸ˜„ Siwezi hata kupumua, ni kichekesho sana!

Samson Tibaijuka (Guest) on May 9, 2020

Kweli mna kipaji cha ucheshi! πŸ‘πŸ€£

Patrick Akech (Guest) on May 7, 2020

πŸ˜‚πŸ˜…

Moses Kipkemboi (Guest) on April 28, 2020

😊🀣πŸ”₯

Esther Nyambura (Guest) on March 23, 2020

Hii imenichekesha sana! πŸ˜„πŸ˜‚

Mchuma (Guest) on March 11, 2020

Hii ni aina ya kichekesho usichosahau! πŸ˜‚

Nora Lowassa (Guest) on February 23, 2020

🀣 Sikutarajia hiyo!

Mary Njeri (Guest) on February 1, 2020

πŸ˜† Nacheka hadi chini!

Alex Nakitare (Guest) on December 27, 2019

πŸ˜„ Kichekesho kamili!

Sarah Mbise (Guest) on December 24, 2019

πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜…

Patrick Akech (Guest) on November 21, 2019

Umetisha! πŸ‘ŒπŸ˜‚

Ibrahim (Guest) on November 17, 2019

πŸ˜„ Umenishika vizuri!

Edwin Ndambuki (Guest) on November 12, 2019

πŸ˜‚ Ninaituma hii kwa kila mtu ninayemjua!

Related Posts

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

Angalia huyu mwalimu alichomfamya huyu mwanafunzi

*Hadith ya Shemdoe na Mwalimu wa English:*

*Teacher:* `Who is a pharmacist?`

*Shemdoe... Read More

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Baada ya kuulizwa nani anapenda kwenda peponi, haya ndiyo yalikua majibu ya wanafunzi

Wanafunzi waliulizwa na mwalimu nani angependa kwenda peponi? Wote wakanyosha ila mmoja tu alipok... Read More

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Alichokijibu chizi baada ya kuanguka ghorofani

Chizi kaanguka toka kwenye gorofa fasta watu wakamfuata kumsaidia wakamuulza VP IMEK... Read More

Tenda Wema Uende Zako

Tenda Wema Uende Zako

Nimekuta panya ana struggle kuingia chini ya mlango wa jirani yangu…

Nikagonga mlango Jir... Read More

Hapa itakuaje?

Hapa itakuaje?

NAJISIKIA NIMEBOEKA…

SIJUI NIENDE KAMBI YOYOTE YA JESHI NITEREMSHE BENDERA

ALAFU NI... Read More

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

Angalia walichofanyiana hawa wanadoa, Kati ya huyu mme na mke nani zaidi?

MUME wakati anakata roho huku mkewe akiwa amemshikilia alisema mke wangu, mi natubu kwako, kwani ... Read More

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Cheki wanachokisema vichaa baada ya kuona ndege inapita angani

Vichaa wawili walikuwa wamekaa sehemu ghafla ikapita ndege angani kichaa mmoja akasema ndege ile... Read More

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Angalia huyu jamaa anachomwambia mwizi baada ya kumuibia simu yake

Foleni ndeeeeefu jamaa yupo kwenye daladala anaenda kazini kaona heri amuandikie boss wake msg k... Read More

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

Hakuna mtu mwenye mbio duniani kama huyu

HAKUNA MTU MWENYE MBIO, KAMA MSICHANA ALIYEPAKA MAKE UP ALAFU MVUA INYESHE…..... Read More

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Namna wazazi wanavyoongea na mabinti katika umri tofauti

Miaka 13: Usipende wavulana ni wabaya.
Miaka 18: Sitaki nikuone na yule mvulana tena!
M... Read More

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

Huyu jamaa bonge la bwege, ungekua wewe ndiyo rafiki ake ungemwambiaje?

RAFIKI: Vipi mbona leo huna uchangamfu
JAMAA: Wanawake bwana, mwanamke h... Read More

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Kilichotokea kati ya mkaka na mdada walipokutana hotelini

Mkaka aliingia kwenye hoteli moja akaketi meza moja na mdada mrembo maarufu sana;
MKAKA: Sam... Read More